Wamarekani ni wanafiki, waliinyima Uganda misaada kukataa ushoga wakati nao hawaupendi

Wamarekani ni wanafiki, waliinyima Uganda misaada kukataa ushoga wakati nao hawaupendi

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Hakuna vitu vilimuangusha mgombea wa chama cha Democrat Kamala Harris kama kutetea ushoga na kuhusishwa na uhuria wa mipaka iliyoruhusu wakimbizi kuingia Marekani akiwa makama wa rais wa Joe Biden aliyeonyesha ukigeugeu na unafiki juu ya haki za binadamu hasa wapalestina.

Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.

Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu.

Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na ushoga wakati wanauchukia. Tia akilini.
 
Nadhani hizo hoja za ushoga na wahamiaji sio ishu sana, Wamarekani wanajua wanachokitaka. Japo nipo jimbo lililo neutral kwenye siasa lakini sikuacha kuona nyumba ambazo zilikuwa na bendera za kumsapoti Trump
 
Hakuna vitu vilimuangusha mgombea wa chama cha Democrat Kamala Harris kama kutetea ushoga na kuhusishwa na uhuria wa mipaka iliyoruhusu wakimbizi kuingia Marekani akiwa makama wa rais wa Joe Biden aliyeonyesha ukigeugeu na unafiki juu ya haki za binadamu hasa wapalestina. Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine. Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu. Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na usenge wakati wanauchukia. Tia akilini.
It's more than that. Hata hii ya Tundu Lissu na Makonda ilianzia kwa kina Mbowe na Tundu Lissu kumsema Makonda kwa Balozi wa Marekani kuwa anawadaka mashoga alipokuwa Mkuu wa Mkoa. Inasemekana pia kuwarmbe alipokuwa Foreign kwa pamoja naRaisKikwete walimkataa Balozi mmoja wa Marekani aliyepedekrzwa na Obama. CHADEMA hawana raha hapo walipo
 
Hakuna vitu vilimuangusha mgombea wa chama cha Democrat Kamala Harris kama kutetea ushoga na kuhusishwa na uhuria wa mipaka iliyoruhusu wakimbizi kuingia Marekani akiwa makama wa rais wa Joe Biden aliyeonyesha ukigeugeu na unafiki juu ya haki za binadamu hasa wapalestina.

Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.

Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetwamepishana margin ndogoea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu.

Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na usenge wakati wanauchukia. Tia akilini.
Dogo lakini mbona wamepishana margin ndogo
Hizo kura kamala alizopata ni za mawe na miti??. 223/270

Punguza mhemuko yaangalie mambo kisayansi zaidi kuliko hisia
 
Hata wàtanzania hatuutaki ushoga ila Chadema wanaita faragha za watu zisiingiliwe! Tundu lissu hovyo kabisa.
Umesema kweli yaani; hata mimi nawachukia sana Chadema, yaani Chadema wamesababisha yule mbunge wa kule Babati aliyemuingizia chupa yule kijana asipelekwe mahakamani, yaani mshtaki mkuu akakataa kabisa yule mbunge asiwe kabisa na kesi, Chadema hawakuishia hapo, yule gavana wa kule kwa Wanyantuzu nae aliyemfira yule binti wa chuo kikuu nae hivo hivo tu, usisahau danadana za wale askari walio mpiga mtungo yule binti wa Yombo, Chadema hao yaani. CCM ilivoingilia kati ndio walau walipelekwa mahakamani, wapuuzi sana Chadema yaani
 
Umesema kweli yaani; hata mimi nawachukia sana Chadema, yaani Chadema wamesababisha yule mbunge wa kule Babati aliyemuingizia chupa yule kijana asipelekwe mahakamani, yaani mshtaki mkuu akakataa kabisa yule mbunge asiwe kabisa na kesi, Chadema hawakuishia hapo, yule gavana wa kule kwa Wanyantuzu nae aliyemfira yule binti wa chuo kikuu nae hivo hivo tu, usisahau danadana za wale askari walio mpiga mtungo yule binti wa Yombo, Chadema hao yaani. CCM ilivoingilia kati ndio walau walipelekwa mahakamani, wapuuzi sana Chadema yaani
Bonge ya suto na falsafa. Hata mimi nawachukia Chadema kwa sababu wameruhusu baa na nyumba za kuzinia kila mtaa kila mji nchini. Nawachukia Chadema kwa sababu wamezidisha kupenda ushoga hadi wanafuga chawa na machawa.
 
Hata wàtanzania hatuutaki ushoga ila Chadema wanaita faragha za watu zisiingiliwe! Tundu lissu hovyo kabisa.


Hili nalo mliangalie.
Yule mama wa Marekani aliyekua anatafutiwa minne tena ndiye nguzo kuu ya ushoga duniani na usagaji .
Bila shaka wasagaji watakosa uungwaji wa kimfumo kwa kipindi hiki cha Trump.

Tanzania mashoga na wasagaji wamekua wengi sana katika utawala huu wa Tundu Lisu .

Nadhani Utawala wa JPM ulikua wazi sana katika kupinga Ushoga na usagaji ila Tundu Lisu sijawahi kumsikia akiukemea pamoja na kwamba yeye ndiye mwenye mamlaka ya kukomesha vitendo hivi viovu na visivyofaa kwa jamii yetu.
Mara nyingi amekua akiwaachia viongozi wa dini wakati anajua wazi kuwa maadili ya umma wanadhibitiwa na sheria sio dini . Ndio maana hata sheria ya ndoa imetungwa na Bunge sio taasisi za dini . Waislam walipotaka kudhibiti ndoa na maadili ya kindoa kupitia sharia na mahakama ya kadhi serikali ilikataa. Hivyo ni wazi kuwa serikali ina mchango mkubwa zaidi wa kudhibiti vitendo viovu kwenye jamii bila kutumia lawama taasisi za dini ambazo kwa wazi kabisa hazipendi kabisa suala la ushoga na usagaji ila serikali ya Tundu Lisu imekua ikilega lega kukemea na kutunga sheria kali ya kuwashughulikia wasagaji na walawiti na mashiga.

Nadhani CCM ikifanikiwa kushika dola watakomesha vitendo vya ushoga vilivyokithiri kwa sasa. Kwa sasa Chadema wapo madarakani na wameshindwa sio tu kukomesha au kupunguza vitendo hivyo viovu bali hata vitendo vya ufisadi na uporaji wa rasilimali za umma vimeongezeka kwa kasi kubwa kwenye utawala huu wa Tundu Lisu.
 
Bonge ya suto na falsafa. Hata mimi nawachukia Chadema kwa sababu wameruhusu baa na nyumba za kuzinia kila mtaa kila mji nchini. Nawachukia Chadema kwa sababu wamezidisha kupenda ushoga hadi wanafuga chawa na machawa.
Kabisa yaani
 
Dunia ilipo hivi sasa haihitaji watu wa mipasho na wasikiliza taarabu, dunia hivi sasa inahitaji watu wagumu na wenye maamuzi ya kiume, muda umetuacha.

Hawa waimba taarab wakae pembeni kwanza wanaume waingie kazini kunyoosha palipo pinda baadae sana waimba taarab watarudi kuendelea kuimba taarabu na mipasho baada ya wanaume kufanya kazi.

Katika huu wakati ambapo dunia ipo katika wakati wa taharuki, karne ambayo dunia inaweza kushuhudia u superpower ukitoka magharibi kuelekea mashariki, wanahitajika viongozi makini na wenye weledi.
Hata huku Africa tunahitaji viongozi wenye maono na uzalendo, wanaoelewa siasa za kidunia vyema.....

Tanzania imelala na siasa zenu za (amejenga madarasa sita, zahanati mbili, amejenga frame za maduka, amenunua bodaboda, amesafiri na wasanii, pato limeongezeka, blah blah blah).... Siasa za kinafiki na wizi siasa za kimalaya... siasa za uchawa... angalieni wenzenu maamuzi wanayofanya...

Wazungu sio wajinga wanaelewa wanahitaji kiongozi gani kwa wakati gani.
 
Dunia ilipo hivi sasa haihitaji watu wa mipasho na wasikiliza taarabu, dunia hivi sasa inahitaji watu wagumu na wenye maamuzi ya kiume, muda umetuacha.

Hawa waimba taarab wakae pembeni kwanza wanaume waingie kazini kunyoosha palipo pinda baadae sana waimba taarab watarudi kuendelea kuimba taarabu na mipasho baada ya wanaume kufanya kazi.

Katika huu wakati ambapo dunia ipo katika wakati wa taharuki, karne ambayo dunia inaweza kushuhudia u superpower ukitoka magharibi kuelekea mashariki, wanahitajika viongozi makini na wenye weledi.
Hata huku Africa tunahitaji viongozi wenye maono na uzalendo, wanaoelewa siasa za kidunia vyema.....

Tanzania imelala na siasa zenu za (amejenga madarasa sita, zahanati mbili, amejenga frame za maduka, amenunua bodaboda, amesafiri na wasanii, pato limeongezeka, blah blah blah).... Siasa za kinafiki na wizi siasa za kimalaya... siasa za uchawa... angalieni wenzenu maamuzi wanayofanya...

Wazungu sio wajinga wanaelewa wanahitaji kiongozi gani kwa wakati gani.
Mkuu umeandika kwa uchungu sana.
 
Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.

Misimamo uliyoisikia ya Harris juu ya haki za ushoga, haki za utoaji mimba, uhuru wa wageni kuingia Marekani n.k sio kwamba ni misimamo binafsi ya Kamala bali hizo ni sera za Democrats kwa muda wote. Hivyo usimponde ukidhani ni fikra zake kujitafutia kura...(Lawama elekeza kwa Democrats)

Upande mwingine, misimamo ya Trump kupinga misimamo ya Harris kama nilivyotaja hapo juu si fikra binafsi za Trump bali ni sera za Repuplican kupinga hayo mambo muda wote...(Pongezi elekeza kwa Republicans)

Siasa za Marekani ni za ajabu, unaweza ukashangaa uchaguzi ujao sera za ushoga ndio zikampa mtu Urais...
 
Hakuna vitu vilimuangusha mgombea wa chama cha Democrat Kamala Harris kama kutetea ushoga na kuhusishwa na uhuria wa mipaka iliyoruhusu wakimbizi kuingia Marekani akiwa makama wa rais wa Joe Biden aliyeonyesha ukigeugeu na unafiki juu ya haki za binadamu hasa wapalestina.

Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.

Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu.

Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na ushoga wakati wanauchukia. Tia akilini.
Nani kakiambia hawaja mchagua sababu ta yshiga?
Wabongo muelewe ushiga kulw kwao ni jambo la kawaida na hawana shida nalo wala hali athiri uchumi wao, harris ameangushwa na kwa sera za mambo ya nje na za uchumi
 
Misimamo uliyoisikia ya Harris juu ya haki za ushoga, haki za utoaji mimba, uhuru wa wageni kuingia Marekani n.k sio kwamba ni misimamo binafsi ya Kamala bali hizo ni sera za Democrats kwa muda wote. Hivyo usimponde ukidhani ni fikra zake kujitafutia kura...(Lawama elekeza kwa Democrats)

Upande mwingine, misimamo ya Trump kupinga misimamo ya Harris kama nilivyotaja hapo juu si fikra binafsi za Trump bali ni sera za Repuplican kupinga hayo mambo muda wote...(Pongezi elekeza kwa Republicans)

Siasa za Marekani ni za ajabu, unaweza ukashangaa uchaguzi ujao sera za ushoga ndio zikampa mtu Urais...
Watu hawaelewi hilo, siasa za marekani ni fomppex kidogo
 
Hakuna vitu vilimuangusha mgombea wa chama cha Democrat Kamala Harris kama kutetea ushoga na kuhusishwa na uhuria wa mipaka iliyoruhusu wakimbizi kuingia Marekani akiwa makama wa rais wa Joe Biden aliyeonyesha ukigeugeu na unafiki juu ya haki za binadamu hasa wapalestina.

Harris alijifanya kutetea dhambi hii akidhani wengi wangemchagua asijue wanazichukia. Trump, pamoja na madhaifu yake, ana sifa ya kusimamia anachoamini hasa misingi ya familia. Anapinga ushoga moja kwa moja. Anachukia wageni sawa na wazungu wengine.

Harris, mswahili toka Jamaica alijidanganya kuwa angewadanganya wamarekani wamchague kuwa rais wao.
Kwa waswahili malimbukeni wanaotetea upumbavu huu, wanapaswa kujifunza juu ya unafiki na kigeugeu vya wazungu na mizungu yao hadi wakaitwa wazungu.

Wakija Afrika wanatuhadaa kuwa wanapigania haki za binadamu zikiwamo laana za usagaji na ushoga wakati wanauchukia. Tia akilini.
We huoni kesi ya pdiddy imegusa kuwala watu kishoga kila mtu anaikimbia.

Ni wazi ushoga unachukiwa ila kuna kakikundi tu ka watu kanajitoaha akili.

Hata bob iger wa disney aliingia matatizoni kisa kupromote content za kishoga huko disney, wazee wenye akili na hela zao wakamtia adabu
 
Back
Top Bottom