Walitufanyia utumwa baadaye wakatufanyia ukoloni na sasa wanatuwekeza! Malengo yao ni yale yale, tuwe makini

Walitufanyia utumwa baadaye wakatufanyia ukoloni na sasa wanatuwekeza! Malengo yao ni yale yale, tuwe makini

Haya sasa.
Una maana gani hapa, kwamba Uingereza wanao uwezo tofauti wa maono na kufikiri dhidi ya wahindi, au bado sijakuelewa maana yako?

Kama hivyo ndivyo unavyo dhani, hata huko huna kitu cha kutetea.
Nazungumzia kuhusu ubishani wangu na wewe! Tuna uwezo tofauti wa maono na fikra.

Kwani tuna-consider vitu gani kui-term nchi iko juu kimaendeleo kwenye nyanja zote?! Hizo nyanja unazozijua wewe unataka kusema hapa mbele ya Umma India iko juu ya Uingereza?! 🤣🤣🤣

Kutwa hao wahindi wanakimbilia huko kutafuta maisha bora na kutimiza ndoto zao... unakuja hapa unazidi kujidhalilisha. Hebu sema tuna-consider nukta zipi kuiweka nchi kwenye kundi la mataifa yalioendelea na makubwa?!
 
Nazungumzia kuhusu ubishani wangu na wewe! Tuna uwezo tofauti wa maono na fikra.

Kwani tuna-consider vitu gani kui-term nchi iko juu kimaendeleo kwenye nyanja zote?! Hizo nyanja unazozijua wewe unataka kusema hapa mbele ya Umma India iko juu ya Uingereza?! 🤣🤣🤣

Kutwa hao wahindi wanakimbilia huko kutafuta maisha bora na kutimiza ndoto zao... unakuja hapa unazidi kujidhalilisha. Hebu sema tuna-consider nukta zipi kuiweka nchi kwenye kundi la mataifa yalioendelea na makubwa?!
Toka mwanzo nilikueleza kwamba huelewi ninachoeleza mimi.

haya uliyo andika hapa ni ushahidi tosha kwamba hatuzungumzii jambo moja, wewe uko kwingine kabisa, na mimi nilieleza toka mwanzo, niko kwingine kabisa.
Kwa hali hiyo, hatuwezi kuelewana.

Kwa hiyo, unaendelea kuwa na utata katika maandishi yako.
Kwa mfano" unaposema "Tuna uwezo tofauti wa 'maono na fikra'", sina hakika kama una maana ya hayo niliyoandika hapa kuhusu kujadili mambo tofauti katika mjadala huu, na kudhani kwamba ndiyo 'maono' na 'fikra' tofauti!.

Kwa vile tupo kurasa mbalimbali kabisa katika mjadala huu, sioni maana yoyote ya kuuendeleza baada ya hapa.
 
Toka mwanzo nilikueleza kwamba huelewi ninachoeleza mimi.

haya uliyo andika hapa ni ushahidi tosha kwamba hatuzungumzii jambo moja, wewe uko kwingine kabisa, na mimi nilieleza toka mwanzo, niko kwingine kabisa.
Kwa hali hiyo, hatuwezi kuelewana.

Kwa hiyo, unaendelea kuwa na utata katika maandishi yako.
Kwa mfano" unaposema "Tuna uwezo tofauti wa 'maono na fikra'", sina hakika kama una maana ya hayo niliyoandika hapa kuhusu kujadili mambo tofauti katika mjadala huu, na kudhani kwamba ndiyo 'maono' na 'fikra' tofauti!.

Kwa vile tupo kurasa mbalimbali kabisa katika mjadala huu, sioni maana yoyote ya kuuendeleza baada ya hapa.
Soma comment yangu ya mwanzo kabisa dhidi ya mada yako. Mawazo mazuri na nilisema tangu mwanzo ila sikubaliani na kauli yako ya kusema Uingereza ni nchi ndogo kuifananisha na UAE, huko UVCCM wanasajiligi mapopoma napo
 
Back
Top Bottom