Shareef Conscious
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 522
- 343
kilo 1 kwa siku??Hukutumia pills kweli??Maana hyo ratio ni kubwa sanaaaa..Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.sasa hivi Nina kg70.,kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskel Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko ..unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,Mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
ujue kwa mwanaume anahitaji kalori 2640 zitokanazo na chakula ulacho kwa Siku,kwa mwanamke inacheza kwenye 1780 km sijasahau.,Ss hyo ratio yko kidogo inatisha kwakua wakat unapunguza fat percentage iliyopo mwilini still utakua unakula ili shughuli zingine za mwili ziendelee,Mkuu hbu funguka vzr hpo tafadhali