Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makanisa yote hayafuati maandiko bali yanafuata mawazo yawachungaji na wazee wa kanisa tuUkristò ni dini ya watu wasomi, wagunduzi, wana sayansi, matabibu, wana anga za juu nk.
Sasa siku za karibuni limeibuka kundi la watu wasiofikiria, wasio hoji, wenye ufinyu wa fikra, wenye kupelekeshwa kibwege kabisa na wahuni wanaojiita mitume na manabii.
Nabii akisema leo kamnyime mumeo unyumba, basi nyumbani siku hiyo mtalala mzungu wa nne.
Nabii akisema kalete mbegu, basi humo ndani hakukaliki lazima mbegu nono ipelekwe kwa nabii.
Walokole wanakonda manabii wananenepa. Kila siku ufukara unawaingia kwa kasi. Wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
Walokole mnatakiwa mbatizwe kwa ubatizo wa moto wa gesi huenda ndipo akili zenu zitafunguka na kuijua kweli ambayo ni neno la Mungu.
Hapo kwenye hiyo picha si ajabu kuna mume wa uyo mama anaangalia tu mshenzi akichezea mke wake ukirito sio dini bora hata ya wapagani
Dini ni 1 tu uisilamu hata hilo neno dini tasili yake sio ukirito hata ndani biblia hakuna andiko linalo sema ukirito diniDini zote ni cults. Kuna tofauti gani kati ya cult na dini?
Hakuna mkiristo anae kubali kufuata neno la mungu ukitaka kuamini chunguza yanayo fanyika makanisani kuanzia mapadri mpaka wachungaji na wafuasi wao utagundua biblia inaelekea kulia wao kushotoWafuasi wa hizo cult ni madhehebu mbalimbali kama hujui jaribu kufanya research.watu wanaenda kusali RC misa ya kwanza mchana kwa mwamposa and the like.Shida ndio zinawapeleka na wanapotea kwa sababu ya kutolijua neno la Mungu
Dini ni 1 tu uisilamu hata hilo neno dini tasili yake sio ukirito hata ndani biblia hakuna andiko linalo sema ukirito dini
[emoji23][emoji23][emoji16]Walokole wanatakiwa wachapwe mboko
Kuna tofauti gani kati ya uislam na Cults zingine?Dini ni 1 tu uisilamu hata hilo neno dini tasili yake sio ukirito hata ndani biblia hakuna andiko linalo sema ukirito dini
Hatari sanaMakanisa yote hayafuati maandiko bali yanafuata mawazo yawachungaji na wazee wa kanisa tu
Sahihi kabisaBinafsi siamini kwenye dini naamini kwenye imani. Dini ni mpango wa wanadamu kumtafuta Mungu.
Mwanadamu ni dhaifu. Ametawaliwa na ubinafsi, tamaa na kubadilika badilika. Hiyo ndio nature yetu.
Nafuata imani yangu sio dini za wanadamu. Mungu ni wa wote. Dini ni utumwa.
MashetaniHao maPadifi SI ndiyo wanawAfumua mirinda
Uislamu Ni dini ya ujanja ujanjaDini ni 1 tu uisilamu hata hilo neno dini tasili yake sio ukirito hata ndani biblia hakuna andiko linalo sema ukirito dini