Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%

Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%

Huu mjadala ningeweza kuandika kwa kirefu tatizo liko wapi, Hii sio DP wala bandari ya Mombasa shida ni ya kidunia na wakubwa ndio wameamua hivyo. Niandike kwa kifupi sana nini kimetokea. Red sea jamaa wanashambulia meli sasa gharama zimekuwa kubwa sana kwa insurance na wakichukua njia mbadala lakini hii inaleta shida zaidi kwa nchi za ulaya na US kuliko China na zingine Asia na pia Africa.

Shipping agent wakaona kuongeza gharama kwa meli zinazoenda Ulaya tu na US itawapa advantage nchi zingine na hasa China wakaamua bei zote shipping ziwe sawa ila kutompa mtu mmoja advantage kibishara sasa hizi gharama dunia nzima zimepanda kwa maana hiyo nenda port yoyote story ni the same. Ni story ndefu kinachofanyika na wakubwa huko juu kuleta hili balaa.
Mh Mh Heijah mimi sikatai hoja yako ni kweli na ina mashiko labda baadhi ya wasomaji wasiwe na ufahamu wa nini kinatokea huko na effect kwenye global economy. Ila lazima ujue kwenye kila dependent variables (observation/matokeo) mara nyingi kuna attribute mbalimbali , naomba niziite independent variables (hizi si observation bali ni causes/attributes). Sasa percentage contribution ya multiple attributes/causes kwa dependent variables (observation/matokeo) zinatofautiana. Na hapa ndipo tunashindilia msumari kwa DP world; hawa jamaa watakuwa wamesababisha /contributes more than 70% ya inflation kama single attribute kulinganisha na attributes nyingine including hiyo ya conflict in the red sea. Kwani kama hoja yako ina mashiko kwa nini mizigo yote ihamie Mombasa wakati na wao wameathilika na global conflict in the red sea. Na kwa nini sis tuwe na unrealistic inflation ya more than 360 % wakati wenzetu wana only 20-50% , hiyo ni more than triple increase compared to our competetors. Je unafikiri tutwaweza kushindana.
 
Mimi kwanza hizi sheria za rais ku sign mkataba kwa miaka 30 sikubaliani nalo inakuwaje raisi anafanya maamuzi ya miaka 30 yaani vizazi vitatu vijavyo kwa nini asifanye kwa miaka yake tu ya uongozi anafanyaje maamuzi ya vizazi vitatu it's very dangerous.
 
Safi sana , ni hbri njema hii.Gharama zipande za kutoa mizigo zipande , bidhaa madukani zipande, wananchi washike adabu ili ikifika 2025 wawe na akili za kulitoa madarakani hili dubwana liitwalo CCM
Hakuna mwananchi anayeweza kuitoa CCM kwasababu tangia 1995 hawajawahi kushinda ila wapo madarakani kwa hyo hao bila kuwatoa kwa fimbo hawatatoka.
 
Hivi huko hamjawasikia Houthi na vijana wa kisomali waliorudi kuteka meli na kuvuta mpunga?

Hali ni mbaya meli zinazunguka na wengine wamesitisha biashara kabisa

Sitetei hao ila ukweli ni kwamba wengi hawajui yanayoendelea baharini huko kwa Wayemen
Ukipita kibabe hapo utatekwa hao hawana utani
 
Safi sana , ni hbri njema hii.Gharama zipande za kutoa mizigo zipande , bidhaa madukani zipande, wananchi washike adabu ili ikifika 2025 wawe na akili za kulitoa madarakani hili dubwana liitwalo CCM
Ukilipa CiF Kuna na insurance sasa kama insurance inakuwa cover mzigo wakati wa usafarishaji ni nani anawadanga wananchi
 
Huu mjadala ningeweza kuandika kwa kirefu tatizo liko wapi, Hii sio DP wala bandari ya Mombasa shida ni ya kidunia na wakubwa ndio wameamua hivyo. Niandike kwa kifupi sana nini kimetokea. Red sea jamaa wanashambulia meli sasa gharama zimekuwa kubwa sana kwa insurance na wakichukua njia mbadala lakini hii inaleta shida zaidi kwa nchi za ulaya na US kuliko China na zingine Asia na pia Africa.

Shipping agent wakaona kuongeza gharama kwa meli zinazoenda Ulaya tu na US itawapa advantage nchi zingine na hasa China wakaamua bei zote shipping ziwe sawa ila kutompa mtu mmoja advantage kibishara sasa hizi gharama dunia nzima zimepanda kwa maana hiyo nenda port yoyote story ni the same. Ni story ndefu kinachofanyika na wakubwa huko juu kuleta hili balaa.
Sio kweli, DP WORD nitatizo pamoja na ujenzi wahoja ulionao, Mtia Mada kasema transport agent wamehamia Mombasa, kwakuwa wanaona ongezeko la gharama kwenye bandari ya Dar, hojayako inakosa Mashiko kwa kuzingatia hiyo sababu Moja ya nikwasababu gani wamehamia Bandari ya Mombasa?
 
Huu mjadala ningeweza kuandika kwa kirefu tatizo liko wapi, Hii sio DP wala bandari ya Mombasa shida ni ya kidunia na wakubwa ndio wameamua hivyo. Niandike kwa kifupi sana nini kimetokea. Red sea jamaa wanashambulia meli sasa gharama zimekuwa kubwa sana kwa insurance na wakichukua njia mbadala lakini hii inaleta shida zaidi kwa nchi za ulaya na US kuliko China na zingine Asia na pia Africa.

Shipping agent wakaona kuongeza gharama kwa meli zinazoenda Ulaya tu na US itawapa advantage nchi zingine na hasa China wakaamua bei zote shipping ziwe sawa ila kutompa mtu mmoja advantage kibishara sasa hizi gharama dunia nzima zimepanda kwa maana hiyo nenda port yoyote story ni the same. Ni story ndefu kinachofanyika na wakubwa huko juu kuleta hili balaa.
Acha usanii dogo
Hakuna shipping agent anayepandisha gharama kibwege

Hebu tuwekee mkeka waghama aina za Kodi tangu uagizaji mpaka mzigo unapomfikia mlaji ili tujue tatizo liko wapi

Nikusaidie tu ghara Huwa hivi

1).CIF
). Inspection fees
3) Tbs
4) importy duty
5) exercise duty
6) vat
7) lafhage
I7)nspection
8) shipping line fees
9) clearing &transport fees
10)...
11)....
Kwenye hii list gharama zimeongezeka wapi ili tujue wakumkaba!
 
Kwa kweli huyu bibi yenu ametuharibia kabisa Nchi yetu.97%ya mzigo wote wa congo drc unapitia bandari ya mombasa.na hii imeanza baada ya bandari ya Dar es salaam kuuziwa dp world na kupelekea kukosa mapato.kingine Kwa Sasa meli zinakaa muda mrefu sana tofauti na tulivyokuwa tunaaminishwa na Hawa wahuni waliojipachika cheo Cha ubunge kuwa mapato yataongezeka wakati ukweli yameshuka sana.Kuchelewa Kwa upakuaji mizigo imepelekea wakongo kuihama bandari yetu na kuhamia mombasa.huyu mama ni hatari Kwa ustawi wa jamii.
Si wako hatua za awali na wana boresha miundo mbinu? Jipe muda kwanza
 
Huu mjadala ningeweza kuandika kwa kirefu tatizo liko wapi, Hii sio DP wala bandari ya Mombasa shida ni ya kidunia na wakubwa ndio wameamua hivyo. Niandike kwa kifupi sana nini kimetokea. Red sea jamaa wanashambulia meli sasa gharama zimekuwa kubwa sana kwa insurance na wakichukua njia mbadala lakini hii inaleta shida zaidi kwa nchi za ulaya na US kuliko China na zingine Asia na pia Africa.

Shipping agent wakaona kuongeza gharama kwa meli zinazoenda Ulaya tu na US itawapa advantage nchi zingine na hasa China wakaamua bei zote shipping ziwe sawa ila kutompa mtu mmoja advantage kibishara sasa hizi gharama dunia nzima zimepanda kwa maana hiyo nenda port yoyote story ni the same. Ni story ndefu kinachofanyika na wakubwa huko juu kuleta hili balaa.
Jibu zuri mkuu, una hoja, swali sasa

Je kama gharama zimepanda kote, kwanini, watu wakimbilie mombasa na hali jambo hili la kidunia?
 
Hivi huko hamjawasikia Houthi na vijana wa kisomali waliorudi kuteka meli na kuvuta mpunga?

Hali ni mbaya meli zinazunguka na wengine wamesitisha biashara kabisa

Sitetei hao ila ukweli ni kwamba wengi hawajui yanayoendelea baharini huko kwa Wayemen
Ukipita kibabe hapo utatekwa hao hawana utani
Kama ni hivyo kwanini wateja wakimbilie Mombasa?
Kwanini iwe ni Tanzania tu na sio Kenya
 
Safi sana , ni hbri njema hii.Gharama zipande za kutoa mizigo zipande , bidhaa madukani zipande, wananchi washike adabu ili ikifika 2025 wawe na akili za kulitoa madarakani hili dubwana liitwalo CCM
Bahati mbaya kwetu na nzuri kwao Rais wa tanzania haamriwi na Kura za wananchi.
Hii nchi ukiwa na akili ya kuona mambo kabla hayajatokea utateseka sana.
Basically hii nchi ina hasira sana na watu wenye akili.
 
Safi sana , ni hbri njema hii.Gharama zipande za kutoa mizigo zipande , bidhaa madukani zipande, wananchi washike adabu ili ikifika 2025 wawe na akili za kulitoa madarakani hili dubwana liitwalo CCM
HALAFU WAMUWEKE NANI SASA NCHI IKAE BILA SERIKALI?
 
Hivi huko hamjawasikia Houthi na vijana wa kisomali waliorudi kuteka meli na kuvuta mpunga?

Hali ni mbaya meli zinazunguka na wengine wamesitisha biashara kabisa

Sitetei hao ila ukweli ni kwamba wengi hawajui yanayoendelea baharini huko kwa Wayemen
Ukipita kibabe hapo utatekwa hao hawana utani
Hao houth wanateka meri zinazokuja kwenye bandari ya tanzania tu ama?.
Kwamba pona pona ya shippers meri zao zisitekwe ni kutumia bandari ya mombasa na kwingeno ila wakitaka tumia bandari za tanzania meri zao zinateka?.
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Binafsi nimefuatilia shida siyo mamlaka za hapa bali ni njia kubadilika na kuwa ndefu,imeongeza cost za usafirishaji
 
Back
Top Bottom