Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

So huyo anaweza kumuingilia mwanamke kabisaa au ni impotent...!!maana daah!mtihani kweli huo!sio kwa uzuri huoo

anamuingilia vizuri tu...hujasoma kisa changu liliniuliza "how would you like it.. i take it first or you take it first or am all yours?

ukimkuta ambaye achomi sana masindano ya hormone anapiga game frsh tu ukijipendekeza
 
mm nilienda gest kugegedana usiku kucha kumbe muhudumu kajificha chini ya kitanda kule vingunguti
Ahahahaha ili apate nini sasa au nae alikuwa anataka!???? Ahahahaha hiyo haikuwa chabo Bali ni wizi
 
ukizubaa unaenda kugundualia room.... yan ukiwa maeneo ya thailand ..malaysia au singapore we ukishaona demu ana sauti flan nzito na mashavu yamechongeka fulani na kwenye mikono humu kama ana misuli hivi ujue unaenda kukutana na mkuyenge badala ya papuchi

Dunia kubwa bora ata wapate matetemeko na mafuriko na vimbunga.

Najiuliza inakuwaje anakuwa na chura na matiti maana nakumbuka kwenye kipindi cha telenova cha ITV waliletega kipindi flani kinaitwa LALOLA au LATOYA(KAMA SIJASAHAU) maana kuna watu nawaona eti ni mwanamke ana ndevu na anavaa mini.

Kingine sasa wateja wao ni akina nani haswa?
 
Hapo chalinze, miaka ya 1999 hapo chalinze, nilikuwa na ahadi na mtoto wa kiarabu, nikachukua guest ili nimsubirie huyo mtoto

Kumbe bwana guest ina kunguni, mida ya saa 6 usiku baada ya kumsubiria mtoto na kuchoka, ikabidi nikalale tu,

Nilivyofika chumbani nikakaa kitandani nikijipa moyo kuwa huyo mtoto atakuja

Kufika saa 7 uzalendo ukanishinda, nikaona isiwe tabu, nikalala, dk 15 zilikuwa nyingi sana aisee nilisikia vitu vinatambaa mwilini, kumshika mmoja na kumuua nikasikia alufu kali, nikapigia mstari

Kwa mara ya kwanza nililala kwenye siment bila kujifunika mpaka asubuhi maana nilitafuta muudumu bila mafanikio

Na mwarabu hakuja, kunguni wakanila, nikalala chini mpaka asubuhi, mpaka leo sitasahau guest hiyo ya chalinze
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo mwarabu mwisho ikawaje
 
anamuingilia vizuri tu...hujasoma kisa changu liliniuliza "how would you like it.. i take it first or you take it first or am all yours?

ukimkuta ambaye achomi sana masindano ya hormone anapiga game frsh tu ukijipendekeza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah!ndo maana pombe iliisha kichwani ...mlume ndago kuulizwa swali km hiloo!!!!!!!!
 
anamuingilia vizuri tu...hujasoma kisa changu liliniuliza "how would you like it.. i take it first or you take it first or am all yours?

ukimkuta ambaye achomi sana masindano ya hormone anapiga game frsh tu ukijipendekeza
Haya mambo hayajafika bongo na bora yasifike
 
Dunia kubwa bora ata wapate matetemeko na mafuriko na vimbunga.

Najiuliza inakuwaje anakuwa na chura na matiti maana nakumbuka kwenye kipindi cha telenova cha ITV waliletega kipindi flani kinaitwa LALOLA au LATOYA(KAMA SIJASAHAU) maana kuna watu nawaona eti ni mwanamke ana ndevu na anavaa mini.

Kingine sasa wateja wao ni akina nani haswa?

wanawake kwa wanaume na mashoga
.maana hayo yanafanya huduma yoyote ww pesa yako tu.... dunia imeisha mkuu
 
anamuingilia vizuri tu...hujasoma kisa changu liliniuliza "how would you like it.. i take it first or you take it first or am all yours?

ukimkuta ambaye achomi sana masindano ya hormone anapiga game frsh tu ukijipendekeza
Hivi ladyboy na shemale tofauti yao ni nini?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah!ndo maana pombe iliisha kichwani ...mlume ndago kuulizwa swali km hiloo!!!!!!!!

aaaaah nomaaa ndomana nilimpa hela yake nikatoka mbio maana niliona hapa kuliwa winga njenje alafu nchi ya watu
 
Miaka flani nilikwenda iringa kilolo lulanzi kama sikosei kwa inshu zangu za nguzo na mbao kwa ajili ya ujenzi.Aisee pale gesti ni moja tu.ukitaka lala hauwez utalala nje.Baridi ya hatari.umeme hakuna ni vibatari,kishuka kimoja kimechakaa vibaya,kagodoro kanapukutika,kiblangeti kinanuka uvundo.choo cha shimo kinatumiwa pia na wapita njia halafu kimejaa kimemwagiwa majivu.Hapo kuoga ni kama unajichafua.Ilikua buku3 tu ila sisahau
 
Hivi ladyboy na shemale tofauti yao ni nini?

all shemales are ladyboys but not all ladyboys are shemales maana shemale hili neno limejilimit kwa wale ambao wamebadilisha vyote ila bado wana dudu ila ladyboys lipo kiupana zaidi hadi kwa wale ambao wameondoa hadi mkuyenge kabisa kama yule baba wa kina kim kardashia yule siyo shemale yule ni ladyboy maana kaondoa hadi mkuyenge kabisa
 
bei inatofautiana na sehemu uliyopo mimi hyo ilikuwa ni nje ya bangkok kidogo kama dar useme bunju hivi kuna kared light street kamoja.... alafu ukumbuke hilo lilikuwa ni shemale hawa always they are cheap compared to girls
Oooook......ila fullnight kwa madem wa kawaida ni bei gan??? Amnaaga cha kubagua weusi??
.
 
Kuna gesti moja nililala siku moja nikiwa safarini nilikesha macho baada ya jamaa mmoja aliyekuwa chumba cha pili karibu na mimi alikesha anato.mba demu yaani makelele ya demu na sauti ya mlio wa kitanda usiku kucha jamaa yuko kifuani kwa demu.!
Halafu mbaya zaidi asubuhi namuona jamaa akitoka chumbani ni jitu la miraba minne lakini demu ni kabinti kadogo kafupi kama kanafunzi hivi nilichoka.!
 
all shemales are ladyboys but not all ladyboys are shemales maana shemale hili neno limejilimit kwa wale ambao wamebadilisha vyote ila bado wana dudu ila ladyboys lipo kiupana zaidi hadi kwa wale ambao wameondoa hadi mkuyenge kabisa kama yule baba wa kina kim kardashia yule siyo shemale yule ni ladyboy maana kaondoa hadi mkuyenge kabisa
Kwa hiyo ana papuchi? Nilisikia hii habari ila sikufuatilia
 
Back
Top Bottom