Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Bado. KaniwakilisheHumu humu ndani kaandika bango lake bado hujakutana nalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado. KaniwakilisheHumu humu ndani kaandika bango lake bado hujakutana nalo
Mzee Baba nikwamba sio inamiminwa na kuvaliwa kabisa ila inawekwa inakaa kwa muda kidogo, inafyonzwa na pedi alafu ndio inavaliwa. Rejea story yangu moja kurasa za nyuma, HAWA WATU WANAMBINU ZA KISHENZI NA KISHETANI balaaa, kama Wewe sio Mshenz mwenzao. USICHUKUE ZIGO UTAJUTAA KIJUTO CHA MBWA KHOKHOhahaaaa ", watu wamevurugwa daaahh tomato kwenye papuchi ""!!? MY foot"
Yan ao wanakua walikua ni wanaume alafu wana jigeuza kua wanawake au
ipo page 3 mkuuMkuu funguka kidogo
ipo page 3 kiongozihahaaaa. malizia story basii
hahaaaa'' mamaee '' tuma salamu kwa watu wa5 aisee
aiseee"-..kweli wanaume Tunakutana na mabalaa mnooo" papuchi inawekwa tomatoes kama yatakuungwa na pilauMzee Baba nikwamba sio inamiminwa na kuvaliwa kabisa ila inawekwa inakaa kwa muda kidogo, inafyonzwa na pedi alafu ndio inavaliwa. Rejea story yangu moja kurasa za nyuma, HAWA WATU WANAMBINU ZA KISHENZI NA KISHETANI balaaa, kama Wewe sio Mshenz mwenzao. USICHUKUE ZIGO UTAJUTAA KIJUTO CHA MBWA KHOKHO
noma sana kiongozi nimefarijika kumbe sio peke yangu yalinikuta kuna mdau kasema kuwa yy washkaji zake iliwakuta na walikuwa wamelewa nahisi wenyewe walipiga/kupigana wakaja gundua asubuhi 😂😂😂hahahaa" kwangu" imefika hilo dushe la Thailand daahh" miyeyusho kweli mkuu""...khaaaa"
hahaaaa kwahiyo walilila" nilikuwa na mzuka mnooo wakwenda huko" nadhani wakati ukitimu nakwenda huko" nitajionea vituko Aiseeenoma sana kiongozi nimefarijika kumbe sio peke yangu yalinikuta kuna mdau kasema kuwa yy washkaji zake iliwakuta na walikuwa wamelewa nahisi wenyewe walipiga/kupigana wakaja gundua asubuhi 😂😂😂
Kweli aise alafu na yale matangazo ya nafasi zipo mi nilikuwa najua nafasi za kazi..dah utoto bhanaMimi nilipokuwa mdogo nilikuwa nafikiri guest ni kwa ajili ya kufikia wageni walio kwenye safari zao kumbe nilikuwa najidanganya tu![emoji53][emoji53][emoji53]
kuna mawili hapo... walilila au walikulana hyo itabaki kuwa siri yao 😂😂hahaaaa kwahiyo walilila" nilikuwa na mzuka mnooo wakwenda huko" nadhani wakati ukitimu nakwenda huko" nitajionea vituko Aiseee
hahaaa '" heeee"""!!!, kwahiyo linaweza likakula ", duuuhkuna mawili hapo... walilila au walikulana hyo itabaki kuwa siri yao 😂😂
wa kike aiseeMhudumu wa kike au kiume?
Hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli aise alafu na yale matangazo ya nafasi zipo mi nilikuwa najua nafasi za kazi..dah utoto bhana
Du! Noma hiyo! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee nimelala juzi morogoro siku ya tarehe saba kuamkia nanenane, kila gest unayoijua ilikuwa imejaa. Nlitoka dodoma saa mbili na mida ya saa sita kasoro nlikuwa morogoro, nikakodi boda tukaanzia maeneo ya stend na mitaa ya jirani sikupata tukazunguka msamvu yote bila bila, jamaa akadai elf 57 nikampa. Wakati nafikiria nn cha kufanya kaja boda akaniambia twende mitaa flani yeye anajua gest ambazo huwa hazifikiwi na watu. Basi tukakubaliana elf tatu, tulizungukaa takriban saa nzima hakuna kitu. Nikamwambia nirudisha msamvu nikalale stand, ile tunarudi akasema ngoja twende hapa pa mwisho, basi nikapitishwa daraja moja hivi finyu sana nahisi ni la waenda kwa miguu, mda huo ni saa nane kasoro usiku. Palikuwa panatisha balaaa, and mfukoni nlikuwa na kama tsh.2millions. Basi akaingia nyumba moja chafchaf tu akaaanza kugonga, haina hata bango la jina la gest, na nje hakuna taa hata moja. Wakasema nafasi zipo. Kuingia ndani mm ndo mteja wa kwanza. Ikabidi tu nilale hapo. Ila hela zote nikazikunja nikaweka kwenye viatu kwa mbele kabisa yaan 1mil kiatu kimoja na 1 mil kiatu kingine, then nikaweka na soks zikiwa zinaonekana kwa juu halaf nikaviweka kama vimelala ubavu na kimoja kimelala miguu juu. Nikaweka mfukoni kama elf 50 tu incace washkaji wakija kuchukua zao niwape elf 50. Yaan kumekucha asubuhi sikuamini
Mimi sitasahau,kuna guest house niliwahi kulala maeneo ya Ifisi mkoani Mbeya.Wenyewe wameipa hadhi ya Self contained rooms,nililetewa maji ya moto kwenye ndoo.Lakini kilicho niacha hoi ni mhudumu kuniletea kipande cha sabuni ya jamaa iliyyokwisha tumika pamoja na jiwe la kusugulia miguu!daah!
Kisa cha pili ni kulala katika guest moja huko songea.Nikapewa chumba self-contained,choo ndani kwa ndani,lakini choo chenyewe cha shimo(cha kulenga).Naomba kuwasilisha.