Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Halafu wabongo wengi sasa Hivi wanalipa child support.ndio maana blacks wanaenda jela wakitoka huko felony kwa hiyo hawapati Kazi .mungu nisaidie yasinikute Haya maana hata WANAWAKE wanalipa child support.hapa nimeolewa nimetulia nisije nikaburuzwa mahakamani bure
ameen
bongo tuanzishe hizo sheria