Wamama huleta vipingamizi vijana wao wakitaka kuoa wasichana wa kazi

Wamama huleta vipingamizi vijana wao wakitaka kuoa wasichana wa kazi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mapenzi huwa hayachagui, unakuta kijana amefika amekwisha kwa dada wa kazi. Mara nyingi mama akisikia habari hii huwa anaona kama inamshushia heshima katika jamii inayomzunguka.

Wengi wanapenda mtoto wake amuoe mtoto wa rafiki au watu wa kaliba yake. Wamama wenye busara hushukuru kuwa mtoto wake amempata mtu ambae na yeye ana mfahamu na hasa kama ameridhika na tabia za binti.

Wamama wengine huwapa dada wa kazi hela na kuwatisha waondoke haraka na wapotee kwenye maisha ya vijana wao. Huu ni ukatili unaosababisha msongo wa mawazo kwa vijana wao baada ya penzi changa kukatishwa ghafla.

Wa mama ndoa ni jambo la kheri, kama kijana amependa, kazi ya mtu si kasoro.
 
Mapenzi huwa hayachagui, unakuta kijana amefika amekwisha kwa dada wa kazi. Mara nyingi mama akisikia habari hii huwa anaona kama inamshushia heshima katika jamii inayomzunguka.

Wengi wanapenda mtoto wake amuoe mtoto wa rafiki au watu wa kaliba yake. Wamama wenye busara hushukuru kuwa mtoto wake amempata mtu ambae na yeye ana mfahamu na hasa kama ameridhika na tabia za binti.

Wamama wengine huwapa dada wa kazi hela na kuwatisha waondoke haraka na wapotee kwenye maisha ya vijana wao. Huu ni ukatili unaosababisha msongo wa mawazo kwa vijana wao baada ya penzi changa kukatishwa ghafla.

Wa mama ndoa ni jambo la kheri, kama kijana amependa, kazi ya mtu si kasoro.
Wamama wapeni nafasi vijana.
 
Mapenzi huwa hayachagui, unakuta kijana amefika amekwisha kwa dada wa kazi. Mara nyingi mama akisikia habari hii huwa anaona kama inamshushia heshima katika jamii inayomzunguka.

Wengi wanapenda mtoto wake amuoe mtoto wa rafiki au watu wa kaliba yake. Wamama wenye busara hushukuru kuwa mtoto wake amempata mtu ambae na yeye ana mfahamu na hasa kama ameridhika na tabia za binti.

Wamama wengine huwapa dada wa kazi hela na kuwatisha waondoke haraka na wapotee kwenye maisha ya vijana wao. Huu ni ukatili unaosababisha msongo wa mawazo kwa vijana wao baada ya penzi changa kukatishwa ghafla.

Wa mama ndoa ni jambo la kheri, kama kijana amependa, kazi ya mtu si kasoro.
Wazazi wapo sahihi, hamnaga mapenzi ya kweli hapo....ni genye tuu zinawasumbua vijana wao
 
Mapenzi huwa hayachagui, unakuta kijana amefika amekwisha kwa dada wa kazi. Mara nyingi mama akisikia habari hii huwa anaona kama inamshushia heshima katika jamii inayomzunguka.

Wengi wanapenda mtoto wake amuoe mtoto wa rafiki au watu wa kaliba yake. Wamama wenye busara hushukuru kuwa mtoto wake amempata mtu ambae na yeye ana mfahamu na hasa kama ameridhika na tabia za binti.

Wamama wengine huwapa dada wa kazi hela na kuwatisha waondoke haraka na wapotee kwenye maisha ya vijana wao. Huu ni ukatili unaosababisha msongo wa mawazo kwa vijana wao baada ya penzi changa kukatishwa ghafla.

Wa mama ndoa ni jambo la kheri, kama kijana amependa, kazi ya mtu si kasoro.
Wewe ndugu yangu, swala la ndoa ni pana sana lina gusa kila aspect.. Kwa kuwa ndoa ni taasisi pana sana nashauri muoaji na muolewaji wasipate ushauri wa aina yoyote kuwashawishi waungane wawe kitu kimoja, bali acha wao na nafsi zao zifanye maamuzi yatakayo wafaa
 
Wewe ndugu yangu, swala la ndoa ni pana sana lina gusa kila aspect.. Kwa kuwa ndoa ni taasisi pana sana nashauri muoaji na muolewaji wasipate ushauri wa aina yoyote kuwashawishi waungane wawe kitu kimoja, bali acha wao na nafsi zao zifanye maamuzi yatakayo wafaa
Ninaunga mkono hoja, hujui muoaji ameona nini kwa muolewaji mpaka kufikia maamuzi aliyofikia.
 
Ninaunga mkono hoja, hujui muoaji ameona nini kwa muolewaji mpaka kufikia maamuzi aliyofikia.
Kabisa na pia sio rahisi kuchokana kwa kuwa awali walijua wanataka nini kwa kila mmoja, na huwa wanakaa na kudumu sana katika ndoa kuliko ndoa zingine, na huwa wakikosana wanarekebishana ndoa ni life commitment then ufanye gambling unataka kufa na stress
 
Ni sahihi kuwazuia vijana wengi hupelekwa Kwa hisia bila kuangalia mustaiabali wao wa mbeleni ni Bora mzazi umzuie kuliko uwachie watakavyo alafu mbeleni one kuwa disaster Kwa mwanao
 
Walete vyombo ili sasa baba na mtoto wafanye gombania goli... Kwa kifupi wanawake wengi huwa hawapendi kuleta wadada wazuri kwao kama housegal maana huleta tafrani na saa zingine kuharibu ndoa yao
😂
 
Back
Top Bottom