Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Wallace Karia amewataka Wadau wafuate sheria zilizowekwa katika mpira na kuacha kushindana na mamlaka kwani wataumia.
"Taasisi ya TFF ina miongozo na kanuni ili kufanya mambo yake yaende kama inavyotakiwa na Wadau wote wapite njia moja"
"Ili kufanikiwa hilo, lazima kuwe na vyombo vya ndani vinavyosimamia kila mdau kuwaweka kwenye mstari mmoja"
"Wale wanaotoka nje ya mstari ndiyo hukutana na adhabu mbalimbali, inayofungia ni TFF na siyo Karia"
"Kwahivyo ukishindana na mamlaka utaumia, wanafamilia wa soka wanatakiwa wafute kama mamlaka inavyotaka"
"Kuna watu wanasema eti TFF kazi kufungia, hao ambao walikuwa hawafungii walifika wapi? Hizo document za kufungia sikusaini mimi. Ukiona unataka kubwabwaja basi ukae pembeni".
Wallace Karia akieleza nia ya kutoa mafunzo kwa Wadau kwa waandishi wa habari na michezo kwa ujumla chini ya Cecafa.
"Taasisi ya TFF ina miongozo na kanuni ili kufanya mambo yake yaende kama inavyotakiwa na Wadau wote wapite njia moja"
"Ili kufanikiwa hilo, lazima kuwe na vyombo vya ndani vinavyosimamia kila mdau kuwaweka kwenye mstari mmoja"
"Wale wanaotoka nje ya mstari ndiyo hukutana na adhabu mbalimbali, inayofungia ni TFF na siyo Karia"
"Kwahivyo ukishindana na mamlaka utaumia, wanafamilia wa soka wanatakiwa wafute kama mamlaka inavyotaka"
"Kuna watu wanasema eti TFF kazi kufungia, hao ambao walikuwa hawafungii walifika wapi? Hizo document za kufungia sikusaini mimi. Ukiona unataka kubwabwaja basi ukae pembeni".
Wallace Karia akieleza nia ya kutoa mafunzo kwa Wadau kwa waandishi wa habari na michezo kwa ujumla chini ya Cecafa.