Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo

Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.

Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.

Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.

======

SmartSelect_20230221-081941_Chrome.jpg

Screenshot_20230221-082126_Chrome.jpg

Screenshot_20230221-082301_Chrome.jpg
Screenshot_20230221-082350_Chrome.jpg

Screenshot_20230221-082511_Chrome.jpg
 
Miaka hii ukiona mtu anatetea marekani ni aidha shoga, feminists au fisadi. Watu wanaojitambua wameshaelewa marekani takataka.
Upo sahii mkuu miaka hii pia hata ukiona mtu anatetea urusi aidha ni mwenye roho ya husda na muhafidhina au anaonea wivu mali za mafisadi.Upo sahii mkuu tunaojitambua tumeshaelewa siasa na dini za dunia ni takataka iwe mashariki au magharibi
 
Out of topic.

Ukienda kusoma Urusi kuna hati hati kurudi ukiwa mtambo.
 
Marekani huwez ifananisha ni nchi yyte kule uhuru ni mkubwa sana, hata ww bwana wako akikunyima unyumba unaruhusiwa kuandamana na polisi watakusindikiza kwa Usalama zaid ila Urusi hayo mambo ya maandamano huwez sikia maana hakuna uhuru ni mbinyo kwenda mbele ww unafikir hao raia wa Urusi wanaofariki huko Ukraine Frontline ndugu zao hawaumii? Wanaumia sana tu lakin hawana jinsi maana Putin akiamua hakuna wa kumpinga so hamuwez kuandamana Wala kupaza sauti zenu popote.
 
Upo sahii mkuu miaka hii pia hata ukiona mtu anatetea urusi aidha ni mwenye roho ya husda na muhafidhina au anaonea wivu mali za mafisadi.Upo sahii mkuu tunaojitambua tumeshaelewa siasa na dini za dunia ni takataka iwe mashariki au magharibi
bila kujua wamarejkani ndio wanatoa pesa hizi za miradi UN, IMF, yote marekani
 
Back
Top Bottom