Wallace Karia anaendaga mikutano ya CAF bila ajenda?

Wallace Karia anaendaga mikutano ya CAF bila ajenda?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Mwaka huu michuano ya kimataifa ya vilabu mambo mbali mbali yamejitokeza.....
Nafikiri kazi ya kiongozi wa Tff ni kutetea nchi yake na kupenyeza agenda zitakazoisaidia huko kwenye shirikisho...

Nafikiri hizi agenda zifuatazo zinapaswa sasa kupiganiwa na Tff...

1. Goli la ugenini lifutwe...

2. fainali ya home na away mechi mbili ifutwe...fainali iwe mechi moja na neutral ground...

3. Waamuzi wa Tz wapewe nafasi michuano ya kimataifa...

4. Zawadi za hatua mbali mbali ziongezeke..

5.history za vilabu iandikwe vizuri kwenye website za Caf toka ilipoanzishwa...isiwe rahisi watu kuchezea history za timu mbali mbali.....
6.kuomba uenyeji wa michuano mbali mbali hata midogo midogo kama afcon under 17.....
 
Namba 3 , Tanzania hatuna waamuzi wa maana,Kuna watu tu wanavaa bukta na soksi nyeusi na filimbi mdomoni na kukimbia kimbia uwanjani.
6.Tuliandaa U17 afcon 2018.
4. Zawadi zimeongezeka mwaka huu.
Kuhusu final iwe moja,Wa Africa hatusafiri kuangalia mpira .
Final ingekuwa Cameroon halafu inahusisha Yanga na Power Dynamo ya Zambia huo uwanja si ungekuwa na watu 3000 tu?
 
No2 si ndo imeanza mwaka huu, baada ya zamani, hapa kati kati ilikua match 1 tyuuh.
 
Namba 3 , Tanzania hatuna waamuzi wa maana,Kuna watu tu wanavaa bukta na soksi nyeusi na filimbi mdomoni na kukimbia kimbia uwanjani.
6.Tuliandaa U17 afcon 2018.
4. Zawadi zimeongezeka mwaka huu.
Kuhusu final iwe moja,Wa Africa hatusafiri kuangalia mpira .
Final ingekuwa Cameroon halafu inahusisha Yanga na Power Dynamo ya Zambia huo uwanja si ungekuwa na watu 3000 tu?
Ili waamuzi wawe WA maana lazima wapewe nafasi... huwezi kuwa dismiss Tu utegemee mabadiliko....

Hata mashabiki elfu tatu wanatosha mradi kuwepo na fair play..bingwa apatikane kihalali .....

Umewaza Cameron ingekuwa fainali Tunisia ...Usm Algiers wangeenda Wengi...ingekuwa fainali Uganda watanzania wangeenda Wengi...

Fainali ikiwa moja faida ni nyingi kuliko hasara ...fainali iwe moja itangazwe mapema ...hata ikitangazwa itakua Dar na timu ya Tanzania ikafika fainali basi advantage kwake...Barca waliipiga man U wembley fainali champions League
 
Mie nina swali moja tu,miaka yote waarabu wanasifika kwa mambo wanayofanya yasiyo ya kimichezo,Je wana kinga gani hawa watu?
Swali la pili miaka nenda rudi timu zetu zinafanyiwa hujuma zile zile,hatujifunzi?
Mwakani warabu watakuja kwetu tutawalea,tukienda kwao uhuni ule ule..
 
Kwani nyie ndo wakwanza kucheza fainali ya nyumbani na uganini?. Africa tuna mifumo yetu acha tuitumie fainali ya nyumbani na ugenini acha itumike ...
 
Mie nina swali moja tu,miaka yote waarabu wanasifika kwa mambo wanayofanya yasiyo ya kimichezo,Je wana kinga gani hawa watu?
Swali la pili miaka nenda rudi timu zetu zinafanyiwa hujuma zile zile,hatujifunzi?
Mwakani warabu watakuja kwetu tutawalea,tukienda kwao uhuni ule ule..
Caf kuwa kwao Wana take advantage...uzembe ni wetu
Why Yanga washinndwe kumaliza mechi Dar...usisahau mapoja na hujuma zao zote Yanga Jana akishinda mechi kule...angekuwa ametoka draw ya bila bila Dar je ungesema nini??
 
Sisi Waafrika tusio na asili ya uarabu tujitoe CAF tuwaachie waarabu wa Africa Kaskazini nasi tuunde shirikisho letu. Kwa tabia zao za fujo wanazotufanyia kila mara na kufumbiwa macho na CAF tuseme enough is enough.
 
Sisi Waafrika tusio na asili ya uarabu tujitoe CAF tuwaachie waarabu wa Africa Kaskazini nasi tuunde shirikisho letu. Kwa tabia zao za fujo wanazotufanyia kila mara na kufumbiwa macho na CAF tuseme enough is enough.
Inasikitisha Shana na kutuonyesha ujinga wetu waafrika ulivyo alafu wachambuzi wetu hovyo kabisa wakati wanatakiwa kukemea huu ujinga wa warabu wao wanasema eti fitana za mpira ujinga mtupu mbona hatuoni ayo ulaya? hii tabia ya kihuni ipigwe vita watu wacheze mpira sio mambo za kijinga Kama zile
 
Ili waamuzi wawe WA maana lazima wapewe nafasi... huwezi kuwa dismiss Tu utegemee mabadiliko....

Hata mashabiki elfu tatu wanatosha mradi kuwepo na fair play..bingwa apatikane kihalali .....

Umewaza Cameron ingekuwa fainali Tunisia ...Usm Algiers wangeenda Wengi...ingekuwa fainali Uganda watanzania wangeenda Wengi...

Fainali ikiwa moja faida ni nyingi kuliko hasara ...fainali iwe moja itangazwe mapema ...hata ikitangazwa itakua Dar na timu ya Tanzania ikafika fainali basi advantage kwake...Barca waliipiga man U wembley fainali champions League

mwamfrika aingie gharama a cross border kwenda kuangalia mpira? Na kwenye mechi ya nyumbani ndiko kwenye uhakika wa kupata mapato mengi kwenye soka la africa. Nadhani hili la home and away ni bora kwa uchumi wa kiafrika.
 
Mwaka huu michuano ya kimataifa ya vilabu mambo mbali mbali yamejitokeza.....
Nafikiri kazi ya kiongozi wa Tff ni kutetea nchi yake na kupenyeza agenda zitakazoisaidia huko kwenye shirikisho...

Nafikiri hizi agenda zifuatazo zinapaswa sasa kupiganiwa na Tff...

1. Goli la ugenini lifutwe...

2. fainali ya home na away mechi mbili ifutwe...fainali iwe mechi moja na neutral ground...

3. Waamuzi wa Tz wapewe nafasi michuano ya kimataifa...

4. Zawadi za hatua mbali mbali ziongezeke..

5.history za vilabu iandikwe vizuri kwenye website za Caf toka ilipoanzishwa...isiwe rahisi watu kuchezea history za timu mbali mbali.....
6.kuomba uenyeji wa michuano mbali mbali hata midogo midogo kama afcon under 17.....
Rais wa CAF Jana alikuwa uwanjani na maofisa waandamizi wa CAF, hakuona tatizo?

Ni muda muhafaka sasa makao makuu ya CAF yahamishiwe South Africa.
 
Mwaka huu michuano ya kimataifa ya vilabu mambo mbali mbali yamejitokeza.....
Nafikiri kazi ya kiongozi wa Tff ni kutetea nchi yake na kupenyeza agenda zitakazoisaidia huko kwenye shirikisho...

Nafikiri hizi agenda zifuatazo zinapaswa sasa kupiganiwa na Tff...

1. Goli la ugenini lifutwe...

2. fainali ya home na away mechi mbili ifutwe...fainali iwe mechi moja na neutral ground...

3. Waamuzi wa Tz wapewe nafasi michuano ya kimataifa...

4. Zawadi za hatua mbali mbali ziongezeke..

5.history za vilabu iandikwe vizuri kwenye website za Caf toka ilipoanzishwa...isiwe rahisi watu kuchezea history za timu mbali mbali.....
6.kuomba uenyeji wa michuano mbali mbali hata midogo midogo kama afcon under 17.....
hata akisema anazidiwa nguvu sasa kwa jana motsepe boss wa caf aliluwepo tutegemee mabadiliko?
 
Rais wa CAF Jana alikuwa uwanjani na maofisa waandamizi wa CAF, hakuona tatizo?

Ni muda muhafaka sasa makao makuu ya CAF yahamishiwe South Africa.
Utaratibu ulivyo Rais wa Caf anashughulikia agenda mlizoleta wananchama kama Tanzania hatuta complain wala kupeleka agenda ina maana hatuna malalamiko wala hatuna shida na kilicho tokea
 
Sisi Waafrika tusio na asili ya uarabu tujitoe CAF tuwaachie waarabu wa Africa Kaskazini nasi tuunde shirikisho letu. Kwa tabia zao za fujo wanazotufanyia kila mara na kufumbiwa macho na CAF tuseme enough is enough.
Mkuu,sisi ngozi nyeusi tuna tatizo kubwa la kushindwa kushikamama
Hebu fikiria , Afrika Kuna nchi sio chini ya 50 ,kati ya hizo waarabu ni 5 lakini wanatusumbua nchi 45
Itoshe kusema kua tuna matatizo makubwa yanayotufanya tusiendelee kwenye mbali mbali ikiwemo michezo
 
Back
Top Bottom