Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,564
- 55,570
Asante[emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante[emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole
Wapo Humu Kibao Ila Hujifanya Wao Ni PotableHa ha haaaaa nani hiyo natamani kumjua....nimechekaaaa aiseeh
[emoji6] [emoji6] [emoji6]Asante[emoji4]
Wewe hutaki kupungua aiseh!unakimbia mazoezi?[emoji23]Ipo sana , uvivu tuu yaani nikianza leo kesho naacha, Nilikimbiaga gym kisa mazoezi magumu yani yule tutorial alivoniona alinipigisha mazoezi nikahisi kufa kufa niliondoka na sikurudi tenaa.
Achaa tuu hata ingekuwa wewe ungekimbiaa si kwa mizoezi ile alonipigisha yule mbaba [emoji17]Wewe hutaki kupungua aiseh!unakimbia mazoezi?[emoji23]
Nifungulie basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahaaa!!acha nipigie mstari kabisa kumbe sikukosea.
Pole njoo nikuelekeze jinsi ya kupungua
Mazoezi yataka moyo wa kujitoa kwakweli tena ujitoe hasa...Achaa tuu hata ingekuwa wewe ungekimbiaa si kwa mizoezi ile alonipigisha yule mbaba [emoji17]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Daah....
Niko 56kg... Ila nikitembea nahema ka nini
Namaanisha nipunguze 110 - 30= 80
Nikifikisha 30 nitalia aiseee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
The last time nimepima nilikuwa na 101 na ilikuwa december mwanzoni 110 nimefanya makadirio tuu maana nimeongezeka zaidiYaaaani unamaanisha kwa sasa una kilo 110 ??
Wala ucogope utapenda mwenyewe..Shukrani sana mkuu... haitokuwa muendelezo ni mwanzo maana mmh...
Sawa mkuuWala ucogope utapenda mwenyewe..
Mi kila siku lazima nikimbie asubuhi,maji ya uvuguvugu+limao daily lazima upungue,nna kamwili kadogo dogo ila sasa nikijiachia nna limwili km kiroba cha mwizi,nanenepa mpaka kichwa[emoji23]Mimi nashindwa kufanya mazoezi wala diet, Nikifanya mazoezi two weeks haziishi naingia majaribuni napumzika[emoji21]
Na siku izi wameturahisishia kuna apps kabisa playstore,za kupungua mwili,tumbo,kujiweka fit nkAcha tuu ntajaribu tena maana nielekeako mmmh