Wamama huleta vipingamizi vijana wao wakitaka kuoa wasichana wa kazi

Wamama huleta vipingamizi vijana wao wakitaka kuoa wasichana wa kazi

Wewe ndugu yangu, swala la ndoa ni pana sana lina gusa kila aspect.. Kwa kuwa ndoa ni taasisi pana sana nashauri muoaji na muolewaji wasipate ushauri wa aina yoyote kuwashawishi waungane wawe kitu kimoja, bali acha wao na nafsi zao zifanye maamuzi yatakayo wafaa
Umesema taasisi, na taasisi haina mtu mmoja au wawili Ndugu. Kuna muda lazma wapate ushauri athar na faida ya uhusiano wao. Unakuta Kijana ameanzia penzi Kwa housgel Kwa Akil yake ye anamuona house G Ndo kila kitu, LKn lazma umuongoze ajue huko nje Kuna mabinti wengi wazur wa hadhi yake na asje akamchukua binti wa watu mwisho wa siku akaanza kumnyanyasa kisa anaona sio hadhi yake. Lazma ujue kwwnye mapenzi kuna muda Huwa yanapungua na hpa Ndo utaanza Kuona mapungufu ya mwenzi wako, je atakuwa tyar kuyabeba na kusonga mbele
 
Ni sahihi kuwazuia vijana wengi hupelekwa Kwa hisia bila kuangalia mustaiabali wao wa mbeleni ni Bora mzazi umzuie kuliko uwachie watakavyo alafu mbeleni one kuwa disaster Kwa mwanao
Kwan kwa wanawake wa nje au wenye social status nzuri vijana hawapelekwi na hisia(tamaa) pasipo kuangalia mustakabali wao wa baadae?
 
Wazazi wapo sahihi, hamnaga mapenzi ya kweli hapo....ni genye tuu zinawasumbua vijana wao
Umajuaje kuwa ni nyege? Unataka kusema kuwa huko nje hajawaona wengne wenye hadhi wa kumtoa hizo nyegw had atake kuoa housegirl sababu ya kusumbuliwa na nyege?

Hakuna mtu hasiyependa kuoa mwanamke mwenye hadhi ya juu lakin ukiona kaamua kuoa mwanamke mwenye hadhi ya nchin ilihali alikuwa na nafasi ya kuoa mwenye hadhi kama yake jua hapo upendo upo.
 
Mimi naamini haya.
1.Mtoto anakuwa hajui maisha--hajajua kutafuta maisha yake na hatoweza kumhudumia---pia atakuwa na mambo ya muhimu kama Elimu ambayo mzazi anategemea mtoto huyo amalize.
2.Mzazi anaona kuwa kapata majukumua zaidi---kuhudumia watoto wawili wategemezi.
 
Mimi naamini haya.
1.Mtoto anakuwa hajui maisha--hajajua kutafuta maisha yake na hatoweza kumhudumia---pia atakuwa na mambo ya muhimu kama Elimu ambayo mzazi anategemea mtoto huyo amalize.
2.Mzazi anaona kuwa kapata majukumua zaidi---kuhudumia watoto wawili wategemezi.
Elewa Uzi bro
 
sio vema kijana kuwa na house girl maana zile ni nyege hakuna upendo wowote wataishia kuzaa tu
 
Mapenzi huwa hayachagui, unakuta kijana amefika amekwisha kwa dada wa kazi. Mara nyingi mama akisikia habari hii huwa anaona kama inamshushia heshima katika jamii inayomzunguka.

Wengi wanapenda mtoto wake amuoe mtoto wa rafiki au watu wa kaliba yake. Wamama wenye busara hushukuru kuwa mtoto wake amempata mtu ambae na yeye ana mfahamu na hasa kama ameridhika na tabia za binti.

Wamama wengine huwapa dada wa kazi hela na kuwatisha waondoke haraka na wapotee kwenye maisha ya vijana wao. Huu ni ukatili unaosababisha msongo wa mawazo kwa vijana wao baada ya penzi changa kukatishwa ghafla.

Wa mama ndoa ni jambo la kheri, kama kijana amependa, kazi ya mtu si kasoro.
Unajua mara nyingi ili kijana uweze kujenga ukaribu na mdada wa kazi hadi kufikia hatua ya kutembea nae, lazima muwe mnaishi under the same roof. Maana yake, kijana Bado anakuwa tegemezi kwa wazazi.

Pili, vijana wakiwa katika balehe ndo huanzisha mahusiano na wadada wa kazi, free sex, no extra costs, plus mara nyingi kwa vijana hii ndio inakuwa first love yao, they get carried by the wave na kuhisi wamepata mke (1st love wajua ilivyo)

So, wazazi kuzuia ili jambo, not all the time inakuwa sababu ya negative reasons.
 
Unajua mara nyingi ili kijana uweze kujenga ukaribu na mdada wa kazi hadi kufikia hatua ya kutembea nae, lazima muwe mnaishi under the same roof. Maana yake, kijana Bado anakuwa tegemezi kwa wazazi.

Pili, vijana wakiwa katika balehe ndo huanzisha mahusiano na wadada wa kazi, free sex, no extra costs, plus mara nyingi kwa vijana hii ndio inakuwa first love yao, they get carried by the wave na kuhisi wamepata mke (1st love wajua ilivyo)

So, wazazi kuzuia ili jambo, not all the time inakuwa sababu ya negative reasons.
Hali ya uchumi inachangia pakubwa pia familia nyingi hazimthamini dada wakazi kama yuko sawa na mabinti wa ndani. Unakuta dada wa kazi anawekewa kitanda chumbani kwa watoto wa kiume eti asichanganyike na wenzake wa kike. Humo chumbani mengi hutokea.

Vijana wengine wamewapa mimba ma house girl wakiwa advance, dada anafukuzwa kazi lakini kijana anajua ana mtoto na anaendelea kumtunza huko kijijini mpaka anamaliza chuo. Ile akisema apeleke posa sasa kwa wakwe Aisha ba familia yake, mama anataka harusi ya J’mosi na binti msomi.
 
Back
Top Bottom