Huu uzi kuna watoto na watu wenye upeo mdogo sana wa kuyaangalia mambo katika angle zote huku ukiweka hisia pembeni. Iran anapigana vita kiutu uzima haui watoto wala kuuwa watu hovyo huyo mpalestina aliyepata madhara ya kuangukiwa na mabaki ya mabomu hiyo kitaalamu inaitwa collateral damage na Iran ameionyesha dunia kuwa amekuwa anafaa hata kukaribishwa kwenye meza za G7🤗,ameminimize to nearly infinity collateral damage.
Tofauti na Israeli kwanza anapigana kwa hisia halafu bado anapigana kama mijitu ya zamani inasababisha collateral damage kuubwa bila sababu. Israeli ni third world country hamna kitu bado hajastaarabika. Mwenzake Iran anampiga kwa kumcripple hahahaaa alafu anamuacha akijifaragua. Kimtaa mtaa tunaita tunakustua konzi moja heavy then tunaacha unaskilizia maumivu huku ukiendekea kujishauri uretaliate au ugairishe maamuzi ni yako😁😁😁😁 kwenzi alilopigwa Israeli limempa wenge saiv anapiga watu ban hovyohvyo eti katibu mkuu asifike hapo jangwani. Hawa jamaa wnajisahau sana yaani mtu aache kwenda sehemu kama Dubai, Maldives au Bahamas aende Israeli kufanya nn🤔
Tofauti na Israeli kwanza anapigana kwa hisia halafu bado anapigana kama mijitu ya zamani inasababisha collateral damage kuubwa bila sababu. Israeli ni third world country hamna kitu bado hajastaarabika. Mwenzake Iran anampiga kwa kumcripple hahahaaa alafu anamuacha akijifaragua. Kimtaa mtaa tunaita tunakustua konzi moja heavy then tunaacha unaskilizia maumivu huku ukiendekea kujishauri uretaliate au ugairishe maamuzi ni yako😁😁😁😁 kwenzi alilopigwa Israeli limempa wenge saiv anapiga watu ban hovyohvyo eti katibu mkuu asifike hapo jangwani. Hawa jamaa wnajisahau sana yaani mtu aache kwenda sehemu kama Dubai, Maldives au Bahamas aende Israeli kufanya nn🤔