Tetesi: Wamarekani kuvamia Area 51

Tetesi: Wamarekani kuvamia Area 51

Mvamizi anatoa taarifa kua atavamia eneo gani,tarehe ngapi na saa ngapi na idadi yao hao wavamizi watakua ni watu wangapi!! haya ni maajabu ya karne!
Maajabu hayo yanayashinda maajabu ya watekwaji wa bongo?
 
It Ain't Real. It's Fake! Na wala sidhani hiyo idadi ya watu inaweza kuwepo hiyo siku na pia hilo jangwa ni Very Risky kwa umati mkubwa kama huo.

Anyway, licha ya hivyo jamaa (USAF) wamejipanga kuilinda Area 51 yao na wanawakumbusha tu kwamba "Trespassers Will Be Shot, Survivors Will Be Shot Again!"
 
Hao ni wapuuzi tu kwenye mitandao ya kijamii wanatumia hyo hashtag #stormarea51 most of them wana make jokes tu hakuna lolote.
 
Hii raid ipo lakini ni kwenye social media tu
IMG_20190715_193330_416.jpeg
67107184_703780690068248_6179942306645278720_n.jpeg
 
Back
Top Bottom