Wamarekani wamshukia Hasheem Thabeet

Wamarekani wamshukia Hasheem Thabeet

Halafu wabongo wengi sasa Hivi wanalipa child support.ndio maana blacks wanaenda jela wakitoka huko felony kwa hiyo hawapati Kazi .mungu nisaidie yasinikute Haya maana hata WANAWAKE wanalipa child support.hapa nimeolewa nimetulia nisije nikaburuzwa mahakamani bure

ameen
bongo tuanzishe hizo sheria
 
Halafu wabongo wengi sasa Hivi wanalipa child support.ndio maana blacks wanaenda jela wakitoka huko felony kwa hiyo hawapati Kazi .mungu nisaidie yasinikute Haya maana hata WANAWAKE wanalipa child support.hapa nimeolewa nimetulia nisije nikaburuzwa mahakamani bure

Nieleweshe hapo..Inakuwaje na mwanamke analipa hiyo child support? Au kama baba ameamua kutunza mtoto?
 
Hasheem, pole bro. Karibu sana ujiunge na ACT chama cha ukweli
 
Dah jamaa anakoaea sana angeonyesha njaa piga kikapu, tengeneza fedha nyingi avoid scendo wekeza bongo sio kutembeza gegedo tu hiyo chanc kuna wabongo waliitamani sema bahati haikuwa upande wao.
 
Back
Top Bottom