Mkuu jiandae kwa mashambulizi😁😁Migofu washindwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jiandae kwa mashambulizi😁😁Migofu washindwe
Ukishindwa kufanikisha Mimi na-donate hizo sperm za mapacha bure kabisa, usipofanikiwa before 35 nicheck nisije nikazikwa nazo ukakosa mapachaNataka kukamilisha na mapacha before 35 Mkuu, sitovuka hapo. Labda Mungu aamue vinginevyo, asante.
1890 mpaka 2024?Nipo hai njoo Arusha ,maeneo kia nipo nachart nawewe
Ndioo why huamini ukila mboga mboga na maji mengi unaishi sio minyama kila daily1890 mpaka 2024?
Una miaka 1000 Mia ngapi mpaka sasa?Ndioo why huamini ukila mboga mboga na maji mengi unaishi sio minyama kila daily
134Una miaka 1000 Mia ngapi mpaka sasa?
Ulichelewa sana mkuu ..nimelia sana 😂😭 😭Aiseee, I will be turning 40 in November 2024,bado napambana. I have four kids mmoja Yuko sekondari tayari. Zaidi niliachwa.
Endeleeni kupambana na uti suguna sisi wa 2000
Hongera na pole kwa kuachwaAiseee, I will be turning 40 in November 2024,bado napambana. I have four kids mmoja Yuko sekondari tayari. Zaidi niliachwa.
Wewe nitakuja HUKO Kia nione kaburi lako
4 kid's umeupiga mwingi salute kwako mkuu hata km uliachwa Ila utamu umeufaidiAiseee, I will be turning 40 in November 2024,bado napambana. I have four kids mmoja Yuko sekondari tayari. Zaidi niliachwa.
Shindwa shindwaWewe nitakuja HUKO Kia nione kaburi lako
Asante mkuu.Hongera na pole kwa kuachwa
Nguvu ndo zinaelekea kuanza kupunguaaaTupo tunapambania vibarua site za ujenzi mpaka tutoboe ni 60's
Ni kwa neema na rehema za Muumba4 kid's umeupiga mwingi salute kwako mkuu hata km uliachwa Ila utamu umeufaidi
Siyo kwamba unakiwa uache kazi ukasimamie miradi yako? Kama ipo lakiniKama ni mwajiriwa ina maana umebakisha miaka 20 tu ustaafu