comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Halafu ukiangalia wote watu weusi, au ndio maana trump anawekaga Sheria Kali anasema US kunaingia watu kiholela.
Unaweza ukasema Kariakoo
Unaweza ukasema Kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia ni kijijiHalafu ukiangalia wote watu weusi, au ndio maana trump anawekaga Sheria Kali anasema US kunaingia watu kiholela.
Unaweza ukasema Kariakoo
View attachment 3088950
halafu hao wamachinga mbona ni waafrikaHalafu ukiangalia wote watu weusi, au ndio maana trump anawekaga Sheria Kali anasema US kunaingia watu kiholela.
Unaweza ukasema Kariakoo
View attachment 3088950
Kama huna lengo la ww la uwepo wako Kuwa Marekani! Utazeeka bila kurudi home na Kuwa Teja!Halafu ukiangalia wote watu weusi, au ndio maana trump anawekaga Sheria Kali anasema US kunaingia watu kiholela.
Unaweza ukasema Kariakoo
View attachment 3088950
🤣🤣🤣Weusi ni laana!!.
Duh!...Machinga wa Manhattan ni watu weusi huwezi kukuta mzungu anakimbizana na biashara za kuuza soksi mtaani...kuna haja gani ya kuishi nchi zenye idadi kubwa ya walalahoi kama marekani? Watu weusi wanaishi nchi za ulaya wako vizuri Sana kiuchumi kuliko Huko USA