Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuuNimemenunua BMW X5, X3 na X1 za kuendea shambani, nimejenga ghorofa 10 Dar, NairobParis na US, Nimenunua shamba dogo lenye ukubwa wa ekari elfu hamsini Texas Marekani na kijishamba cha ekari elfu ishirini Morogoro.
Kwakifupi bado najitafuta, wewe je?
Asante sasa natafuta bikra mmoja nimweke ndani, kazi iwe kupiga mashine tu.Hongera mkuu
KmmkeNimemenunua BMW X5, X3 na X1 za kuendea shambani, nimejenga ghorofa 10 Dar, Nairobi, Paris na US, Nimenunua shamba dogo lenye ukubwa wa ekari elfu hamsini Texas Marekani na kijishamba cha ekari elfu ishirini Morogoro.
Kwakifupi bado najitafuta, wewe je?
Guys mnaniogopesha, ina maana nikigonga forty naanza kuamka kwa kuguna? Mama yangu ndio namuona anaguna lakini ameanza in her 50's sasa hv yuko kwenye late 60's. Does it have anything to do with weight?Kumbe wewe ni kama mimi tu. Kila wakati lazima nigune mmmm, mmmhhhh!
Hii Koment bila picha ni uongo mtupu kama stori za Hawafu mwenye nguvu.Nimemenunua BMW X5, X3 na X1 za kuendea shambani, nimejenga ghorofa 10 Dar, Nairobi, Paris na US, Nimenunua shamba dogo lenye ukubwa wa ekari elfu hamsini Texas Marekani na kijishamba cha ekari elfu ishirini Morogoro.
Kwakifupi bado najitafuta, wewe je?
Yule Mzee unaemuona km Sanamu za KFC alitoboa akiwa na Miaka 65 akawa Tajiri wa kutupwa, kuna cha kujifunza hapoKama Kuna vitu hujavifanya ukiwa 25---39 jua upo kwenye risk ya kushindwa kuvifanya kabsa