Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

kaka hata sikutaka kuuliza bei za wanawake baada ya huo mkasa...akili ilikaa sawa kesho yake nikiwa kwenye ndege narudi zangu bongo

hakuna cha kubagua tena kule ukionekana mgeni ndio wanakuchangamkia maana wanaamini watalii wengi wanaoenda thailand ni kwaajili ya sexual tourism ...na ndio ukweli huo
[emoji1] sawa mkuu nimekwewa
 
Kuna wanangu tulikuwa batani singapore inafika saa 10 wamelewa chakari,tukawa tunatoka kurudi majumbani,mi stumii pombe so niko macho makavu sasa wakati tunaelekea kwenye gari tukapishana na 'mademu' washkaji wakawa wanawasalandia mi nkawaonya jamani nyie mshalewa,na hili eneo sio zuri mtakuja kubeba vitu visivyoeleweka,wakaniona mi fala,eti wakajihakikishia kwa kuwashika maziwa na kupapasa pale kati,mademu gani wana sauti nzito vile.,alafu nahisi kuna wengine wanatoa kabisa mkuyenge mana jamaa alipapasa kabisa akaona hamna kitu.wakawaopoa bwana.kilichofuatia hapo ni majuto.bahati nzuri hata mimi hawajui kama najua.na mie nmejitolea kuwafichia siri.

Kuna mmoja mbongo kabisa yupo hong kong naye kajibadilisha huwezi kumjua kama nidume mpaka akuongeleshe ndo usikie bezi
Singapore geylang 😛
 
Unaonekana we niziro akilini mwako unataka nikujibu nn au tubishane nn maana unaonekana unamgogoro wanafsi nawatu wa Kisiwa pendwa hivi maisha yakijijini Nani asiyeyajua ni duni iwe bara au visiwani.

Nanani aliekwambia kitanda Cha kamba ni ishara ya umaskini hata wazungu waonalala VIP Villa wanalala kwenye vitanda vya kamba wanaota jua kwenye fukwe Pendwa.
Kalale Kesho Shule
kausha tu jamaa yangu maana ukiendelea nitazidi kuwaweka uchi wazenji wenzio maana hakuna nisilolijua huko...........siku iyo sikuamini naambiwa huyu ndio mbunge wetu anatembelea baiskeli tena cha ajabu jamaa anawakandia wabunge wa huku hawana hata ela mbwa hawa bora uwe mbunge wa muungano hapo ndio pesa utaziona.......nichokoze tena niendelee kuwaweka uchi
 
Hahaaaa!!! Kumbe hawa Zanzibar masikini hivi haha
nikupe kazi moja tu uifanye hapo mtaani kwako halafu jibu utakalopata ndio uamini kwa asilimia mia kule kwao ni masikini na maisha ni magumu mno....
 
bei inatofautiana na sehemu uliyopo mimi hyo ilikuwa ni nje ya bangkok kidogo kama dar useme bunju hivi kuna kared light street kamoja.... alafu ukumbuke hilo lilikuwa ni shemale hawa always they are cheap compared to girls
Sasa hao shemale wanakupa Tigo au????
 
Mie nilienda kikazi upareni SAME sehemu moja inaitwa Gonja. Tulitafuta guest mji mzima tukabahatisha moja excutive kwa kule chumba sh elf 5 sio self. Ukitaka kuoga unakabidhiwa jiko la mchina unaenda kununua mafuta ya taa unakuja kuchemsha maji ya kuoga
 
Mkuu hiyo research umedanya wapi ulitakiwa useme vitanda vingi vya kamba ningekuelewa tutake radhi mkuu Zanzibar hata 5 star Hotel Zina vitanda vya zege na sikama wanashindwa kueka vitanda vya kawaida per day gharama 400,000 hakuna sehemu anakosekana maskini katika huu ulimwengu Mbwa Baba ako na mama ako.

Nimecheka sana hapo mwisho ulivyo malizia,yani kama vle mkutane alafu mm Mimi niwe pembeni kuangalia mpambano.
 
Mie nilienda kikazi upareni SAME sehemu moja inaitwa Gonja. Tulitafuta guest mji mzima tukabahatisha moja excutive kwa kule chumba sh elf 5 sio self. Ukitaka kuoga unakabidhiwa jiko la mchina unaenda kununua mafuta ya taa unakuja kuchemsha maji ya kuoga
Ahahahaha jumla chumba na kuoga 7000/= ahahhah
 
kausha tu jamaa yangu maana ukiendelea nitazidi kuwaweka uchi wazenji wenzio maana hakuna nisilolijua huko...........siku iyo sikuamini naambiwa huyu ndio mbunge wetu anatembelea baiskeli tena cha ajabu jamaa anawakandia wabunge wa huku hawana hata ela mbwa hawa bora uwe mbunge wa muungano hapo ndio pesa utaziona.......nichokoze tena niendelee kuwaweka uchi
Mkuu unachoeleza kina ukweli ila umekosa lugha ya stara kufikisha
 
Mungu kaumba kusahau, tunakomaga basi!
Ukitaka kuwa unakula ma Dada poa lazima uzijue mbinu zao za kigedhuli zooote bila kuacha hata moja . utawapatia bila hivyo aaaah hutokaa kuwala hata Siku moja na utawachukia maisha yako yote
 
Mungu kaumba kusahau, tunakomaga basi!
Ahahahaha Eti wewe unataka ukamgonge dem/Dada poa yeye anapiga hesabu kuwa aninyweshe biaaaa mpaka nilewe anipeleke night club, turudi SAA Tisa near alfajir alafu jamaa atakuwa amechoka na mzigo/papuchi hatoigonga/kuisugua kisawasawa sababu ya kutochoka na usingizi. Then asubuhi anachukua chake 40 au 50 elfu anasepa kwenda kulala. Ahahahaha wanambinu ka mashatani vile
 
Ukitaka kuwa unakula ma Dada poa lazima uzijue mbinu zao za kigedhuli zooote bila kuacha hata moja . utawapatia bila hivyo aaaah hutokaa kuwala hata Siku moja na utawachukia maisha yako yote

Hebu tudokezee kidogo na sisi wengine tupate japo elimu tusiwe waoga.
 
Aisee mm nilienda gest moja maeneo ya buguruni na mtoto flani hiv ila wakawaida

Daah kulikua na kunguni katika godoro hadi ikawa balaa

Nilikula mzigo kibishi bishi ila niliapa mm na gest za buguruni basi tena
Daaah me ilikuwa Temeke,aysee wale kunguni walitupa tabu sanaaa
 
Hebu tudokezee kidogo na sisi wengine tupate japo elimu tusiwe waoga.
Ahahahaha bab hao kama wewe sio mkatili au mmbabe au wewe ni mwoga mwoga watakuvua nguo urudi kwenu uchi bab walah tena
 
Ahahahaha bab hao kama wewe sio mkatili au mmbabe au wewe ni mwoga mwoga watakuvua nguo urudi kwenu uchi bab walah tena

Kwann mkuu nirudi uchi?

Inamaana wanakomba paka boxer.
 
Back
Top Bottom