Halafu wabongo wengi sasa Hivi wanalipa child support.ndio maana blacks wanaenda jela wakitoka huko felony kwa hiyo hawapati Kazi .mungu nisaidie yasinikute Haya maana hata WANAWAKE wanalipa child support.hapa nimeolewa nimetulia nisije nikaburuzwa mahakamani bure
ameen
bongo tuanzishe hizo sheria
Si watakamatwa wengi maana wengi ni kumwaga tu sperm na kusepa ikiletwa bongo wengi watakamatika
wewe umezoea kiingereza ulichojifunza shule lazima ushangae.....huku kitaa ndio lugha hizo he be exposed...how is u...na vitu kama hivyo
Jiulize Kulikoni wabongo wanarudi?
Mwache apige rungu bana, ila hiyo CS huko us sijui loh gegedo at work
Halafu wabongo wengi sasa Hivi wanalipa child support.ndio maana blacks wanaenda jela wakitoka huko felony kwa hiyo hawapati Kazi .mungu nisaidie yasinikute Haya maana hata WANAWAKE wanalipa child support.hapa nimeolewa nimetulia nisije nikaburuzwa mahakamani bure
Aisee...ya kweli haya?