Wamama wajiponza wenyewe kwa Polisi bila kujua

Wamama wajiponza wenyewe kwa Polisi bila kujua

Mkuu NAHUJA Sia ajabu saa hizi wamama hao wameunganishwa na kesi ya maandamano ya Dar. Police sio wa kuchezea chezea nyakati hizi za uchunguzi wa silaha za jadi na zile za moto huwa wanatafuta wahusika Tanzania nzima [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi ni mwanamke!
Looh! kumbe wewe ni mtu wa Ukerewe, hivi kuna watu wambeya kama wanaume wa Ukerewe!!! Naijua Ukerewe hadi Mahande, Muhande, Kagunguli, Bulamba, Msozi
Nina shemeji yangu huwa analalamika sana kuhusu wakerewe kuwa wambea sana leo nimeamini, [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Nina shemeji yangu huwa analalamika sana kuhusu wakerewe kuwa wambea sana leo nimeamini, [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Wakazi wa hicho kisiwa ni balaa
 
Mkuu NAHUJA Sia ajabu saa hizi wamama hao wameunganishwa na kesi ya maandamano ya Dar. Police sio wa kuchezea chezea nyakati hizi za uchunguzi wa silaha za jadi na zile za moto huwa wanatafuta wahusika Tanzania nzima [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
hahahahaahahha
 
Back
Top Bottom