Wore= wote[emoji1]Jifunze kuandika vizuri, isiwe Kama wore tuko hapo bar
[emoji117]Fipo = fimbo
Kama vijana wenyewe tumeridhia, shida Iko wapi mkuu?Leo fipo yangu inachapa moja kwa moja hawa wahusika wenye tabia hii chafu.Unakuta MJIMAMA miaka hata 50 unatembea na kijana wa miaka hata 25 bila hata aibu,ukimwuliza eti "vijana wanajua kazi"[emoji23] Sasa kama wanajua kazi si uwaache wakajenge taifa.Unakuta MJIMAMA uko kabisa kwenye ndoa ila unamwacha MZEE MARUBADU wa watu anakunywa KAHAWA NA KASHATA[emoji1787]nyumbani wenyewe unapiga SUPU YA KONGORO kijiweni [emoji2960][emoji12] na Serengeti b..y NAULIZA JE TUTAFIKA?
Ni kweli mmeridhia ila huoni mnamdhalilisha mzee MARUBADU na wanae, imagine unakutana na kijana mmesoma nae au umempita vidato anapit na b mdash unajisikiajeKama vijana wenyewe tumeridhia, shida Iko wapi mkuu?
Jiuluze, mmama Hana papuchi? Na je mmama Hana hisia?Leo fimbo yangu inachapa moja kwa moja hawa wahusika wenye tabia hii chafu. Unakuta MJIMAMA miaka hata 50 unatembea na kijana wa miaka hata 25 bila hata aibu...
Anazo ila kwa mtoto ka mwanae🥱Jiuluze, mmama Hana papuchi? Na je mmama Hana hisia?
Wanakataa japo vinaforce cz of maokoto[emoji2923]Je nyie wa baba mnaotembea na vibinti vidogo havina hata mziwa mnawapa magonjwa na mimba zisizoeleweka
Hata wakakaWanakataa japo vinaforce cz of maokoto[emoji2923]
Funguka tuKuna kitu hujajua......naishia hapa.
[emoji12]vijana ndiyo ajira yao huyo, wamelegeeea.
Lakini mara nyingi yenyewe ndyo hurubuni vijana kwa kigezo cha kwamba wanakamia🥲 kutumia pia nguvu ya pesaHiyo hali inakula pande zote mbili wala siyo mijimama tu
Shida iko wapi mkuu, acha wafurahie maisha.Leo fimbo yangu inachapa moja kwa moja hawa wahusika wenye tabia hii chafu. Unakuta MJIMAMA miaka hata 50 unatembea na kijana wa miaka hata 25 bila hata aibu...