Wallace Kariaa wa Tff atafuna mamilon ya pesa

Wallace Kariaa wa Tff atafuna mamilon ya pesa

Karia ni mtu wa system kawekwa hapo na serikali
Makusudi


Mkuu unatwanga maji kwenye kinu na kujihangaisha
 
Mayai na Shaffi wana uwezo wa kubadirisha soka letu wako very passionate na Mpira.
Kwanini unaimani kwa hao wawili? Walishawahi kuwa viongozi wa vilabu? Au wana mchango gani kwenye soka mpaka sasa?
 
Hizo ni mbinu za Wambura kuwachafua waliopo TFF ili arudi ofisini kuja kuhomola kwa kumtumia mamluki MUSIBA na kijarida chake!!! Hawa wote Wambura na Musiba ni majasusi!!!
Wote wanatoka kanda maalumu
 
Back
Top Bottom