WaTZ wengi ni kama kupe.Soma vizuri andiko kuna baadhi ya viashiria vimetajwa na mwandishi, huhitaji ushahidi wa kimaandishi. Ila umeambiwa subiri mpaka mwezi wa 12 ndipo urudi na kuuliza ushahidi. Wabongo wengine bwana. Soma mchania mada Sapire juu hapo na yeye ametoa ushahidi. Hivi watanzania mpaka mtu akukate shingo ndio ujue upanga ni mkali
Hao Mombassa mizigo yao inapitishiwa wapi?Mh Mh Heijah mimi sikatai hoja yako ni kweli na ina mashiko labda baadhi ya wasomaji wasiwe na ufahamu wa nini kinatokea huko na effect kwenye global economy. Ila lazima ujue kwenye kila dependent variables (observation/matokeo) mara nyingi kuna attribute mbalimbali , naomba niziite independent variables (hizi si observation bali ni causes/attributes). Sasa percentage contribution ya multiple attributes/causes kwa dependent variables (observation/matokeo) zinatofautiana. Na hapa ndipo tunashindilia msumari kwa DP world; hawa jamaa watakuwa wamesababisha /contributes more than 70% ya inflation kama single attribute kulinganisha na attributes nyingine including hiyo ya conflict in the red sea. Kwani kama hoja yako ina mashiko kwa nini mizigo yote ihamie Mombasa wakati na wao wameathilika na global conflict in the red sea. Na kwa nini sis tuwe na unrealistic inflation ya more than 360 % wakati wenzetu wana only 20-50% , hiyo ni more than triple increase compared to our competetors. Je unafikiri tutwaweza kushindana.
Mkuu nimeipenda sana hii para "Basically hii nchi ina hasara sana na watu wenye akili" Ahsante.Bahati mbaya kwetu na nzuri kwao Rais wa tanzania haamriwi na Kura za wananchi.
Hii nchi ukiwa na akili ya kuona mambo kabla hayajatokea utateseka sana.
Basically hii nchi ina hasira sana na watu wenye akili.
Haya ukimtoa madarakani utakipa chama gani dhamana?Safi sana , ni hbri njema hii.Gharama zipande za kutoa mizigo zipande , bidhaa madukani zipande, wananchi washike adabu ili ikifika 2025 wawe na akili za kulitoa madarakani hili dubwana liitwalo CCM
Hii nchi hii 😔Tatizo akili za wajinga wengi zimehodhiwa na ccm,suala nyeti kama hili wakaingiza udini kweli tumepatikana MUNGU tu ndiye atatuepusha na hatari iliyo mbele huko.
Inawezekana umesoma ukiwa tayari una majibu. Mtoa mada hajatumwa na wala hakuwahi kutumwa. Rudia kusoma tena. Tatizo la baadhi ya watanzania kila hoja ya msingi tunaipeleka kisiasa. Mtoa mada hajamtaja Mh Raisi labda wewe utuambie wapi ametajwa; ila mtoa mada ametaja kuna baadhi ya viongozi , wapambe na waandishi wa habari walipewa rushwa za aina mbalimbali;hata kupelekwa Dubai kwenye 5 stars hotel ni rushwa ya ushawishi na baada ya safari hizo wote waliifagilia DP -World as if ndiyo mkombozi kinyume na kabla ya kupelekwa huko, kinyume na misimamo yao mikali tuliyokuwa tunaifahamu. Swali ni kitu gani kiliwalainisha mpaka wakakosa objectivity kwenye kudiscuss na kupambanua faida na hasara ya kumilikisha Bandari kwa DP world.MLETA MADA AMEKUJA KAMA KATUMWA KUWATIA WATU MASHAKA NA KUPANDIKIZA CHUKI.
MTOA MADA KWANN HUKUTOA SABABU YA BANDARI KUONGEZA BEI YA CONTAINER. ?? NA BADALA YAKE UMEPELEKA LAWAMA MOJA KWA MOJA KWA RAIS NA VIONGOZI KWA UJUMLA ?? ULIKUWA HUJUI KAMA KUNA SHIDA REDSEA.?? AU HUNA INFO KAMILI ?? ALAFU KWANN USIANDIKE KAWAIDA WATU WAKAKUELEWA NA KUANZA KUCHAMBUA KULIKO UMEANDIKA HARAKA HARAKA ALAFU UMEKIMBIA ?? HUKU UNAWATIA WATU KAZI.??? KWAHIYO UNATAKA KUWAAMINISHA WATANZANIA KUWA KAMA SIO DP WORLD KUWA PALE BEI ZA CONTAINER ZISINGEPANDA.??????????????
Mchakato wa majadiliano ulipitishwa je hivi vifungu vya upandishaji wa gharama wa kutopandisha kiholele haukujadiliwa maana ni ilikua ni muhumi sana, atavaa silaha zote za ki monopolistic tutakosa pakupumiliaHakika sikio la kufa halisikii dawa. Wabunge wakishirikiana na mawaziri, machawa na wapambe e.g. baadhi ya waandishi walituaminisha pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zetu kwa DP world.
Tuliaminishwa, ulimwengu unaenda kasi lazima tuende na wakati, tuende na utandawazi, pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zote baharini na nchi kavu na misitu yetu mikubwa kwa DP world, mwanzo ilikuwa kwa miaka 100, baada ya kilio ikashushwa kwa miaka kama 30, miaka ambayo karibu viongozi na wabunge wote waliopitisha hii sheria watakuwa wamekwisha kufia mbali na kuwaachia vizazi vyetu umasikini wa kutupwa chini ya utumwa mamboleo kwenye rasilimali zao.
"Sikieni nyie watanzania msiotaka maendeleo, hawa DP world wanauzoefu wa kuendesha mabandari makubwa kimataifa; India na Marekani (just to mention a few). Hawa jamaa sio tu tukiwapatia bandari watapunguza siku za mzigo kukaa bandarini mwezi mzima bali itakuwa wiki moja au mbili na ghalama za kuingiza mzigo zitashushwa zaidi ya nusu ya gharama za sasa"
"Watakuja na vifaa state of arts, watacomputerize process nzima za kutoa mzigo kuongeza quality na tija. Nchi itapata mapato matrililioni (ile figure siwezi kuiweka hapa kwani ni kituko) , mapato ya mwaka yatakuwa zaidi ya jumla ya mapato ya miaka kumi iliyopita" NDIVYO WATANZANIA TULIVYOHAMINISHWA NA WAWAKILISHI WETU BUNGENI, wakipewa support na machawa na wapambe waandishi waliolipwa rushwa ya kupelekwa DubaI few days kwenye five stars Hotel na kulipwa mamilioni na magari ya kifahari juu. Hivi wanajisikiaje sasa wakiona wotetunasuffer; Ila wabongo bwana hatuna aibu, tunajua kumute, macho makavuuuu, ndindindi! as if nothing happened.
Sasa tunaambiwa tukae mkao wa kula, kwa kupanda kwa gharama ya kwa asilimia 360% kuingiza na kutoa mzigo bandarini; haijawahi kutokea tangia bandari zetu zianze kufanya kazi, tutegemee mfumuko wa bei ya vifaa vyote tunavyotumia (vipuli na vifaa vya magari, magari yenyewe, ujenzi, kilimo, umwagiliaji, mafuta n.k) kwani hata hivyo vinavyotengenezwa nchini mali ghafi inatoka nje, tutegemee mfumuko wa bei ya vyakula na mafuta, tutegemee ghalama zote za maisha kupanda. Kibaya zaidi serikali itakosa mapato makubwa, sitakiwi kuweka takwimu hapa na contribution ya bandari zetu kwenye budget nzima ya nchi; Kwishnei! Nakwambia kama wangekuwa na tija tayari leo tungeambiwa mapato yalivyoongezeka, huduma ilivyoboreshwa, Jiulize kwa nini kimya kikali sana.?
Tunaambiwa copper ya Congo iliyokuwa ikipitishwa hapa kwetu, sasa inapitia bandari ya Mombasa, Wafanyabiashara wa nchi zote jirani na wa ndani wamehama/watahamia bandari ya Mombasa. Hivi jiulize yale malori lukuki ya Mizigo kutoka na kwenda Uganda, Burundi, Kongo, Malawi, Rwanda , Zambia, Malori uliyokuwa ukipishana nayo wakati wote yameunga tela kutokea Dodoma mpaka Dar es salaam to and fro yamepotelea wapi?. what is the implication of that? Ni kiasi gani cha mabillioni walikuwa wakilipa kwa mwezi na sasa yanapotea. Hakika huhitaji akili ya PhD ya uchumi kujua kitakachotokea kesho kwenye maisha ya watu wa kawaida.
Rushwa ni mbaya sana, kwani mpokea rushwa hajali madhara yatakayotokea kwa wenzake na kizazi kijacho, yeye anaangalia masilahi yake na familia yake kwa wakati huo, ndio umesikia. Ni kweli hakuna ubishi kuna watu wamekuwa mabilionea kupitia ishu hii ya DP world. Ila wapambe koko, wengine utawasikia hata humu jamii forum kupitia comments zao huku hata wao ni njaa kali na shida kwelikweli ila bado wanatetea dhuluma hii ya rasilimali yetu, wanatetea ubakaji na utekaji wa mali ya umma tuliyokuwa tunamiliki tangia uhuru na kujipangia kulingana na kipato chetu
Na hii unaambiwa ni bado, hizi ni mvua za rasharasha, cha mtoto (this is just a pre-amble) labda tuvunje mkataba, mkataba ambao hatuwezi hata thubutu.
Nafikiri bado hatujasahahu vifungu toa damu, vifungu kata roho walivyotuwekea ili tusithubutu hata kufikiria kuvunja huu mkataba, achana na independent tribunal ya nje itakayotakiwa kibaya eti lazima wao kwanza wakubali na kulidhia ndipo waturuhusu kuvunja mkataba. Ebu msomaji fikiria eti ili uvunje mkataba unaambiwa itabidi huyo anayefaidi akubali kwanza. Hivi wasomi wetu, wanasheria, viongozi wetu kuna wakati mnakuwa na mapepo wakati mnasign mikataba hii, au akili zenu zinakuwa zimehamishwa seheme nyingine na kubaki vichwa tupu, eti inabidi adui, dhulumati , anayefaidi alidhie kwanza ndipo kukuruhusu uanze mchakato wa kuchukua kile anachofaidi,ili umnyang'anye tonge nono mdomoni. Hivi kwa akili ya kawaida inawezekana kweli. Hata Malaika hawezi kufanya upuuzi huo.
Ngoja sasa msumari wa moto uingie vizuri, sisi wabongo tunajifanyaga wajuaji sana, hatujifunzi hata kwa wenzetu Malysia waliovunja mkataba na hawa DP-world, kizuri wao hawakuwa na masharti magumu sisi vipofu tukajifanya wajanja kama kawaida yetuna kukubali masharti kata roho, masharti vujisha damu. Sasa tusubili kuendelea kubleed till we are dried -up. Na hili liwe somo kwa watunga sheria wetu, sio kila ukipewa kadola, ukipelekwa Dubai for 5 days night in 5 starts hotel unasahau ndugu zako, wazazi wako, wajukuu zako, kizazi chako, mbaya zaidi hata wale waliokuweka hapo.
DaaahHakika sikio la kufa halisikii dawa. Wabunge wakishirikiana na mawaziri, machawa na wapambe e.g. baadhi ya waandishi walituaminisha pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zetu kwa DP world.
Tuliaminishwa, ulimwengu unaenda kasi lazima tuende na wakati, tuende na utandawazi, pitisha hiyo sheria ya kubinafsisha bandari zote baharini na nchi kavu na misitu yetu mikubwa kwa DP world, mwanzo ilikuwa kwa miaka 100, baada ya kilio ikashushwa kwa miaka kama 30, miaka ambayo karibu viongozi na wabunge wote waliopitisha hii sheria watakuwa wamekwisha kufia mbali na kuwaachia vizazi vyetu umasikini wa kutupwa chini ya utumwa mamboleo kwenye rasilimali zao.
"Sikieni nyie watanzania msiotaka maendeleo, hawa DP world wanauzoefu wa kuendesha mabandari makubwa kimataifa; India na Marekani (just to mention a few). Hawa jamaa sio tu tukiwapatia bandari watapunguza siku za mzigo kukaa bandarini mwezi mzima bali itakuwa wiki moja au mbili na ghalama za kuingiza mzigo zitashushwa zaidi ya nusu ya gharama za sasa"
"Watakuja na vifaa state of arts, watacomputerize process nzima za kutoa mzigo kuongeza quality na tija. Nchi itapata mapato matrililioni (ile figure siwezi kuiweka hapa kwani ni kituko) , mapato ya mwaka yatakuwa zaidi ya jumla ya mapato ya miaka kumi iliyopita" NDIVYO WATANZANIA TULIVYOHAMINISHWA NA WAWAKILISHI WETU BUNGENI, wakipewa support na machawa na wapambe waandishi waliolipwa rushwa ya kupelekwa DubaI few days kwenye five stars Hotel na kulipwa mamilioni na magari ya kifahari juu. Hivi wanajisikiaje sasa wakiona wotetunasuffer; Ila wabongo bwana hatuna aibu, tunajua kumute, macho makavuuuu, ndindindi! as if nothing happened.
Sasa tunaambiwa tukae mkao wa kula, kwa kupanda kwa gharama ya kwa asilimia 360% kuingiza na kutoa mzigo bandarini; haijawahi kutokea tangia bandari zetu zianze kufanya kazi, tutegemee mfumuko wa bei ya vifaa vyote tunavyotumia (vipuli na vifaa vya magari, magari yenyewe, ujenzi, kilimo, umwagiliaji, mafuta n.k) kwani hata hivyo vinavyotengenezwa nchini mali ghafi inatoka nje, tutegemee mfumuko wa bei ya vyakula na mafuta, tutegemee ghalama zote za maisha kupanda. Kibaya zaidi serikali itakosa mapato makubwa, sitakiwi kuweka takwimu hapa na contribution ya bandari zetu kwenye budget nzima ya nchi; Kwishnei! Nakwambia kama wangekuwa na tija tayari leo tungeambiwa mapato yalivyoongezeka, huduma ilivyoboreshwa, Jiulize kwa nini kimya kikali sana.?
Tunaambiwa copper ya Congo iliyokuwa ikipitishwa hapa kwetu, sasa inapitia bandari ya Mombasa, Wafanyabiashara wa nchi zote jirani na wa ndani wamehama/watahamia bandari ya Mombasa. Hivi jiulize yale malori lukuki ya Mizigo kutoka na kwenda Uganda, Burundi, Kongo, Malawi, Rwanda , Zambia, Malori uliyokuwa ukipishana nayo wakati wote yameunga tela kutokea Dodoma mpaka Dar es salaam to and fro yamepotelea wapi?. what is the implication of that? Ni kiasi gani cha mabillioni walikuwa wakilipa kwa mwezi na sasa yanapotea. Hakika huhitaji akili ya PhD ya uchumi kujua kitakachotokea kesho kwenye maisha ya watu wa kawaida.
Rushwa ni mbaya sana, kwani mpokea rushwa hajali madhara yatakayotokea kwa wenzake na kizazi kijacho, yeye anaangalia masilahi yake na familia yake kwa wakati huo, ndio umesikia. Ni kweli hakuna ubishi kuna watu wamekuwa mabilionea kupitia ishu hii ya DP world. Ila wapambe koko, wengine utawasikia hata humu jamii forum kupitia comments zao huku hata wao ni njaa kali na shida kwelikweli ila bado wanatetea dhuluma hii ya rasilimali yetu, wanatetea ubakaji na utekaji wa mali ya umma tuliyokuwa tunamiliki tangia uhuru na kujipangia kulingana na kipato chetu
Na hii unaambiwa ni bado, hizi ni mvua za rasharasha, cha mtoto (this is just a pre-amble) labda tuvunje mkataba, mkataba ambao hatuwezi hata thubutu.
Nafikiri bado hatujasahahu vifungu toa damu, vifungu kata roho walivyotuwekea ili tusithubutu hata kufikiria kuvunja huu mkataba, achana na independent tribunal ya nje itakayotakiwa kibaya eti lazima wao kwanza wakubali na kulidhia ndipo waturuhusu kuvunja mkataba. Ebu msomaji fikiria eti ili uvunje mkataba unaambiwa itabidi huyo anayefaidi akubali kwanza. Hivi wasomi wetu, wanasheria, viongozi wetu kuna wakati mnakuwa na mapepo wakati mnasign mikataba hii, au akili zenu zinakuwa zimehamishwa seheme nyingine na kubaki vichwa tupu, eti inabidi adui, dhulumati , anayefaidi alidhie kwanza ndipo kukuruhusu uanze mchakato wa kuchukua kile anachofaidi,ili umnyang'anye tonge nono mdomoni. Hivi kwa akili ya kawaida inawezekana kweli. Hata Malaika hawezi kufanya upuuzi huo.
Ngoja sasa msumari wa moto uingie vizuri, sisi wabongo tunajifanyaga wajuaji sana, hatujifunzi hata kwa wenzetu Malysia waliovunja mkataba na hawa DP-world, kizuri wao hawakuwa na masharti magumu sisi vipofu tukajifanya wajanja kama kawaida yetuna kukubali masharti kata roho, masharti vujisha damu. Sasa tusubili kuendelea kubleed till we are dried -up. Na hili liwe somo kwa watunga sheria wetu, sio kila ukipewa kadola, ukipelekwa Dubai for 5 days night in 5 starts hotel unasahau ndugu zako, wazazi wako, wajukuu zako, kizazi chako, mbaya zaidi hata wale waliokuweka hapo.
Sawa kabisa kama jamaa mmoja hapo anaongelea suala la Redsea as if issue hii inahusu Tanzania tu. Yaani suala la kujenga hoja (making a case) kwa watanzania wengi ni shida. Huwezi kuongelea effect ya Red sea conflict huku wenzetu Kenya na Bandari nyingine mambo ya mswano, wamejiadjust kidogo tu lakini sisi tumepandisha kodi three-fold, sasa hiyo ni hoja gani. Wengine wakishindwa kujenga hoja wata-attack personality yako au watakuingiza kwenye siasa. Kwa kweli inasikitisha sanaMkuu nimeipenda sana hii para "Basically hii nchi ina hasara sana na watu wenye akili" Ahsante.
Bora umeuliza swali gumu ambalo hutapata jibu. Swali gumu lingine ni je zile mutlibillions investment tulizoambiwa zitakuwa invested Bandarini na hawa mabwana zililetwa au wamechukua kilichokuwepo na zile kubenefits geti mpya tulizokuwa tumekamilisha zile za mkopo wa trillion 2 , wao wakaanza kuendesha tu. Yaani ukisikia mtelemko ndio huu. Hivi kweli hawa ni waharabu wa Dubai kweli, hisije ni wabongo wajanja wamejivisha U-DP world. Ukiangalia hili suala kwa umakini sana, mchakato wenyewe, contracts zilivyoandikwa, sula la kuvunja mkataba, kiasi wao watakachoinvest na namna walivyopwewa Bandari. Mh kama ni mtu aliyekuwa najua kila kitu cha ndani hasa our weakness na weakness ya kisystem.Mchakato wa majadiliano ulipitishwa je hivi vifungu vya upandishaji wa gharama wa kutopandisha kiholele haukujadiliwa maana ni ilikua ni muhumi sana, atavaa silaha zote za ki monopolistic tutakosa pakupumilia
Kuna muda inazingua kinoumaaaaa