Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hakuna vitu vilimuangusha mgombea wa chama cha Democrat Kamala Harris kama kutetea ushoga na kuhusishwa na uhuria wa mipaka iliyoruhusu wakimbizi kuingia Marekani akiwa makama wa rais wa Joe Biden aliyeonyesha ukigeugeu na unafiki juu ya haki za binadamu hasa wapalestina.
Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.
Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu.
Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na ushoga wakati wanauchukia. Tia akilini.
Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.
Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu.
Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na ushoga wakati wanauchukia. Tia akilini.