Ndio maana nchi hii imo vitani bila ya jemadari wa kuongoza haya mapambano dhidi ya coronavirus,na hii yote inaishia pale mlangoni Magogoni,ilitakiwa our no 1 awe amashatoa msimamo wa nchi kuhusiana na mapambano haya,ameshaunda kamati maalum ya kuwajibika day to day kuhusiana na pandemic hii,mawaziri wa home affairs,afya,nje,ndio walitakiwa wawe kwenye kamati hii,pia our no 1 ilitakiwa awe ameshakutana na viongozi wote wa kitaifa wa kidini ili wote wawe wanaongea lugha moja ili wananchi waelewe uelekeo ni wapi,pia our no 1 ilitakiwa awe ameshakutana na viongozi wote wa kitaifa wa vyama vya kisiasa ili mapambano haya ni ya kiinchi sio kisiasa kwa hiyo wote waunganishe juhudi zao kukabiliana na pandemic hii,ILA my no 1 for one way or another amepuuzia janga hili na matokeo yake kila mtu anatamka vyake,mpaka mjinga mjinga huyu wa chama cha soka anakuja na tamko lake wakati uwezo wa kumzuia mtu kuingia nchini ni la wizara ya mambo ya ndani(uhamiaji),ndugu zangu this pandemic its not a joke na athari yake itaichukua nchi yetu more than 15yrs to recover kiuchumi,maana hata BOT wapo kimya hata wameshindwa kutamka to lower our repo rate ili kulinda uchumi na sarafu yetu!!uaga umewatawala,watanzania wenzangu please jitahidi kujiweka safi hasa mikono yetu , social life zetu ziache kabisa,etc etc ,nawa nawa nawa mikono kwa sabuni na tumia hand sanitiser.