Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Nilienda kufanya kazi kwenye kisiwa kimoja ziwa victoria, gesti ni za mabanzi, ilipofika usiku gesti nzima ilikuwa kama karakama ya kutengenezea milango!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yani nimecheka kwa sautiii, yani rooms zote mlikua busy kutengeneza furniture zenu . Jf idumu
 
cha ajabu sasa vurugu zangu zote bongo sijawahi kutokewa na tukio la ajabu zaidi ya kamchepuko kalikuwa kanaumwa presha ya kushuka nilitoka jasho hyo siki japo aliyekuwa anaumwa ni mwingine

yaani nilikuwa najiona kabisa navyotokea front page magazeti ya udaku... Mkaka Mtanashati Afiwa na Demu lodge

ila kisanga ni nilichokutana nacho bangkok huku kuvamia miji ya watu kubaya sana... ni tukio ambalo sitakuja lisahau pombe zilikata hapohapo
heheh bang kok,uliopoa mwanaume ukijua mwanamke nini maaana kule ndo kunaongoza kwa maladyboy.Kuna msala uliwatokea washkaji dizaini hyo halafu mpaka leo hawajui kuwa najua.
 
Bangkok, Pattaya, Phuket, Chiang Mai. Hapa kuna wale wanaitwa ladyboys na kutofautisha Kati ya girls and boys ni ngumu.

kabisa kaka... mimi hii ilinikuta bangkok pembeni kidogo ila mwenyeji wangu akaniambia huko pattaya ndio kama nyumbani kwao wamejaa kama uchafu yan...
 
heheh bang kok,uliopoa mwanaume ukijua mwanamke nini maaana kule ndo kunaongoza kwa maladyboy.Kuna msala uliwatokea washkaji dizaini hyo halafu mpaka leo hawajui kuwa najua.


umejuaje mdau... ndio kilichonikuta... ukifatilia mtiririko wa hii thread nimeandika huo mkasa
 
heheh bang kok,uliopoa mwanaume ukijua mwanamke nini maaana kule ndo kunaongoza kwa maladyboy.Kuna msala uliwatokea washkaji dizaini hyo halafu mpaka leo hawajui kuwa najua.

kumbe unawachora tu hhahaha... mimi nilitoka mbio pombe zilikata nikaenda kujisalimisha kwa mwenyeji wangu akanicheka sana
 
nenda zanzibar jamaaa yangu asilimia 90 ya vitanda vya watu wa kule ni vya zege unaambiwa kitanda cha mbao tena mti wa mnazi ni bei ghali mno jamaa hawawezi kuafford kukinunua....twende mbele turudi nyuma wazanzibar ni masikini wa kutupwa hata sijui kwanini wanaukataa muungano mbwa hawa
Mkuu hiyo research umedanya wapi ulitakiwa useme vitanda vingi vya kamba ningekuelewa tutake radhi mkuu Zanzibar hata 5 star Hotel Zina vitanda vya zege na sikama wanashindwa kueka vitanda vya kawaida per day gharama 400,000 hakuna sehemu anakosekana maskini katika huu ulimwengu Mbwa Baba ako na mama ako.
 
Labda atakuwa mimi, sipendagi ujinga wa ubahili
Gyole Gyoleeeeee . unacheza wewe labda kama nimekukuta hapo hapo guest !. Ila nimetoka na wewe hukooo mpaka hapo guest alafu utake kubana NALALA MBELE NA WEWE, utajuta kunikubalia NASEMA UTAPATA MSALA WENYEWE SI WA KITOTO , UTAKUWA NI WA UUMBWAAA KHOKHOHHHH
download.jpg
 
ilikuwa siku moja kabla ya kurudi bongo baada ya wiki nzima ya mishemishe bangkok sasa nikasema lazima nile malaya wa kithailand... kuna red light street moja ipo kama unatoka bangkok nikazama mzee mida kama saa nne usiku nikala bia za kutosha sasa nikicheki hizi malaya kibao wakikuona mgeni wanakumendea

kuna moja hilo lilikuwa lina bonge chura na Boobs za kubust zile nikasema yeeees ndio mambo yangu haya

nikamwita kwa ishara ya mkono akaja baada ya kuongea naye bei akasema kama sina thailand Bhaht basi nimpe USD 40 usiku mzima nikasema haina mbaya ilimradi fantasy yangu itimie

room akasema palepale pub kuna rooms nzuri tu hapo kashaniruhusu nimpapase kifua ila mkono hataki kabisa nipeleke kunako papuchi

basi hao tukaingia room piga romance sana sasa akaanza zile za kizungu.. akanisukuma kitandani alafu akasimama mbele yangu anavua nguo mambo kote yalienda fresh

akabaki na chupi akaniuliza nakumbuka hadi maneno "how would u like it? i take it first or u will take it first or am all yours?" bado nang'aa sharubu nashangaa

akatoa chupi mungu wanguuuu demu ana dudu bhna yani hapo ndio nikakumbuka kuwa bangkok kumejaa wale SHEMALES huku bado nikiwa katika taharuki

akaanza kunambia dont be dissapoited bby there is always a first time in everything

nakumbuka nilimpa hela yake na kutoka mbio pombe zote zimeniisha.. nikamsimulia mwenyeji wangu akanicheka sana.. akasema wenyewe kule wanawaita kayote
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] is dah you made my day
 
Mkuu hiyo research umedanya wapi ulitakiwa useme vitanda vingi vya kamba ningekuelewa tutake radhi mkuu Zanzibar hata 5 star Hotel Zina vitanda vya zege na sikama wanashindwa kueka vitanda vya kawaida per day gharama 400,000 hakuna sehemu anakosekana maskini katika huu ulimwengu Mbwa Baba ako na mama ako.
umerukaruka weeee mwisho wa picha umekiri mwenyewe umasikini wenu......nyumba kibao vitanda ni vya kamba mamaee zenu halafu mnatembea sana peku ina maana ela ya kununua viatu mmekosa....
sitasahau nilienda huko kijijini kwenu nikakuta waya wa umeme umepita kwenye mti badala ya kwenye nguzo......mshukuruni sana bakhresa na ile azam sealink yake inayobeba vyakula kila ijumaa na kuja navyo huko
 
Gyole Gyoleeeeee . unacheza wewe labda kama nimekukuta hapo hapo guest !. Ila nimetoka na wewe hukooo mpaka hapo guest alafu utake kubana NALALA MBELE NA WEWE, utajuta kunikubalia NASEMA UTAPATA MSALA WENYEWE SI WA KITOTO , UTAKUWA NI WA UUMBWAAA KHOKHOHHHHView attachment 822237
Unajua nini,,,, nitakwambia tu siwezi ingia hii lodge, Ikitokea niingie halafu npakute ovyo silali apo ukilazimisha nakutoroka
 
Unajua nini,,,, nitakwambia tu siwezi ingia hii lodge, Ikitokea niingie halafu npakute ovyo silali apo ukilazimisha nakutoroka
Sio rahisi ka unavosema, mada inazungumziwa ni mambo yaliyokutokea zamani. Lakini sasahivi mie nalala guest za kuanzia 30,000/= kwenda juu
 
ilikuwa siku moja kabla ya kurudi bongo baada ya wiki nzima ya mishemishe bangkok sasa nikasema lazima nile malaya wa kithailand... kuna red light street moja ipo kama unatoka bangkok nikazama mzee mida kama saa nne usiku nikala bia za kutosha sasa nikicheki hizi malaya kibao wakikuona mgeni wanakumendea

kuna moja hilo lilikuwa lina bonge chura na Boobs za kubust zile nikasema yeeees ndio mambo yangu haya

nikamwita kwa ishara ya mkono akaja baada ya kuongea naye bei akasema kama sina thailand Bhaht basi nimpe USD 40 usiku mzima nikasema haina mbaya ilimradi fantasy yangu itimie

room akasema palepale pub kuna rooms nzuri tu hapo kashaniruhusu nimpapase kifua ila mkono hataki kabisa nipeleke kunako papuchi

basi hao tukaingia room piga romance sana sasa akaanza zile za kizungu.. akanisukuma kitandani alafu akasimama mbele yangu anavua nguo mambo kote yalienda fresh

akabaki na chupi akaniuliza nakumbuka hadi maneno "how would u like it? i take it first or u will take it first or am all yours?" bado nang'aa sharubu nashangaa

akatoa chupi mungu wanguuuu demu ana dudu bhna yani hapo ndio nikakumbuka kuwa bangkok kumejaa wale SHEMALES huku bado nikiwa katika taharuki

akaanza kunambia dont be dissapoited bby there is always a first time in everything

nakumbuka nilimpa hela yake na kutoka mbio pombe zote zimeniisha.. nikamsimulia mwenyeji wangu akanicheka sana.. akasema wenyewe kule wanawaita kayote
[emoji23][emoji23][emoji23] speed kali ukahisi jini au vipi
 
umejuaje mdau... ndio kilichonikuta... ukifatilia mtiririko wa hii thread nimeandika huo mkasa
Kuna wanangu tulikuwa batani singapore inafika saa 10 wamelewa chakari,tukawa tunatoka kurudi majumbani,mi stumii pombe so niko macho makavu sasa wakati tunaelekea kwenye gari tukapishana na 'mademu' washkaji wakawa wanawasalandia mi nkawaonya jamani nyie mshalewa,na hili eneo sio zuri mtakuja kubeba vitu visivyoeleweka,wakaniona mi fala,eti wakajihakikishia kwa kuwashika maziwa na kupapasa pale kati,mademu gani wana sauti nzito vile.,alafu nahisi kuna wengine wanatoa kabisa mkuyenge mana jamaa alipapasa kabisa akaona hamna kitu.wakawaopoa bwana.kilichofuatia hapo ni majuto.bahati nzuri hata mimi hawajui kama najua.na mie nmejitolea kuwafichia siri.

Kuna mmoja mbongo kabisa yupo hong kong naye kajibadilisha huwezi kumjua kama nidume mpaka akuongeleshe ndo usikie bezi
 
Back
Top Bottom