Wallace Karia: Wachezaji watakaosafiri nje hawataruhusiwa kurudi

Wallace Karia: Wachezaji watakaosafiri nje hawataruhusiwa kurudi

Ndio maana nchi hii imo vitani bila ya jemadari wa kuongoza haya mapambano dhidi ya coronavirus,na hii yote inaishia pale mlangoni Magogoni,ilitakiwa our no 1 awe amashatoa msimamo wa nchi kuhusiana na mapambano haya,ameshaunda kamati maalum ya kuwajibika day to day kuhusiana na pandemic hii,mawaziri wa home affairs,afya,nje,ndio walitakiwa wawe kwenye kamati hii,pia our no 1 ilitakiwa awe ameshakutana na viongozi wote wa kitaifa wa kidini ili wote wawe wanaongea lugha moja ili wananchi waelewe uelekeo ni wapi,pia our no 1 ilitakiwa awe ameshakutana na viongozi wote wa kitaifa wa vyama vya kisiasa ili mapambano haya ni ya kiinchi sio kisiasa kwa hiyo wote waunganishe juhudi zao kukabiliana na pandemic hii,ILA my no 1 for one way or another amepuuzia janga hili na matokeo yake kila mtu anatamka vyake,mpaka mjinga mjinga huyu wa chama cha soka anakuja na tamko lake wakati uwezo wa kumzuia mtu kuingia nchini ni la wizara ya mambo ya ndani(uhamiaji),ndugu zangu this pandemic its not a joke na athari yake itaichukua nchi yetu more than 15yrs to recover kiuchumi,maana hata BOT wapo kimya hata wameshindwa kutamka to lower our repo rate ili kulinda uchumi na sarafu yetu!!uaga umewatawala,watanzania wenzangu please jitahidi kujiweka safi hasa mikono yetu , social life zetu ziache kabisa,etc etc ,nawa nawa nawa mikono kwa sabuni na tumia hand sanitiser.
.. Nataman wanaemuita first angesoma hapa,jamuhuri ipo kizan ye yupo bize na opposition.
 
SIMBA NI TIMU YA KARIA,HAWEZI KUBALI HAO WACHEZAJI WASICHEZE TENA MSIMU HUU,ATAKUWA TAYARI KUMEZA MATAPISHI YAKE. YAANI KAWAANDALIA UBINGWA TOKA LIGI INAANZA HALAFU AJE AHARIBU MWISHONI? HAWEZI KUBALI KUHARIBU LEGACY YAKE HAPO SIMBANI!
 
Nimeamini TFF ni genge la wahuni. Nchi yenyewe haijafunga mipaka. Wageni wameruhusiwa kufanya kazi zao. yeye anaropoka tu. Huyu amesoma na amewahi kuwa DED. Je, asingesoma angefafanaje. DED mzima hajui kama maamuzi ya chini hayatakiwi kupingana na sera ya nchi.
Mbona unamgeuka Rais wako? Huyu si ndiye amewaandalia kikombe msimu huu? Muwe na shukurani basi
 
Utopolo kuifunga simba ni kama wameona mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaona raha sanaaaa!! Tena raha kuu Nne.
1. Yanga kuifunga Simba
2. Goli la ushindi lilifungwa na Bernard Morrison
3. Mechi ya kwanza tulifanya come back ya kiume ndani ya Dk. 3 tukawagonga bao 2 ndipo ngoma ikalala, hadi Rais Wa CAF akasema next time nitahitaji kishuhudia hii derby
4. Tumewafunga mbele ya Rais Wa nchi yetu, Rais Wa CAF na Rais wenu Wallace Karia
 
Huyu jamaa sijui alipataje urais hapo tiefuefu.
 
Jamii ya kitanzania ina tatizo kubwa la uongozi katika ngazi na sekta mbalimbali. Inasikitisha sana watu wajanja wajanja ndio tumewatanguliza mbele halafu tunategemea ushindi
 
Back
Top Bottom