Waliowahi kuwa wanene au vibonge, tukutane hapa

Waliowahi kuwa wanene au vibonge, tukutane hapa

Kama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaacha
Maji ya moto na yenyewe kama hujazoea siku ya kwanza unaweza ukatapika[emoji23]
 
Cha kushangaza me sio mnene lakini mazoezi sasa [emoji18][emoji18] hata wanene wananishinda siwezi kabisaaa
 
Mi napenda kula jamani, mazoezi siwezi [emoji23]
 
Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.sasa hivi Nina kg70.,kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskel Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko ..unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,Mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
How long did you take to cut weight from 120 kg to 70?
 
Kama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaacha
Mazoezi ni kazi
 
Mabia sinywagi kabisaa, Labda kula tuu
Punguza tengeneza Juice usiweke sukari, acha kula mavitu ya dukani Juice, na Kwa Siku Kula wanga asubuhi au mchana, usiku kula mboga za majani tu,, Kilo zako habari sana,, Upo mrefu au mfupi?
 
Punguza tengeneza Juice usiweke sukari, acha kula mavitu ya dukani Juice, na Kwa Siku Kula wanga asubuhi au mchana, usiku kula mboga za majani tu,, Kilo zako habari sana,, Upo mrefu au mfupi?
Nineanza kufanya hivyo nakaribia wiki sasa, Nipo mrefu kiasi
 
Mimi nanenepa saa hizi
Kutoka kg 60
Mpaka 85
Sielewi naelekea wapi
 
Back
Top Bottom