Walokole zaidi ya 50 na familia zoa wakamatwa wakiingia Kenya kuelekea Ethiopia kuhubiri neno

TV ya NTV imelipoti leo kwamba wanasaka kiongozi wa kanisa moja kutoka Kenya alie shirikiana na mwenzie wa Uganda kurubuni na kupotosha kondo za bwana kuuza mali zao zote kwa matumaini ya kuelekea...

Kenya mna laana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo jamaa ana roho mbaya sana aisee. Sasa ndio nini sasa kuwauzisha wenzake mali zao halafu wakachukua mpunga wote kisha wakawatelekeza mpakani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah watu wanadhambi nyieee.
 
Mimi nina wasiwasi hata yule aliowauwa wafuasi na makaburi zaidi ya 100 kufukuliwa huenda nae aliwatapeli mali zao kabla ya kuwanyonga
 
Wajinga hawatoisha duniani
 
Hapo MK254 lazima atakuwa miongoni mwa hao wajinga..

Hehehe Mnafiki sana wewe, nikileta mada inayoonyesha ujuha wenu waislamu kwenye hiyo dini ya mwarabu huwa unakua wa kwanza kulia lia hadi unaita mods na wamiliki wa JF wakusaidie, ila ikiletwa uzi wa Kikristo hukawii kunitag, sijui kwanini waislamu huwa mnakua walegevu na utoto mwingi kiasi hicho.
Kama unataka ushindani wa kidini acha kuwa muoga pussy pambana. Acha kuiga uwoga wa huyo mwarabu wenu nimesoma sehemu alikua muoga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…