Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Rais wa TFF, Wallace Karia amesema ligi za Mkoa wa Dar Es Salaam zimekosa mvuto na umaarufu kwasababu ya michuano ya Ndondo Cup ya Clouds Fm.
Pia akaenda mbali zaidi kwa kusema, Ndondo Cup zinatuharibia wachezaji wa ligi kuu kwani wengi huumia wakiwa wanacjeza huko kwenye viwanja vibovu.
Sasa tutaanza kuwa wakali dhidi ya Ndondo Cup.
My take:
Karia baada ya kumfungia Dauda naona vita bado inaendelea, je Karia ataweza kuibuka na ushindi dhidi ya Dauda na Clouds Fm kwa ujumla? Yapi maoni yako?
Pia akaenda mbali zaidi kwa kusema, Ndondo Cup zinatuharibia wachezaji wa ligi kuu kwani wengi huumia wakiwa wanacjeza huko kwenye viwanja vibovu.
Sasa tutaanza kuwa wakali dhidi ya Ndondo Cup.
My take:
Karia baada ya kumfungia Dauda naona vita bado inaendelea, je Karia ataweza kuibuka na ushindi dhidi ya Dauda na Clouds Fm kwa ujumla? Yapi maoni yako?