Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

umerukaruka weeee mwisho wa picha umekiri mwenyewe umasikini wenu......nyumba kibao vitanda ni vya kamba mamaee zenu halafu mnatembea sana peku ina maana ela ya kununua viatu mmekosa....
sitasahau nilienda huko kijijini kwenu nikakuta waya wa umeme umepita kwenye mti badala ya kwenye nguzo......mshukuruni sana bakhresa na ile azam sealink yake inayobeba vyakula kila ijumaa na kuja navyo huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna wanangu tulikuwa batani singapore inafika saa 10 wamelewa chakari,tukawa tunatoka kurudi majumbani,mi stumii pombe so niko macho makavu sasa wakati tunaelekea kwenye gari tukapishana na 'mademu' washkaji wakawa wanawasalandia mi nkawaonya jamani nyie mshalewa,na hili eneo sio zuri mtakuja kubeba vitu visivyoeleweka,wakaniona mi fala,eti wakajihakikishia kwa kuwashika maziwa na kupapasa pale kati,mademu gani wana sauti nzito vile.,alafu nahisi kuna wengine wanatoa kabisa mkuyenge mana jamaa alipapasa kabisa akaona hamna kitu.wakawaopoa bwana.kilichofuatia hapo ni majuto.bahati nzuri hata mimi hawajui kama najua.na mie nmejitolea kuwafichia siri.

Kuna mmoja mbongo kabisa yupo hong kong naye kajibadilisha huwezi kumjua kama nidume mpaka akuongeleshe ndo usikie bezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] waliliwaa kibogaaa...?!!!!

Daah!haya mambo haya
 
Sitasahau niliendaga morogoro vijijini (hata jina nimelisahau) kikazi sasa ukafika wakati wa kutafuta gest... aisee sikuwahi kujua kama kuna gest za buku mbili.. buku tatu.. daah .. kwanza niliogopa nkajua leo nalazwa gereji aseee.. ila sema ka-gest kalikuwa sex kinoma noma.. tushuka tusafi ila tumefubaa..godoro jembamba... yaan niliona masaa ya usiku yameongeseka duuh..

Nyingine niliendaga wilaya ya kilindi kipindi hicho ndo kwaaaaaanza inaanzishwa tulikuwa wa2 mimi na mfanyakazi mwenzangu (manzi) tukapata chumba kimoja tuu na ndio kilikuwa kimesalia poote pale (nilifurahi kimoyomoyo japo nilijidai nalalamika daah daaah). ilibidi nilale nae tuu ..... sema nyakati za usiku ilibidi tuwe tunasahaulishana matatizo.. nakazalika nakazalika..
Shenzy kabisa Mkulima nakazalika nakazalika[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nilishawahi kuingia guest house na manzi mara moja tu. Sijawahi tena kupeleka mwanamke guest since then!

Usiniulize nafanyiaga wapi kwichi kwichi.

Apart from that, sina experience mbaya na guest house.
Bab ulikuwa mzee wa Exile nini. Maana unawaambia washkaj naombeni getho Leo unataka nimnyooshe mbavu dem
 
aaaah acha tu kaka sitakuja kusahau hilo tukio... yani baada ya hapo nikaingia chimbo kuwastudy shemales yani hata aweje namgundua kwa kumcheki tu hivi.

thailand hapafai mzee
Ivi kumbe thailand wa malaya wapo so cheap..,,,,$40 allnight??????
 
Embu tueleze unawajuaje kwamba huyu ni shemale?
ukizubaa unaenda kugundualia room.... yan ukiwa maeneo ya thailand ..malaysia au singapore we ukishaona demu ana sauti flan nzito na mashavu yamechongeka fulani na kwenye mikono humu kama ana misuli hivi ujue unaenda kukutana na mkuyenge badala ya papuchi
 
Hapo chalinze, miaka ya 1999 hapo chalinze, nilikuwa na ahadi na mtoto wa kiarabu, nikachukua guest ili nimsubirie huyo mtoto

Kumbe bwana guest ina kunguni, mida ya saa 6 usiku baada ya kumsubiria mtoto na kuchoka, ikabidi nikalale tu,

Nilivyofika chumbani nikakaa kitandani nikijipa moyo kuwa huyo mtoto atakuja

Kufika saa 7 uzalendo ukanishinda, nikaona isiwe tabu, nikalala, dk 15 zilikuwa nyingi sana aisee nilisikia vitu vinatambaa mwilini, kumshika mmoja na kumuua nikasikia alufu kali, nikapigia mstari

Kwa mara ya kwanza nililala kwenye siment bila kujifunika mpaka asubuhi maana nilitafuta muudumu bila mafanikio

Na mwarabu hakuja, kunguni wakanila, nikalala chini mpaka asubuhi, mpaka leo sitasahau guest hiyo ya chalinze
 
Ivi kumbe thailand wa malaya wapo so cheap..,,,,$40 allnight??????
bei inatofautiana na sehemu uliyopo mimi hyo ilikuwa ni nje ya bangkok kidogo kama dar useme bunju hivi kuna kared light street kamoja.... alafu ukumbuke hilo lilikuwa ni shemale hawa always they are cheap compared to girls
 
Niko hivi; wakati naingia pale mapokezi nilimuona akiwa kakaa kwenye kochi ananyonyesha, nikadhani na yeye ni mteja tu, baada ya kuingia chumbani na kumtuma huyu mhudumu ndo akaja na huyo huyo bila mtoto huku kashika kanga moja nyepesi aisee. Walipoondoka tu nikafunga mlango kwa funguo na komeo kabisa.
[emoji106] [emoji107] [emoji203] [emoji725] [emoji724] [emoji724] [emoji724] [emoji724] [emoji724] [emoji724]
 
cha ajabu sasa vurugu zangu zote bongo sijawahi kutokewa na tukio la ajabu zaidi ya kamchepuko kalikuwa kanaumwa presha ya kushuka nilitoka jasho hyo siki japo aliyekuwa anaumwa ni mwingine

yaani nilikuwa najiona kabisa navyotokea front page magazeti ya udaku... Mkaka Mtanashati Afiwa na Demu lodge

ila kisanga ni nilichokutana nacho bangkok huku kuvamia miji ya watu kubaya sana... ni tukio ambalo sitakuja lisahau pombe zilikata hapohapo
Share kidogo hiyo ya bankok mkuu
 
Back
Top Bottom