Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo

Miaka hii ukiona mtu anatetea marekani ni aidha shoga, feminists au fisadi. Watu wanaojitambua wameshaelewa marekani takataka.
Mama yako ndio.takataka na wewe mwengewe

Unaitukana Marekani wakati kwwnza hii simu unayotumia ni teknolojia yao, halafu unaitumia kuwatukana,

Kwani usitukane mama yako na baba yako alieshindwa kukuundia simu?
 
Miaka hii ukiona mtu anatetea marekani ni aidha shoga, feminists au fisadi. Watu wanaojitambua wameshaelewa marekani takataka.
Spot on mkuu, tatizo kwa upande wa baadhi ya Watanzania ni wangapi wanalitambua hilo??

Wakisha kunywa maji ya bendera ya stars and stripes hata uwa elimishe vipi mtabishana usiku kucha hata kwenye masuala ambayo ni obvious kibisa - inashangaza sana.
 
Ooh kumbe, basi tuwekeze kwa partnership mkuu. Tupo watu serious kama sisi pamoja na ndugu zako waaminufu wa huku Tz
Nanii ndugu mwenyewe wewe @ Mito.πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nitake radhi.Wewe mwenyewe mtoto wa mjini kama wanaija,utanipiga changa la uso πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu.!!!
 
Nanii ndugu mwenyewe wewe @ Mito.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Nitake radhi.Wewe mwenyewe mtoto wa mjini kama wanaija,utanipiga changa la uso [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu.!!!
Hapana sikumaanisha mimi mkuu. Nilimaanisha hivi mim na wewe tunafanya legal partnership tunawekeza pamoja. Then kwa vile wew uko mbali, nakuwa na ndugu yako unayemwamini wa huku Tz nasimamia naye hiyo investment yetu.
 
Hapana sikumaanisha mimi mkuu. Nilimaanisha hivi mim na wewe tunafanya legal partnership tunawekeza pamoja. Then kwa vile wew uko mbali, nakuwa na ndugu yako unayemwamini wa huku Tz nasimamia naye hiyo investment yetu.
Nakutania mkuu nimekuelewa.Tutaongea inbox
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…