Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%

Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%

Hakika sikio la kufa halisikii dawa. Wabunge wakishirikiana na mawaziri, machawa na wapambe e.g. baadhi ya waandishi walituaminisha pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zetu kwa DP world.

Tuliaminishwa, ulimwengu unaenda kasi lazima tuende na wakati, tuende na utandawazi, pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zote baharini na nchi kavu na misitu yetu mikubwa kwa DP world, mwanzo ilikuwa kwa miaka 100, baada ya kilio ikashushwa kwa miaka kama 30, miaka ambayo karibu viongozi na wabunge wote waliopitisha hii sheria watakuwa wamekwisha kufia mbali na kuwaachia vizazi vyetu umasikini wa kutupwa chini ya utumwa mamboleo kwenye rasilimali zao.

"Sikieni nyie watanzania msiotaka maendeleo, hawa DP world wanauzoefu wa kuendesha mabandari makubwa kimataifa; India na Marekani (just to mention a few). Hawa jamaa sio tu tukiwapatia bandari watapunguza siku za mzigo kukaa bandarini mwezi mzima bali itakuwa wiki moja au mbili na ghalama za kuingiza mzigo zitashushwa zaidi ya nusu ya gharama za sasa"

"Watakuja na vifaa state of arts, watacomputerize process nzima za kutoa mzigo kuongeza quality na tija. Nchi itapata mapato matrililioni (ile figure siwezi kuiweka hapa kwani ni kituko) , mapato ya mwaka yatakuwa zaidi ya jumla ya mapato ya miaka kumi iliyopita" NDIVYO WATANZANIA TULIVYOHAMINISHWA NA WAWAKILISHI WETU BUNGENI, wakipewa support na machawa na wapambe waandishi waliolipwa rushwa ya kupelekwa DubaI few days kwenye five stars Hotel na kulipwa mamilioni na magari ya kifahari juu. Hivi wanajisikiaje sasa wakiona wotetunasuffer; Ila wabongo bwana hatuna aibu, tunajua kumute, macho makavuuuu, ndindindi! as if nothing happened.

Sasa tunaambiwa tukae mkao wa kula, kwa kupanda kwa gharama ya kwa asilimia 360% kuingiza na kutoa mzigo bandarini; haijawahi kutokea tangia bandari zetu zianze kufanya kazi, tutegemee mfumuko wa bei ya vifaa vyote tunavyotumia (vipuli na vifaa vya magari, magari yenyewe, ujenzi, kilimo, umwagiliaji, mafuta n.k) kwani hata hivyo vinavyotengenezwa nchini mali ghafi inatoka nje, tutegemee mfumuko wa bei ya vyakula na mafuta, tutegemee ghalama zote za maisha kupanda. Kibaya zaidi serikali itakosa mapato makubwa, sitakiwi kuweka takwimu hapa na contribution ya bandari zetu kwenye budget nzima ya nchi; Kwishnei! Nakwambia kama wangekuwa na tija tayari leo tungeambiwa mapato yalivyoongezeka, huduma ilivyoboreshwa, Jiulize kwa nini kimya kikali sana.?

Tunaambiwa copper ya Congo iliyokuwa ikipitishwa hapa kwetu, sasa inapitia bandari ya Mombasa, Wafanyabiashara wa nchi zote jirani na wa ndani wamehama/watahamia bandari ya Mombasa. Hivi jiulize yale malori lukuki ya Mizigo kutoka na kwenda Uganda, Burundi, Kongo, Malawi, Rwanda , Zambia, Malori uliyokuwa ukipishana nayo wakati wote yameunga tela kutokea Dodoma mpaka Dar es salaam to and fro yamepotelea wapi?. what is the implication of that? Ni kiasi gani cha mabillioni walikuwa wakilipa kwa mwezi na sasa yanapotea. Hakika huhitaji akili ya PhD ya uchumi kujua kitakachotokea kesho kwenye maisha ya watu wa kawaida.

Rushwa ni mbaya sana, kwani mpokea rushwa hajali madhara yatakayotokea kwa wenzake na kizazi kijacho, yeye anaangalia masilahi yake na familia yake kwa wakati huo, ndio umesikia. Ni kweli hakuna ubishi kuna watu wamekuwa mabilionea kupitia ishu hii ya DP world. Ila wapambe koko, wengine utawasikia hata humu jamii forum kupitia comments zao huku hata wao ni njaa kali na shida kwelikweli ila bado wanatetea dhuluma hii ya rasilimali yetu, wanatetea ubakaji na utekaji wa mali ya umma tuliyokuwa tunamiliki tangia uhuru na kujipangia kulingana na kipato chetu

Na hii unaambiwa ni bado, hizi ni mvua za rasharasha, cha mtoto (this is just a pre-amble) labda tuvunje mkataba, mkataba ambao hatuwezi hata thubutu.

Nafikiri bado hatujasahahu vifungu toa damu, vifungu kata roho walivyotuwekea ili tusithubutu hata kufikiria kuvunja huu mkataba, achana na independent tribunal ya nje itakayotakiwa kibaya eti lazima wao kwanza wakubali na kulidhia ndipo waturuhusu kuvunja mkataba. Ebu msomaji fikiria eti ili uvunje mkataba unaambiwa itabidi huyo anayefaidi akubali kwanza. Hivi wasomi wetu, wanasheria, viongozi wetu kuna wakati mnakuwa na mapepo wakati mnasign mikataba hii, au akili zenu zinakuwa zimehamishwa seheme nyingine na kubaki vichwa tupu, eti inabidi adui, dhulumati , anayefaidi alidhie kwanza ndipo kukuruhusu uanze mchakato wa kuchukua kile anachofaidi,ili umnyang'anye tonge nono mdomoni. Hivi kwa akili ya kawaida inawezekana kweli. Hata Malaika hawezi kufanya hivyo nakwambieni.

Ngoja sasa msumari wa moto uingie vizuri, sisi wabongo tunajifanyaga wajuaji sana, hatujifunzi hata kwa wenzetu Malysia waliovunja mkataba na hawa DP-world, kizuri wao hawakuwa na masharti magumu sisi vipofu tukajifanya wajanja kama kawaida yetuna kukubali masharti kata roho, masharti vujisha damu. Sasa tusubili kuendelea kubleed till we are dried -up. Na hili liwe somo kwa watunga sheria wetu, sio kila ukipewa kadola, ukipelekwa Dubai for 5 days night in 5 starts hotel unasahau ndugu zako, wazazi wako, wajukuu zako, kizazi chako, mbaya zaidi hata wale waliokuweka hapo.
LEO WAKO WAPI WALIOLOPOKA
MBONA SIWASIKII.
Mtujuze leo wanaongeleaje hili swala? au ndio kama kawaida vichwa vyao havitunzi kumbukumbu ya vinywa vyao.
 
Acha usanii dogo
Hakuna shipping agent anayepandisha gharama kibwege

Hebu tuwekee mkeka waghama aina za Kodi tangu uagizaji mpaka mzigo unapomfikia mlaji ili tujue tatizo liko wapi

Nikusaidie tu ghara Huwa hivi

1).CIF
). Inspection fees
3) Tbs
4) importy duty
5) exercise duty
6) vat
7) lafhage
I7)nspection
8) shipping line fees
9) clearing &transport fees
10)...
11)....
Kwenye hii list gharama zimeongezeka wapi ili tujue wakumkaba!
Hizo ni kiasi kikubwa zinaendana na local imports. Transit imports ambayo ni kubwa mno ndiyo mtoa mada anasema wamehama bandari yetu. Je huko wanakoenda maharamia wako excluded?
 
LEO WAKO WAPI WALIOLOPOKA
MBONA SIWASIKII.
Mtujuze leo wanaongeleaje hili swala? au ndio kama kawaida vichwa vyao havitunzi kumbukumbu ya vinywa vyao.
Tatizo akili za wajinga wengi zimehodhiwa na ccm,suala nyeti kama hili wakaingiza udini kweli tumepatikana MUNGU tu ndiye atatuepusha na hatari iliyo mbele huko.
 
Mh Mh Heijah mimi sikatai hoja yako ni kweli na ina mashiko labda baadhi ya wasomaji wasiwe na ufahamu wa nini kinatokea huko na effect kwenye global economy. Ila lazima ujue kwenye kila dependent variables (observation/matokeo) mara nyingi kuna attribute mbalimbali , naomba niziite independent variables (hizi si observation bali ni causes/attributes). Sasa percentage contribution ya multiple attributes/causes kwa dependent variables (observation/matokeo) zinatofautiana. Na hapa ndipo tunashindilia msumari kwa DP world; hawa jamaa watakuwa wamesababisha /contributes more than 70% ya inflation kama single attribute kulinganisha na attributes nyingine including hiyo ya conflict in the red sea. Kwani kama hoja yako ina mashiko kwa nini mizigo yote ihamie Mombasa wakati na wao wameathilika na global conflict in the red sea. Na kwa nini sis tuwe na unrealistic inflation ya more than 360 % wakati wenzetu wana only 20-50% , hiyo ni more than triple increase compared to our competetors. Je unafikiri tutwaweza kushindana.
Naona vizuri watu tukijadiliana kwa hoja na nimependa kwa maandiko mazuri. Mimi siwezi kusema direct kama kuna DP wamechangia pia sababu sina data breakdown hizo cost pia zimechangiwa na kuongeza charges port au ni shipping lines tu wakija na breakdown ndio tunaweza kujua shida ipo wapi. Lakini kuhusu Mombasa kuwa watu wanakimbilia kule hili limeanza kabla hata ya DP kuja Tz ni miaka na miaka tunasikia hayo na hatujawahi kujuwa sababu ni nini, sasa kusema kwenda Mombasa ni sababu DP inakuwa sio haki.

Ila ni muhimi kwa hawa wakala wa shipping waweke wazi hizo gharama zimetoka wapi? je hakuna regulators nchi hii? mbona mengine tunayaweza. Unajuwa meli zikiwa kubwa zinaleta mizigo gharama zinakuwa chini kidogo shida huku kwetu vimeli vidogo vinakuja. Nakubaliana na wewe kabla hatujaanza kunyosheana vidole tupate breakdown wapi gharama zimezidi sababu ni wapi.
 
Sio kweli, DP WORD nitatizo pamoja na ujenzi wahoja ulionao, Mtia Mada kasema transport agent wamehamia Mombasa, kwakuwa wanaona ongezeko la gharama kwenye bandari ya Dar, hojayako inakosa Mashiko kwa kuzingatia hiyo sababu Moja ya nikwasababu gani wamehamia Bandari ya Mombasa?
Hapana mimi sababu sijaona wakala statement sababu zao za kuhamia Mombasa nashindwa kuongelea. Lakini kama una statement yoyote ya wakala kuhusu hilo please tuwekee hapa ili tunufaike na kujuwa ukweli na tukijuwa ni DP basi tutalisemea hili kwa nguvu. Hoja ya kuhamia Mombasa kabla ya DP wanasema Mombasa ni rahisi haijaanza leo. Ila unakubali dunia nzima shipping imepanda mpaka 50%.
 
Hakika sikio la kufa halisikii dawa. Wabunge wakishirikiana na mawaziri, machawa na wapambe e.g. baadhi ya waandishi walituaminisha pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zetu kwa DP world.

Tuliaminishwa, ulimwengu unaenda kasi lazima tuende na wakati, tuende na utandawazi, pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zote baharini na nchi kavu na misitu yetu mikubwa kwa DP world, mwanzo ilikuwa kwa miaka 100, baada ya kilio ikashushwa kwa miaka kama 30, miaka ambayo karibu viongozi na wabunge wote waliopitisha hii sheria watakuwa wamekwisha kufia mbali na kuwaachia vizazi vyetu umasikini wa kutupwa chini ya utumwa mamboleo kwenye rasilimali zao.

"Sikieni nyie watanzania msiotaka maendeleo, hawa DP world wanauzoefu wa kuendesha mabandari makubwa kimataifa; India na Marekani (just to mention a few). Hawa jamaa sio tu tukiwapatia bandari watapunguza siku za mzigo kukaa bandarini mwezi mzima bali itakuwa wiki moja au mbili na ghalama za kuingiza mzigo zitashushwa zaidi ya nusu ya gharama za sasa"

"Watakuja na vifaa state of arts, watacomputerize process nzima za kutoa mzigo kuongeza quality na tija. Nchi itapata mapato matrililioni (ile figure siwezi kuiweka hapa kwani ni kituko) , mapato ya mwaka yatakuwa zaidi ya jumla ya mapato ya miaka kumi iliyopita" NDIVYO WATANZANIA TULIVYOHAMINISHWA NA WAWAKILISHI WETU BUNGENI, wakipewa support na machawa na wapambe waandishi waliolipwa rushwa ya kupelekwa DubaI few days kwenye five stars Hotel na kulipwa mamilioni na magari ya kifahari juu. Hivi wanajisikiaje sasa wakiona wotetunasuffer; Ila wabongo bwana hatuna aibu, tunajua kumute, macho makavuuuu, ndindindi! as if nothing happened.

Sasa tunaambiwa tukae mkao wa kula, kwa kupanda kwa gharama ya kwa asilimia 360% kuingiza na kutoa mzigo bandarini; haijawahi kutokea tangia bandari zetu zianze kufanya kazi, tutegemee mfumuko wa bei ya vifaa vyote tunavyotumia (vipuli na vifaa vya magari, magari yenyewe, ujenzi, kilimo, umwagiliaji, mafuta n.k) kwani hata hivyo vinavyotengenezwa nchini mali ghafi inatoka nje, tutegemee mfumuko wa bei ya vyakula na mafuta, tutegemee ghalama zote za maisha kupanda. Kibaya zaidi serikali itakosa mapato makubwa, sitakiwi kuweka takwimu hapa na contribution ya bandari zetu kwenye budget nzima ya nchi; Kwishnei! Nakwambia kama wangekuwa na tija tayari leo tungeambiwa mapato yalivyoongezeka, huduma ilivyoboreshwa, Jiulize kwa nini kimya kikali sana.?

Tunaambiwa copper ya Congo iliyokuwa ikipitishwa hapa kwetu, sasa inapitia bandari ya Mombasa, Wafanyabiashara wa nchi zote jirani na wa ndani wamehama/watahamia bandari ya Mombasa. Hivi jiulize yale malori lukuki ya Mizigo kutoka na kwenda Uganda, Burundi, Kongo, Malawi, Rwanda , Zambia, Malori uliyokuwa ukipishana nayo wakati wote yameunga tela kutokea Dodoma mpaka Dar es salaam to and fro yamepotelea wapi?. what is the implication of that? Ni kiasi gani cha mabillioni walikuwa wakilipa kwa mwezi na sasa yanapotea. Hakika huhitaji akili ya PhD ya uchumi kujua kitakachotokea kesho kwenye maisha ya watu wa kawaida.

Rushwa ni mbaya sana, kwani mpokea rushwa hajali madhara yatakayotokea kwa wenzake na kizazi kijacho, yeye anaangalia masilahi yake na familia yake kwa wakati huo, ndio umesikia. Ni kweli hakuna ubishi kuna watu wamekuwa mabilionea kupitia ishu hii ya DP world. Ila wapambe koko, wengine utawasikia hata humu jamii forum kupitia comments zao huku hata wao ni njaa kali na shida kwelikweli ila bado wanatetea dhuluma hii ya rasilimali yetu, wanatetea ubakaji na utekaji wa mali ya umma tuliyokuwa tunamiliki tangia uhuru na kujipangia kulingana na kipato chetu

Na hii unaambiwa ni bado, hizi ni mvua za rasharasha, cha mtoto (this is just a pre-amble) labda tuvunje mkataba, mkataba ambao hatuwezi hata thubutu.

Nafikiri bado hatujasahahu vifungu toa damu, vifungu kata roho walivyotuwekea ili tusithubutu hata kufikiria kuvunja huu mkataba, achana na independent tribunal ya nje itakayotakiwa kibaya eti lazima wao kwanza wakubali na kulidhia ndipo waturuhusu kuvunja mkataba. Ebu msomaji fikiria eti ili uvunje mkataba unaambiwa itabidi huyo anayefaidi akubali kwanza. Hivi wasomi wetu, wanasheria, viongozi wetu kuna wakati mnakuwa na mapepo wakati mnasign mikataba hii, au akili zenu zinakuwa zimehamishwa seheme nyingine na kubaki vichwa tupu, eti inabidi adui, dhulumati , anayefaidi alidhie kwanza ndipo kukuruhusu uanze mchakato wa kuchukua kile anachofaidi,ili umnyang'anye tonge nono mdomoni. Hivi kwa akili ya kawaida inawezekana kweli. Hata Malaika hawezi kufanya hivyo nakwambieni.

Ngoja sasa msumari wa moto uingie vizuri, sisi wabongo tunajifanyaga wajuaji sana, hatujifunzi hata kwa wenzetu Malysia waliovunja mkataba na hawa DP-world, kizuri wao hawakuwa na masharti magumu sisi vipofu tukajifanya wajanja kama kawaida yetuna kukubali masharti kata roho, masharti vujisha damu. Sasa tusubili kuendelea kubleed till we are dried -up. Na hili liwe somo kwa watunga sheria wetu, sio kila ukipewa kadola, ukipelekwa Dubai for 5 days night in 5 starts hotel unasahau ndugu zako, wazazi wako, wajukuu zako, kizazi chako, mbaya zaidi hata wale waliokuweka hapo.
Mm ntakua wa mwisho kukubari, mpaka ntakapoona rasmi waraka kutoka kwao, wenye ufafanusi wa bei mpya za kuagiza mizigo.
 
Acha usanii dogo
Hakuna shipping agent anayepandisha gharama kibwege

Hebu tuwekee mkeka waghama aina za Kodi tangu uagizaji mpaka mzigo unapomfikia mlaji ili tujue tatizo liko wapi

Nikusaidie tu ghara Huwa hivi

1).CIF
). Inspection fees
3) Tbs
4) importy duty
5) exercise duty
6) vat
7) lafhage
I7)nspection
8) shipping line fees
9) clearing &transport fees
10)...
11)....
Kwenye hii list gharama zimeongezeka wapi ili tujue wakumkaba!
Global supply chains are no longer tight and goods consumption today is rising only moderately. Shipping costs have increased by more than 150% since December 2023 as a result of disruptions to maritime traffic in the Red Sea.
 
Jibu zuri mkuu, una hoja, swali sasa

Je kama gharama zimepanda kote, kwanini, watu wakimbilie mombasa na hali jambo hili la kidunia?
Hili suala la Mombasa versus Dar halijaanza leo tumeambiwa Mombasa cheap kuliko Tz kwa miaka mingi tu kabla ya DP. Lakini nakubaliana na wewe kunahitajika cost breakdown. Mombasa inaweza kuwa cheap lakini kwa % ngapi? kama kabla ya rate mpya tuseme Mombasa ilikuwa cheap kwa 5% kwa mfano tu je leo ni same gap au tunaongelea 360% wanayosema watu humu. naweka habari za Kenya hapa kuonyesha wali walitoa angalizo bei zinapanda.

Kenya Ships Agents Association (KSAA) on Wednesday said importers should expect higher charges from this week as stakeholders assess the increasing insecurity from Yemen Houthis’ claim of fresh Red Sea attacks on British and American ships.

KSAA Chief Executive Officer Juma Ali Tellah said shippers are concerned about the escalating conflict along the Red Sea route, and its potential repercussions on the business community and consumers in East Africa.

The worry was always expected to bring a new burden. But the actual cost increment wasn’t known since December when Houthis first fired the first missile.
 
Msoma matokeo 2025.

Idadi ya wapiga kura M35.
Waliopo mjini M15.
Waliopo vijijini, umasaini, porini kusipo na internet wala duka la kijiji wala bandari 20M.
Du, umemaliza.
 
Huu mjadala ningeweza kuandika kwa kirefu tatizo liko wapi, Hii sio DP wala bandari ya Mombasa shida ni ya kidunia na wakubwa ndio wameamua hivyo. Niandike kwa kifupi sana nini kimetokea. Red sea jamaa wanashambulia meli sasa gharama zimekuwa kubwa sana kwa insurance na wakichukua njia mbadala lakini hii inaleta shida zaidi kwa nchi za ulaya na US kuliko China na zingine Asia na pia Africa.

Shipping agent wakaona kuongeza gharama kwa meli zinazoenda Ulaya tu na US itawapa advantage nchi zingine na hasa China wakaamua bei zote shipping ziwe sawa ila kutompa mtu mmoja advantage kibishara sasa hizi gharama dunia nzima zimepanda kwa maana hiyo nenda port yoyote story ni the same. Ni story ndefu kinachofanyika na wakubwa huko juu kuleta hili balaa.
Acha story za vijiweni.
 
LEO WAKO WAPI WALIOLOPOKA
MBONA SIWASIKII.
Mtujuze leo wanaongeleaje hili swala? au ndio kama kawaida vichwa vyao havitunzi kumbukumbu ya vinywa vyao.
Mwandishi pia ameulizia swali hilo, kwamba wale waliotuhaminisha na kujihapiza kwamba Tanzania itakuwa kahanani punde tu tukiwakubali hawa DP world. Wengine wakafanya mahesabu ya matrillioni tutakayopata ilikuwa zaidi ya asilimia 50% ya budget ya nchi kwa mwaka. Hivi hawa watu hawaoni haibu, wako wapi? sura zao wamezificah wapi? hata kutoka hadharani na kusema mtusamehe hawawezi? wameuchuna kama vile sio wao. Na hilo ndilo tatizo la watanzania, tunasahau mapema sana. Sehemu nyingine wangeandamwa mmoja baada ya mwingien watwambie kwa nini baada ya kupelekwa dubai, wakakaa 5 stars hotel, wakala bata , walikuja kutudanganya.
 
Acha usanii dogo
Hakuna shipping agent anayepandisha gharama kibwege

Hebu tuwekee mkeka waghama aina za Kodi tangu uagizaji mpaka mzigo unapomfikia mlaji ili tujue tatizo liko wapi

Nikusaidie tu ghara Huwa hivi

1).CIF
). Inspection fees
3) Tbs
4) importy duty
5) exercise duty
6) vat
7) lafhage
I7)nspection
8) shipping line fees
9) clearing &transport fees
10)...
11)....
Kwenye hii list gharama zimeongezeka wapi ili tujue wakumkaba!
Una hoja nzuri lakini uswahili ndio shida, umeandika kama mtu mwelewa lakini ukianza tu na "acha usanii dogo" mtu anakushusha unajuwa mtu wa aina gani. twende kwenye hoja yako. andika gharama na before kwa kutumia breakdown uliyoandika. Ili tujuwe gharama zimepanda ziko ndani ya uwezo wetu au hapana. Kama ni number 3, 4, 5, 6 ni ya sera za kikodi lakini najuwa budget mpya bado sasa uhakika hakuna ongezeko hapo. 1, 2, 7, 8 na 9 haziko kwenye mikono yetu hasa CIF sasa tupe comparison kabla na baada.
 
wewe pita uandishi wako tu najuwa naongea na mtu ni kama hajielewi au uhuni fulani wa kizamani.
Mkuu wewe panic tu ila the fact is ulichoandika ni story za vijiweni.
 
Soma vizuri andiko kuna baadhi ya viashiria vimetajwa na mwandishi, huhitaji ushahidi wa kimaandishi. Ila umeambiwa subiri mpaka mwezi wa 12 ndipo urudi na kuuliza ushahidi. Wabongo wengine bwana. Soma mchania mada Sapire juu hapo na yeye ametoa ushahidi. Hivi watanzania mpaka mtu akukate shingo ndio ujue upanga ni mkali
Akili za CCM hizo,,hawezi kuelewa hilo andiko!
 
Back
Top Bottom