Mkiyakataaa hayo mapesa vyoo vya shule za kata mtajenga na nini ... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kataeni na pesa zao
Mkiyakataaa hayo mapesa vyoo vya shule za kata mtajenga na nini ... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hi koment imenigusa Sana,unajenga uwanja wa michezo Chato huku Shule hazina vyoo.Huoni ajabu kuwa watoto hawana vyoo shuleni lakini JIWE anataka kujenga UWANJA WA KIMATAIFA WA MICHEZO huko Chato!!! A case of misdirected priorities.
Nyerere huyo huyo aliwahi kuulizwa katika moja ya mahojiano yake kwamba atachagua nini Kati ya demokrasia na maendeleo akajibu kuwa yeye anaongoza Taifa lenye watu wenye mahitaji mengi muhimu hivyo atachagua maendeleo.
Hivyo mzee don't be carried away na hizo lugha za hao mabeberu.
Na ukiusema hadharani ukitambulika, utapotezwa.Ukweli ni lazima usemwe.