Walisoma pamoja: Mbowe na Ndugai pale Kibaha, Lowassa na Dkt. Mwakyembe kule Milambo na Dkt. Slaa na Membe Itaga seminary

Walisoma pamoja: Mbowe na Ndugai pale Kibaha, Lowassa na Dkt. Mwakyembe kule Milambo na Dkt. Slaa na Membe Itaga seminary

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Dah tosamaganga kumbe tumepita wengi

Its not over until its over...[emoji769]
 
Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Bashe hajasoma benjamini mkapa sec. Scholl
Screenshot_20200518-111833_Samsung%20Internet.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom