Waliowahi kuwa wanene au vibonge, tukutane hapa

Waliowahi kuwa wanene au vibonge, tukutane hapa

clique-images-315489.jpg
 
Daah....
Niko 56kg... Ila nikitembea nahema ka nini
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Piga squats zinasaidia sana pumzi... Pia kama unaweza fanya bicycle movements...
 
Nilipokuwa form five na six shule fulani huko mbeya nilikua bonge jamani na hivyo mbeya maparachichi kibao ukichanganya na kande lenye harage lina tufunza funza weeee nilikua kama nataka kupasuka. Ila kwa sasa nipo simple na nikajua nikizaa ntafumukaa wala ndo kwanzaaa nakuwa vzr zaidi. 😱
 
Mimi nashindwa kufanya mazoezi wala diet, Nikifanya mazoezi two weeks haziishi naingia majaribuni napumzika[emoji21]
Mi kila siku lazima nikimbie asubuhi,maji ya uvuguvugu+limao daily lazima upungue,nna kamwili kadogo dogo ila sasa nikijiachia nna limwili km kiroba cha mwizi,nanenepa mpaka kichwa[emoji23]
 
Back
Top Bottom