SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
[emoji16][emoji16] dah kuna mda unaweza kujiona upo mwenyewe, kumbe wanachama tupo wengi hiviKizembe! Usiombe yakukute, utatamani Ardhi ipasuke uingie, naomba nikusahihishe, sio mikosi bali ni setbacks HASA UKIWA MTUMIAJI MKUBWA WA GESTI/LODGE,/HOTELS sasa mie ni msafiriji Sana kikazi, na MPENDA MIZIGO, SIWEZI KULALA siku 2 SIJAPIGA MZIGO, UJUE NTAUMWA NA NIKIENDA KUPIMA NTAKUTWA NA MALARIA, TYPHOID, AMEOBA,. asante naomba kuwasilisha
Usijali bro JamiiForum inatukutanisha..... Best[emoji16][emoji16] dah kuna mda unaweza kujiona upo mwenyewe, kumbe wanachama tupo wengi hivi
Ndo maanake[emoji16][emoji16] dah kuna mda unaweza kujiona upo mwenyewe, kumbe wanachama tupo wengi hivi
Kaka hii kali maji kwenye ndoo na jiwe la kusugulia mguu mm niko hoi kwa [emoji3][emoji3][emoji3]Mimi sitasahau,kuna guest house niliwahi kulala maeneo ya Ifisi mkoani Mbeya.Wenyewe wameipa hadhi ya Self contained rooms,nililetewa maji ya moto kwenye ndoo.Lakini kilicho niacha hoi ni mhudumu kuniletea kipande cha sabuni ya jamaa iliyyokwisha tumika pamoja na jiwe la kusugulia miguu!daah!
Kisa cha pili ni kulala katika guest moja huko songea.Nikapewa chumba self-contained,choo ndani kwa ndani,lakini choo chenyewe cha shimo(cha kulenga).Naomba kuwasilisha.
Hawa hatari kwa mwanaume unaweza liwa jichoMkuu nimejaribu kuwa google hao ma Shemales aisee ni ngumu kuwagundua....
Kwenye matiti ndio naunganisha dot wana boost vipi..??? Hadi yanakuwa na muonekano wa kikeView attachment 822171
niliwah kulala guest maeneo ya mabibo hostel..kitambo flani...nilikua n mtt mzur mmj hv ilivyofik mida ya sa sab usiku nikaj kugongew n muhudumu naambiw mwenye chumba karud....aah ni noma
Haha haNilienda guest moja dodoma ,sasa kabla sijalipa huwa napenda kukagua kwanza chumba.chumba kilikuwa kisafi lakini nikaamua kupanda kwenye kiti kukagua juu ya kabati la nguo;nikakuta condom kama ishirini zilizotumika.nikamuuliza muhudumu kwa nini hawafanyi usafi vizuri? Akanijibu nimekwenda pale kutafuta chumba au kufanya ukaguzi akanisonya akaniacha nimeduwaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilienda guest moja dodoma ,sasa kabla sijalipa huwa napenda kukagua kwanza chumba.chumba kilikuwa kisafi lakini nikaamua kupanda kwenye kiti kukagua juu ya kabati la nguo;nikakuta condom kama ishirini zilizotumika.nikamuuliza muhudumu kwa nini hawafanyi usafi vizuri? Akanijibu nimekwenda pale kutafuta chumba au kufanya ukaguzi akanisonya akaniacha nimeduwaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kiherehere kushinei mkuu. Ila nimecheka daaaaaaNilienda guest moja dodoma ,sasa kabla sijalipa huwa napenda kukagua kwanza chumba.chumba kilikuwa kisafi lakini nikaamua kupanda kwenye kiti kukagua juu ya kabati la nguo;nikakuta condom kama ishirini zilizotumika.nikamuuliza muhudumu kwa nini hawafanyi usafi vizuri? Akanijibu nimekwenda pale kutafuta chumba au kufanya ukaguzi akanisonya akaniacha nimeduwaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.. Hakuja na kanga moja huyo kweliMkuu mimi nakumbuka nililala guest moja bukoka mjini, mida ya saa nane usiku muhudu akanigongea mlango, kabla sijafungua nikamuuliza kuna nini? Akaniambia 'hebu fungua mara moja' nikafungua akaniambia alisahau kuweka kandambili bafuni.
Naona nyege zilikua likizo mkuu [emoji16][emoji16]Usiku wote huo avae gauni? alikua na kikanga chepesii, alikuja tu kunitega maana kandambili tayari zilikuepo. Kajizungusha zungusha pale mimi namuangalia tu, alivyoona sieleweki akasepa
Neno samaki kusoma HUWEZI , HATA PICHA PIA AAAAAAAH BWANA . Kwa sisi timu ma fisi hiyo ni mbuzi kafia geto, Chakhula, aaaam. Aaaam ,, HATOKI NG'OMkuu mimi nakumbuka nililala guest moja bukoka mjini, mida ya saa nane usiku muhudu akanigongea mlango, kabla sijafungua nikamuuliza kuna nini? Akaniambia 'hebu fungua mara moja' nikafungua akaniambia alisahau kuweka kandambili bafuni.
Achana na kanga moko, huyo chup hakuvaa lazima jamaa alishindwa kujiongeza, sasa unafikiri ishu inikute mimi ..................YE UWIIIIIH......KWISHA