Wallace Kariaa wa Tff atafuna mamilon ya pesa

Wallace Kariaa wa Tff atafuna mamilon ya pesa

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Nilishasema huyu mtu hana tofauti na malinzi, Rais alikuwa Sir leodiger Tenga tu hawa wengine wamekuja kuzoa utajiri tu

Kumbe alimfungia wambura ili azitafune bila kelele
IMG_20181211_210446.JPG
 
Gazeti hili sitakuja kuliamini labda waandike taarifa za kifo cha MUSIBA
 
Back
Top Bottom