Wamama mna mambo

Wamama mna mambo

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
Mchawi kakamatwa lakini nikiangalia mbele yake naona miguu ya wamama tu,wanaangalia nini hapo? halafu ni usiku ina maana wote wapo lonely(picha kwa hisani ya kakakiiza)
 
Acha uongo wewe huyo mwenye suruali nyeusi na nyeupe na mwenye pensi ni wanawake??
 
Mchawi kakamatwa lakini nikiangalia mbele yake naona miguu ya wamama tu,wanaangalia nini hapo? halafu ni usiku ina maana wote wapo lonely(picha kwa hisani ya kakakiiza)

Huyu ndo atakuwa kakamatwa maeneo ya Garden hapo Kinondoni mishale ya saa kumi alfajili aliishiwa na mafuta.
 

:yield:
Should it mean that they are so concerned to be available almost everywhere?......mmhhh!! lets wait to hear from them
 
Ahaaa ahaaa Ivuga banaa, naona wananchi wanasubiri kumpa jamaa GROAN.
 
Macho yanaonyesha ni bonge la Rubaniiii
 
Mchawi kakamatwa lakini nikiangalia mbele yake naona miguu ya wamama tu,wanaangalia nini hapo? halafu ni usiku ina maana wote wapo lonely(picha kwa hisani ya kakakiiza)

Du, huyu ndio yule aliyekuwa nyani akageuka binadamu nini... heard it on Clouds Fm asubuhi... Back to Topic, jamani m/mke umbea kusutwa sunna... kama uko karibu na eneo la tukio kwa nini uhadithiwe?
 
Mstirini kwa kumfunika japo kwa mfuko wa rambo huyo m2humiwa bac!
 
Jamani habari zaidi ya tukio hili inasomwa wapi?

Duh wachawi na washindwe katika jina la Yesu
 
Back
Top Bottom