NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
We sio unaona vijana humu wanavyoandika thread kila saa kulaumu, jushambulia na kuisema vibaya Yanga. Wanajitafutia maneno na trend kwenye page zao.ata mm nimemsikia leo Efm akiwa anaongelea ilo, wabongo wazushi sana lengo sijui ni nn?
Propaganda za WANASIMBA hizoata mm nimemsikia leo Efm akiwa anaongelea ilo, wabongo wazushi sana lengo sijui ni nn?
ANGALIA ALICHOKISEMA KARIAJwaneng walilalamika kupewa chakula chenye sumu. Yaani kumbe walikula Kigamboni halafu mpo kimya? [emoji16][emoji16][emoji16]
Zile habari niliziona lakini nilizipuuza kwakuwa nilijua ilikuwa ni kazi ya wajinga wachache wa umbumbuni walishazoea kuokoteza takataka na kuzileta hapa"Kunapropaganda ilikuwa inapigwa kwamba ile timu ilikuwa inafanya mazoezi Avic Town tulifuatilia sisi na wizara tukakuta ni propaganda" Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (TFF), Wallace Karia wakati akiwaomba wadau wa soka kuwa na ushabiki wenye manufaa kwa nchi.
Credit kwa Azam sports.
SAIVI WAMEJIFICHA HUKO.Zile habari niliziona lakini nilizipuuza kwakuwa nilijua ilikuwa ni kazi ya wajinga wachache wa umbumbuni walishazoea kuokoteza takataka na kuzileta hapa
MBUMBUMBU FC NDIYO HABARI ZAOHata habari za Chama ni bora kuliko Pacome mbumbumbu ndio wanaolikuza.
Wanaokoteza na kuzusha vihabari vya uongo na kweli hili nao watrend.
Ikiunganishwa haitaleta masna, inatakiwa huu uzi ujitegemee kuliko kugeuzwa kuwa comment wa nyuzi zingineModerator
Action and Reaction
UNGANISHENI ZILE NYUZI ZA UZUSHI KUHUSU JWANENG GALAXY FC KUFANYA MAZOEZI AVIC TOWN.
MASHABIKI WA SIMBA SC WATAKUJA KUKUJIBU HILI SWALIHata wangefanyia avic town shida ingekua ni Nini hasa?
MBUMBUMBU FC KATIKA UBORA WAKOHivi mbona tabia za mashabiki wa yanga wakiume na wakike unashindwa kutofautisha kabisa...inamaana mashabiki wengi wa kiume wa yanga wanaelements zabkike au?
Umekisoma Mara mbili ulichokiment?!Hivi mbona tabia za mashabiki wa yanga wakiume na wakike unashindwa kutofautisha kabisa...inamaana mashabiki wengi wa kiume wa yanga wanaelements zabkike au?