Kabisa maana ingesaidia kuleta Watalii.Mara mia angezungmzia video ya uwoya kuliko pumba alizoongea
Simba/Yanga wote mmo msijitoe tuawafahamu. Mlipowapokea TP Mazembe mlikuwa na umri gani?Ili linawahusu utopolo sisi Simba tushakuwa wakubwa hatuwezi kufanya ujinga kama huo
Amefanya vizuri kwa kiwango chake cha akili.Amekwenda kuitangazia Afrika na Nje ya Afrika kuwa Tanzania kuna tabia ya timu kupokea wageni.
Eleza kwa mifano mintalafu hayo mambo unayosema ni personal, hizo bad precedents na mipaka gani ambayo amekiuka.Meko alianzaga hivi hivi, kiongozi yoyote anahitaji hekima sana ya kutambua mipaka ya Kila jambo otherwise atajikuta anageuka mtawala. Nikimwangalia KARIA kwa jicho la mbali anakopeleka soka ni kubaya sana- anatengeneza bad precedents, based on my personal assessments Hana hekima ya kiongozi, hajui mipaka Wala maadili yake ya kazi, na anachukulia vitu too personal which is very bad.
Ni aina ya mtu ambaye amekuwa anaingiza siasa kwenye michezo na kutaka watu wafanye based na anachokiamini yeye licha ya kwamba ni kinyume Cha Sheria na maadili. Mfano kuingiza mambo ya kumponda Lissu na CDM kwenye soka ambayo ni kinyume na maadili kabisa.
Ndo uone hasara ambayo nchi imeingia kwa soka kuingozwa na Mkimbizi.Jamaa kakosa kabisa professionalism, so hapo ndo Rais wa soka wa nchi anaiambia Afrika upuuzi huo
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni nani ambae sio Shabiki wa team yoyote ile??Sema karia twende mbele turudi nyuma ni shabiki wa Simba Lia Lia
Atoke akiri hadharani ili hata anapoboronga ijulikane anaongozwa na mapenzi.Ni nani ambae sio Shabiki wa team yoyote ile??
Amepata wapi mamlaka ya kupangia watu maisha huyu kibwengo!"Nimeshaongea sana na hivi vilabu kuwa vifanye vizuri michuano ya Kimataifa ya CAF".
"Nasisitiza wazingatie taaluma zaidi, waachane na mambo ya kijingajinga, mambo ya ukandokando wahakikishe wanakuwa serious kwenye mashindano hayo, lakini pia ni vizuri zile tabia za kupokea wageni zife". Rais wa TFF Wallace Karia.View attachment 2320331
Unafikiri wanakumbuka basi na huyo kimeo mwenzao anayewaza kula tu muda wote!!Lakini hii tabia ya kuwapapatikia wageni mlianza Simba wakati huo timu yenu ikiwa dhaifu.
Huyu jamaa hayuko sawa kisaikolojia! Maana unaweza kuhisi ana matatizo ya akili.
Hivi kuna timu imewahi kufanya ujinga kama huo?Lazima watakuwa Azam au Namungo.Si bure.Inasikitisha sana."Nimeshaongea sana na hivi vilabu kuwa vifanye vizuri michuano ya Kimataifa ya CAF".
"Nasisitiza wazingatie taaluma zaidi, waachane na mambo ya kijingajinga, mambo ya ukandokando wahakikishe wanakuwa serious kwenye mashindano hayo, lakini pia ni vizuri zile tabia za kupokea wageni zife". Rais wa TFF Wallace Karia.View attachment 2320331
Hivi bado wanatetea upumbavu?Kweli hawajaongezeka.Bado walewale wawili tu.πππMkuu acheni tabia za kijinga. Weka Utopolo pembemi, Tumia akili yako mwenyewe utakubaliana na Karia. Nasubiri majibu baada ya kutumia zako
Hakuna kiongozi wa mpira asiyefuatilia mpira na ukishafuatilia mpira, automatically utakuwa ni shabiki wa team fulani.Atoke akiri hadharani ili hata anapoboronga ijulikane anaongozwa na mapenzi.
ndioKwahivyo hamtaki tena samba la Brazil
km Malinzi kwa Yanga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema karia twende mbele turudi nyuma ni shabiki wa Simba Lia Lia
Mbna Malinzi aliweka wazi, kuwa yeye ni shabiki wa Yanga na alisema wakati wake Yanga itachukua ubingwa sana.Atoke akiri hadharani ili hata anapoboronga ijulikane anaongozwa na mapenzi.