Wamachinga wa Msimbazi Kariakoo wanatandika bidhaa chini kwenye njia ya waenda kwa miguu

Wamachinga wa Msimbazi Kariakoo wanatandika bidhaa chini kwenye njia ya waenda kwa miguu

kwahiyo wazungu ndio hivyo hawaji tena Dar es salaam maana pochi zao zitaporwa?
 
 
Wafanye tu kama wale wa wrong parking! Ashikwe mtu akacheulishwe 150K wakifanya hivyo kwa week tu hamna kiumbe atasalia road 😅
 
Back
Top Bottom