Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

hahah.... nilikuwa nna kamchepuko kangu kanaitwa eliza hapo udsm sema me nilikuwa najua matatizo yake ya pumu coz nimetoka nacho mbali tangu secondary [emoji23][emoji23] ilikuwa kakizidiwa nampigia simu mama ake mdogo anakafata
Ndugu km bado uko nae usimuache Yuko vizur vibaya ile mihemko yake balaa nakule kujikunja kunja nikaona huyu ashafika kwenye mlima kileleni kabisa kumbe pumu tayari Daaah
Aise nyie majaa mmegonganisha magari.....

Jf tamu sana [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ilikuwa kipindi cha masika hapo Lindi, nimetafuta guest zote nzurinzuri zimejaa kulikuwa na semina ya walimu wa mkoa wote wa lindi wamekutana hapo mjini, hivyo guest nyingi zilijaa. Nikapata moja katikati ya mji ina vitanda viwili (mnaita double), sasa huko ndani kunavuja balaa. Muhudumu akaniambia usilale kitanda hiki kipo sehemu panapovuja lala kile kingine.
 
Ilikuwa kipindi cha masika hapo Lindi, nimetafuta guest zote nzurinzuri zimejaa kulikuwa na semina ya walimu wa mkoa wote wa lindi wamekutana hapo mjini, hivyo guest nyingi zilijaa. Nikapata moja katikati ya mji ina vitanda viwili (mnaita double), sasa huko ndani kunavuja balaa. Muhudumu akaniambia usilale kitanda hiki kipo sehemu panapovuja lala kile kingine.
Nahisi ulitamani kukuche haraka
 
Aisee nimelala juzi morogoro siku ya tarehe saba kuamkia nanenane, kila gest unayoijua ilikuwa imejaa. Nlitoka dodoma saa mbili na mida ya saa sita kasoro nlikuwa morogoro, nikakodi boda tukaanzia maeneo ya stend na mitaa ya jirani sikupata tukazunguka msamvu yote bila bila, jamaa akadai elf 57 nikampa. Wakati nafikiria nn cha kufanya kaja boda akaniambia twende mitaa flani yeye anajua gest ambazo huwa hazifikiwi na watu. Basi tukakubaliana elf tatu, tulizungukaa takriban saa nzima hakuna kitu. Nikamwambia nirudisha msamvu nikalale stand, ile tunarudi akasema ngoja twende hapa pa mwisho, basi nikapitishwa daraja moja hivi finyu sana nahisi ni la waenda kwa miguu, mda huo ni saa nane kasoro usiku. Palikuwa panatisha balaaa, and mfukoni nlikuwa na kama tsh.2millions. Basi akaingia nyumba moja chafchaf tu akaaanza kugonga, haina hata bango la jina la gest, na nje hakuna taa hata moja. Wakasema nafasi zipo. Kuingia ndani mm ndo mteja wa kwanza. Ikabidi tu nilale hapo. Ila hela zote nikazikunja nikaweka kwenye viatu kwa mbele kabisa yaan 1mil kiatu kimoja na 1 mil kiatu kingine, then nikaweka na soks zikiwa zinaonekana kwa juu halaf nikaviweka kama vimelala ubavu na kimoja kimelala miguu juu. Nikaweka mfukoni kama elf 50 tu incace washkaji wakija kuchukua zao niwape elf 50. Yaan kumekucha asubuhi sikuamini
Mimi nikiwa na hela nyingi hivyo hata usingizi sipati.
 
hahaaaa kwahiyo walilila" nilikuwa na mzuka mnooo wakwenda huko" nadhani wakati ukitimu nakwenda huko" nitajionea vituko Aiseee
all the best mkuu.... nikupe hint tu kule sehemu zote zenye malaya na shemale wapo kuwa nao makini ili usije simulia story kama yangu... wanaitwa kathoey kule kuwa nao makin haswa kama ni mtu wa tungi
 
Mimi kuna siku nimefika Mwanza usiku, mida ya saa nane usiku, tafuta guest, zote zimejaaa, dereva teksi akanipeleka moja hiyo, kufika pale nimeshusha na vitu vyangu, mhudumu akaniambia nilale nae kwenye chumba chake halafu hela nimpe yeye, nikamwambia nipeleke reception, nilivyofika nikapewa chumba, kilikuwa kibaya, ikabidi nitandike vikoi vyangu aisee, nikaona hapa ngoja nijiegeshe Masaa mawili halafu niendelee na safari, sijatulia mademu wawili wakaja, mmojawapo ana tako hatari, wakaniambia niwape hela kidogo walale na mimi, nikawafukuza, natoka nje namkuta dada mmoja anaanika nguo zake yupo uchi wa mnyama.
Halafu ndio ilikuwa first time nafika hapo.
Hahaha hapo mimi ningekita kambi mpaka nimalize wote mana sio kwa vituko ivo
 
Nakumbuka miaka 2008 hv nilienda machi machi gest ya pale kinondoni na katoto flan hv kadogo dogo,sasa ile tunaanza mambo akasikia kama sauti ya baba yake mzazi chumba kinachofuata,ikabidi asimamishe mauno kwanza akaniambia mbona nasikia kama sauti ya baba yangu analalamika chumba cha pili..basi akanipa namba na kuniambia niipigie ..nikaiweka zile code za kuficha ili kwake itoke private namba na asiijue namba iliyompigia..heeee ile kupiga bwana kweli tukasikia inaita chumba cha pili..nikakata nikamsikia akilalamika kuwa huyu mpumbavu ni nani anabipu bipu watu..duuuu mpaka hapo tukawa na uwakika kwa asilimia 100 kuwa baba mkwe anakamua chumba cha jirani..sitasahau siku ile.
 
Na ulimla "romance" ya kutosha tu. He he he he he he.
(romance) that's the worst part than seein that fuckin dick hangin.... huwa sijilaumu cz sikuwa najua kuwa alikuwa shemale..... but trust me ni tukio ambalo hàlitakuja kufutika akilin
 
kwa iyo ao wanatoa tigo au?

yes they ar gays sema tu wanakuwa wamefanya half gender transformation matiti..chura..ngozi..sura but mkuyenge upo palepale... and they do anything for money wanatoa tigo na kama mteja ukitaka kutembezewa wanakutembezea vilevile
 
yes they ar gays sema tu wanakuwa wamefanya half gender transformation matiti..chura..ngozi..sura but mkuyenge upo palepale... and they do anything for money wanatoa tigo na kama mteja ukitaka kutembezewa wanakutembezea vilevile
hahaa lazima ukimbie kwa usalama zaidi,unawezapitiwa na usingizi ukageuzwa..
 
Back
Top Bottom