PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Rukaruka kama popcorns ila ujue leo umewasujudia ‘mashoga’.1. "Leo?!' Ukimaanisha nini Ndugu?
2. "Mnawaona?!" Ukimaanisha mimi na nani Ndugu?
3. Uzi huu ni wangu wa 2022 Huko:
Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
5. Hapo #4, uzi huo ukiangazia haki za wote wabagazwao wakiwamo: utumwani, makoloni, jinsia (wanawake na LGBTQ), panya road na mkuluro wote.
6. Hivi huwa mnakurupuka kutokea wapi bila takwimu wala kumbukumbu kuwasemea watu yenu?
7. Hapo #6 ni yale madhara ya watokea jalalani taslimu!
8. Ama kweli my hollow, hopeless na useless kwa jamii.
9. Hapo #8, mkisikia ling'ombe muwe mnaelewa!
Wewe na wenzako wote humu ambao mmeunganisha harakati zenu pamoja, dhidi yao, leo mnashukuru support ya hifadhi wanayopeni chini ya makwapa yao na mpo mstari wa mbele kuwashabikia na kuwaanzishia nyuzi mkiwatambua na kuwasifu kama mashujaa wenu.