IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Ni kauli ya Rais wa TFF Leo Arusha akitoa hotobu mbele ya mkutano mkuu,kauli yake nadhani anamlenga Michael R wambura kwamba ni mkorofi analengo la kuharibu mpira.
Nimeshangaa kwann kamuhusisha mh Tundulisu? Mkutano wake naamini unawanachana wa itikadi tofauti ,naamini amewakera wale wa chadema.
Kwa tafsiri yangu Wallace karia amemkosea sana Mh tundu lisu..maana yake Mh lisu ni mkorofi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa kwann kamuhusisha mh Tundulisu? Mkutano wake naamini unawanachana wa itikadi tofauti ,naamini amewakera wale wa chadema.
Kwa tafsiri yangu Wallace karia amemkosea sana Mh tundu lisu..maana yake Mh lisu ni mkorofi
Sent using Jamii Forums mobile app