Waliowahi kuwa wanene au vibonge, tukutane hapa

Waliowahi kuwa wanene au vibonge, tukutane hapa

Kama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaacha
Fafanua kdg hii ili nianze kuitumia
 
Me naupenda unene ila sinenepi, uwe wa size ya kati, kuna jamaa kawa bonge halafu kakaa kama na shepu la kike hadi huruma yani
 
Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.sasa hivi Nina kg70.,kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskel Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko ..unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,Mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
Chakula je! Pamoja na mazoezi hayo ulimantain vipi chakula
 
Tatzo watu wengi hawajui kuwa sukari ndiyo inayinenepesha kwa haraka sana kwahyo ukitaka kuanza diet anza na kuto kula kitu chochote chenye sukari kama soda majuicy na chai
exactly.pamoja na wanga..hata nguvu za kiume the same applies
 
Inataka moyo asikwambie MTU! Ile hamu ya kula ikija unafakamia weeee...unajipa moyo ntaanza kesho diet! Mhhh
 
Back
Top Bottom