theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Kumbe unapenda sex hivyo [emoji45][emoji45]Huyo dada itakuwa ni mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unapenda sex hivyo [emoji45][emoji45]Huyo dada itakuwa ni mimi
hahah.... nilikuwa nna kamchepuko kangu kanaitwa eliza hapo udsm sema me nilikuwa najua matatizo yake ya pumu coz nimetoka nacho mbali tangu secondary [emoji23][emoji23] ilikuwa kakizidiwa nampigia simu mama ake mdogo anakafata
Aise nyie majaa mmegonganisha magari.....Ndugu km bado uko nae usimuache Yuko vizur vibaya ile mihemko yake balaa nakule kujikunja kunja nikaona huyu ashafika kwenye mlima kileleni kabisa kumbe pumu tayari Daaah
Nahisi ulitamani kukuche harakaIlikuwa kipindi cha masika hapo Lindi, nimetafuta guest zote nzurinzuri zimejaa kulikuwa na semina ya walimu wa mkoa wote wa lindi wamekutana hapo mjini, hivyo guest nyingi zilijaa. Nikapata moja katikati ya mji ina vitanda viwili (mnaita double), sasa huko ndani kunavuja balaa. Muhudumu akaniambia usilale kitanda hiki kipo sehemu panapovuja lala kile kingine.
Mimi nikiwa na hela nyingi hivyo hata usingizi sipati.Aisee nimelala juzi morogoro siku ya tarehe saba kuamkia nanenane, kila gest unayoijua ilikuwa imejaa. Nlitoka dodoma saa mbili na mida ya saa sita kasoro nlikuwa morogoro, nikakodi boda tukaanzia maeneo ya stend na mitaa ya jirani sikupata tukazunguka msamvu yote bila bila, jamaa akadai elf 57 nikampa. Wakati nafikiria nn cha kufanya kaja boda akaniambia twende mitaa flani yeye anajua gest ambazo huwa hazifikiwi na watu. Basi tukakubaliana elf tatu, tulizungukaa takriban saa nzima hakuna kitu. Nikamwambia nirudisha msamvu nikalale stand, ile tunarudi akasema ngoja twende hapa pa mwisho, basi nikapitishwa daraja moja hivi finyu sana nahisi ni la waenda kwa miguu, mda huo ni saa nane kasoro usiku. Palikuwa panatisha balaaa, and mfukoni nlikuwa na kama tsh.2millions. Basi akaingia nyumba moja chafchaf tu akaaanza kugonga, haina hata bango la jina la gest, na nje hakuna taa hata moja. Wakasema nafasi zipo. Kuingia ndani mm ndo mteja wa kwanza. Ikabidi tu nilale hapo. Ila hela zote nikazikunja nikaweka kwenye viatu kwa mbele kabisa yaan 1mil kiatu kimoja na 1 mil kiatu kingine, then nikaweka na soks zikiwa zinaonekana kwa juu halaf nikaviweka kama vimelala ubavu na kimoja kimelala miguu juu. Nikaweka mfukoni kama elf 50 tu incace washkaji wakija kuchukua zao niwape elf 50. Yaan kumekucha asubuhi sikuamini
ndio mkuu sindomana liliniuliza "you take it first or i take it first or am all yours? ichambue hii sentensi utajua lilimaanisha nnhahaaa '" heeee"""!!!, kwahiyo linaweza likakula ", duuuh
Aise nyie majaa mmegonganisha magari.....
Jf tamu sana [emoji2][emoji2][emoji2]
all the best mkuu.... nikupe hint tu kule sehemu zote zenye malaya na shemale wapo kuwa nao makini ili usije simulia story kama yangu... wanaitwa kathoey kule kuwa nao makin haswa kama ni mtu wa tungihahaaaa kwahiyo walilila" nilikuwa na mzuka mnooo wakwenda huko" nadhani wakati ukitimu nakwenda huko" nitajionea vituko Aiseee
Hahaha hapo mimi ningekita kambi mpaka nimalize wote mana sio kwa vituko ivoMimi kuna siku nimefika Mwanza usiku, mida ya saa nane usiku, tafuta guest, zote zimejaaa, dereva teksi akanipeleka moja hiyo, kufika pale nimeshusha na vitu vyangu, mhudumu akaniambia nilale nae kwenye chumba chake halafu hela nimpe yeye, nikamwambia nipeleke reception, nilivyofika nikapewa chumba, kilikuwa kibaya, ikabidi nitandike vikoi vyangu aisee, nikaona hapa ngoja nijiegeshe Masaa mawili halafu niendelee na safari, sijatulia mademu wawili wakaja, mmojawapo ana tako hatari, wakaniambia niwape hela kidogo walale na mimi, nikawafukuza, natoka nje namkuta dada mmoja anaanika nguo zake yupo uchi wa mnyama.
Halafu ndio ilikuwa first time nafika hapo.
Na ulimla "romance" ya kutosha tu. He he he he he he.yani hilo tukio hadi kesho kila nikiwa naingia room na demu mpya nikiwa namvua pichu naombeaga nisikutane na dudu
Kuna sehemu unafika usiku mnene hata uwe na mshiko Guest za ukweli hakunaUbahili wenu utawaponza shenzy zenu nfyuuuuuuu!
Hahahaaa, unalala tu mkuu, maana hakuna namna, mm nliuchapa balaaMimi nikiwa na hela nyingi hivyo hata usingizi sipati.
kwa iyo ao wanatoa tigo au?bei inatofautiana na sehemu uliyopo mimi hyo ilikuwa ni nje ya bangkok kidogo kama dar useme bunju hivi kuna kared light street kamoja.... alafu ukumbuke hilo lilikuwa ni shemale hawa always they are cheap compared to girls
(romance) that's the worst part than seein that fuckin dick hangin.... huwa sijilaumu cz sikuwa najua kuwa alikuwa shemale..... but trust me ni tukio ambalo hàlitakuja kufutika akilinNa ulimla "romance" ya kutosha tu. He he he he he he.
kwa iyo ao wanatoa tigo au?
Bado. Kaniwakilishe
hahaa lazima ukimbie kwa usalama zaidi,unawezapitiwa na usingizi ukageuzwa..yes they ar gays sema tu wanakuwa wamefanya half gender transformation matiti..chura..ngozi..sura but mkuyenge upo palepale... and they do anything for money wanatoa tigo na kama mteja ukitaka kutembezewa wanakutembezea vilevile
tungi lilikata mkuu😂😂😂😂😂hahaa lazima ukimbie kwa usalama zaidi,unawezapitiwa na usingizi ukageuzwa..