Wamarekani wanaposimama imara dhidi ya Israel na serikali yao

Wamarekani wanaposimama imara dhidi ya Israel na serikali yao

1. "Leo?!' Ukimaanisha nini Ndugu?

2. "Mnawaona?!" Ukimaanisha mimi na nani Ndugu?

3. Uzi huu ni wangu wa 2022 Huko:

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

5. Hapo #4, uzi huo ukiangazia haki za wote wabagazwao wakiwamo: utumwani, makoloni, jinsia (wanawake na LGBTQ), panya road na mkuluro wote.

6. Hivi huwa mnakurupuka kutokea wapi bila takwimu wala kumbukumbu kuwasemea watu yenu?

7. Hapo #6 ni yale madhara ya watokea jalalani taslimu!

8. Ama kweli my hollow, hopeless na useless kwa jamii.

9. Hapo #8, mkisikia ling'ombe muwe mnaelewa!
Rukaruka kama popcorns ila ujue leo umewasujudia ‘mashoga’.
Wewe na wenzako wote humu ambao mmeunganisha harakati zenu pamoja, dhidi yao, leo mnashukuru support ya hifadhi wanayopeni chini ya makwapa yao na mpo mstari wa mbele kuwashabikia na kuwaanzishia nyuzi mkiwatambua na kuwasifu kama mashujaa wenu.
 
Muda utaongea...


Cc: Mahondaw

"Tokea kina Warioba, Mwabulambo, Shivji, Garang, Museveni, Chachage, William Sarungi, Matiko Matare, Bazigiza, Mtungirehi, nk; na labda hadi kizazi cha kina Zitto mlimani pale. Hiyo si leo. Hizo zikiwa zile zama kabla usomini hapo ya kujisajili kwenye "ujalala" tena kiroho safi."

1. Muda umekuwa ukiongea. Mabumunda unayoyaona humu ndiyo best jalalani products huo.

2. Tuendelee kupata mtori, labda kutapatikana nyama huko chini chini!
 
Rukaruka kama popcorns ila ujue leo umewasujudia ‘mashoga’.
Wewe na wenzako wote humu ambao mmeunganisha harakati zenu pamoja, dhidi yao, leo mnashukuru support ya hifadhi wanayopeni chini ya makwapa yao na mpo mstari wa mbele kuwashabikia na kuwaanzishia nyuzi mkiwatambua na kuwasifu kama mashujaa wenu.

1. Kumsujudia mtu amri #1, 2, na 3 za Mola zinakataa. Mtumishi (matunduizi), tusaidiane kuwaelimisha generation Z:

"Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.

7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure."

2. Consistency hapo sisi ni babalao. Kumbuka nyuzi hizi ni za 2022 huko:

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

3. Hapo #2, wazi wazi letu ni moja. Ukomavu na hakuna kuruka kama popcorn.

4. Hapo #3, utakumbuka mlitaka maridhiano mkiruka ruka kama popcorn Hadi kilipo wanukia.

5. Tunasimama na haki Leo, Jana na kesho. Iwe ni haki za awaye yote zikiwamo za ibilisi!

6. Habari ndiyo hiyo ndugu chawa mhitimu tokea kwa propesa kamundi!
 
Ulichodanganywa ni kwamba wanagombea ruzuku tu?Maandamano yanayoendelea hauyaoni?

1. Kumbe mapanya kusikia ruzuku ni kama maji yamemwagwa mashimoni?

2. Kwani wapi umeona makamanda uchwara wakitajwa hapa?

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

3. Au wewe hujui msimamo sahihi kuhusiana katiba mpya na Tahrir? Au ulitusikia wapi tukisifia sifia tu yakiwamo hata maridhiano?

4. Hapa #3, machampioni wa maridhiano umewasahau?

5. Vipi tulipopinga hadharani kutokwenda Mbeya?

Kuwakamata Mwabukusi au Mdude hakutasimamisha maandamano 9/11

6. Wengine Mbeya ilituhusu bila kujali jogoo gani amekomaa ati kuwa hatawika!

7. Hapo #6, kwenye Makundi yenu haya:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

Wengine hatumo!

8. Habari ndiyo hiyo ndugu chawa.
 
1. Kwamba kamanda mpigania katiba mpya unapendekeza wapigwe kipigo cha mbwa Koko siyo?

2. Wala wewe na makamanda uchwara wenzio wa aina za akina Moisemusajiografii, denoo JG, Mpaji Mungu nk mnaona mko vizuri.

3. Watakuwa wanalia machozi ya damu waliko Nyerere, Kinjekitile, Mkwawa, Sokoine na wazalendo wengine popote waliko; katu, ninyi hamuwezi kuwa wajukuu zao!
Mbona unaenda nje ya mada?! Umechanganya ma file. Mada ni ugaidi wa hamas wewe unazungumzia katiba mpya, inahusiana vipi?!
 
1. Alisema Abraham Lincoln:

View attachment 2974195

2. Hawa ndiyo wale vijana jeuri akiwataka sana Nyerere (RIP):

View attachment 2974197

3. Sasa kimenuka Marekani; kumeibuka vijana jeuri wasiotaka kuwaona wala kuwasikia tena wa aina ya kina Biden, Blinken, Bibi au washirika zao. Kuliko kisiwa cha demokrasia sasa kama Kwa akina Muroto? Kweli haki ya kutoa maoni Iko majaribuni kweli kweli!

View attachment 2974199

4. Vijana wa aina hii hata kwetu walikuwapo sana. Ila hizo ni kwenye enzi za akina Warioba, Mwabulambo, Shivji, Garang, Museveni, Chachage, William Sarungi, Matiko Matare, Bazigiza, Mtungirehi, nk; na labda hadi kizazi cha kina Zitto mlimani pale. Hiyo si leo. Hizo zikiwa zile zama kabla usomini hapo ya kujisajili kwenye "ujalala" tena kiroho safi.

View attachment 2974200

5. Leo hii tuko zama ngeni zisizokuwa na kutamanika popote. Tulipo, tumesheni wa aina za akina @lucas_mwashambwa, johnthebaptist na wale wengine waliovimbiana kwa kukodolea ruzuku; wakishindana kusifu na kushukuru.

6. Kwamba vijana wasioukubali upumbafu hawa vyuoni Marekani huko; wote ni waislam, waarabu, wapalestina, HAMAS au ni wafia dini kindaki ndaki tu kama hawa wa kwetu huku?

5. Kwamba eti wote hao ni wapuuzi, isipokuwa hii timu ya akina MK254, Moisemusajiografii, Yoda, Mpaji Mungu, Mzee Kigogo au wafia dini wengine wowote tu?

Asema Simba Tandale pale: "Aaah wapi!"

6. Kwamba wote hao wamepotoka ila aina za kina JokaKuu na wenzao wenye kujiaminisha kuwa ni upuuzi kujishughulisha na wasiyokuwa na maslahi kwao; wakati wao wenyewe hawashughuliki kwa lolote?

7. Ama kwa hakika "viva sana vijana jeuri," kwa maana ukombozi bila ninyi upatikane wapi?

8. Kwamba polisi? Kwani polisi kitu gani?

9. No wonder hata katiba mpya hatutapata bali tutakirimiwa kitakachokuwapo kwa hisani ya CCM.
Juha wewe,wanaoandamana ni Waislamu Tupu
 
Mbona unaenda nje ya mada?! Umechanganya ma file. Mada ni ugaidi wa hamas wewe unazungumzia katiba mpya, inahusiana vipi?!

1. Nilichoandika pale ni kujibu hoja yako hii:

IMG_20240427_055446.jpg


2. Au ghafla hukumbuki ulikuwa umeandika Nini?

3. Kwani hoja hIyo huioni inavyofanana na kauli ya kamanda Muroto na Wadai katiba mpya wa kwetu?

4. Kumbe hujui linalotukera Gaza na kwetu ni hilo hilo na ndiyo maana kukurejesha mtambue mu mizigo kiasi gani katika ukombozi wowote?

5. Kumbe vipi uunge mkono kupambana kupata katiba mpya lakini si HAMAS kupambana kuikomboa nchi yao?

6. Kwa hakika hoja yako mpya uchwara hii utaungwa mkono tu na makamanda uchwara wenzako aina ya PakiJinja, denoo JG na wa namna hIyo.

7. Kwamba mada niandike mimi ndani ya mada nitoke miye ila wewe?

8. Hivi Hata huwa mwajitambua kweli?

Bure kabisa!
 
1. Nilichoandika pale ni kujibu hoja yako hii:

View attachment 2975011

2. Au ghafla hukumbuki ulikuwa umeandika Nini?

3. Kwani hoja hIyo huioni inavyofanana na kauli ya kamanda Muroto na Wadai katiba mpya wa kwetu?

4. Kumbe hujui linalotukera Gaza na kwetu ni hilo hilo na ndiyo maana kukurejesha mtambue mu mizigo kiasi gani katika ukombozi wowote?

5. Kumbe vipi uunge mkono kupambana kupata katiba mpya lakini si HAMAS kupambana kuikomboa nchi yao?

6. Kwa hakika hoja yako mpya uchwara hii utaungwa mkono tu na makamanda uchwara wenzako aina ya PakiJinja, denoo JG na wa namna hIyo.

7. Kwamba mada niandike mimi ndani ya mada nitoke miye ila wewe?

8. Hivi Hata huwa mwajitambua kweli?

Bure kabisa!
Acha tabia za woga na kujihami. Wewe huna content so usijitilishe huruma au kuomba undugu ili uungwe mkono.
 
Acha tabia za woga na kujihami. Wewe huna content so usijitilishe huruma au kuomba undugu ili uungwe mkono.

Content?!

1. Kumbe ya jwako Iko wapi?

2. Kumbe hata utalaamu wako wa kuitambua content uliupata wapi?

3. Hamjui hata "etiquette" za uandishi tu, zero; bila shaka hata elimu nayo, zero!

4. Huna credentials wewe za ku assess andiko langu lolote ndugu. Nakazia: lolote.

5. Ushauri wa bure: "rudini shule kusoma. Nchi hazikombolewi na wajinga!"
 
Content?!

1. Kumbe ya jwako Iko wapi?

2. Kumbe hata utalaamu wako wa kuitambua content uliupata wapi?

3. Hamjui hata "etiquette" za uandishi tu, zero; bila shaka hata elimu nayo, zero!

4. Huna credentials wewe za ku assess andiko langu lolote ndugu. Nakazia: lolote.

5. Ushauri wa bure: "rudini shule kusoma. Nchi hazikombolewi na wajinga!"
Sasa hiki umeandika nini? Unajielewa kweli wewe?
kwanza hauleweki, halafu hata mtu akiamua ajitahidi kukuelewa, anaishia kuona unajibamiza mwenyewe kupitia hayo unayoyaandika.

Kuhisu kuwa na access za andiko lako huko ni kujitutumua tu ili uweze ku save your face. Like serious umejificha kwenye fake ID halafu unataka watu wakuone wewe ni mtu fulani wa maana??? Huwa hatuna huo muda, just tafsiri unavyoweza.
Shindanisha hoja zako, usitoke nje ya utambulisho wako Fake uliouleta hapa JF. Kuna mtu amesajili viewngo vyake vya elimu hapa? Au umeona mahala nikijitambulisha kwa chochote nje ya hapa?
Humu yeyote yule anaweza akawa yeyote, kama uliamua kuja na fake ID endelea kuvumilia tu, wote tuna maisha mengine nje ya Fake IDs.
 
Acha tabia za woga na kujihami. Wewe huna content so usijitilishe huruma au kuomba undugu ili uungwe mkono

Sasa hiki umeandika nini? Unajielewa kweli wewe?
kwanza hauleweki, halafu hata mtu akiamua ajitahidi kukuelewa, anaishia kuona unajibamiza mwenyewe kupitia hayo unayoyaandika.

Kuhisu kuwa na access za andiko lako huko ni kujitutumua tu ili uweze ku save your face. Like serious umejificha kwenye fake ID halafu unataka watu wakuone wewe ni mtu fulani wa maana??? Huwa hatuna huo muda, just tafsiri unavyoweza.
Shindanisha hoja zako, usitoke nje ya utambulisho wako Fake uliouleta hapa JF. Kuna mtu amesajili viewngo vyake vya elimu hapa? Au umeona mahala nikijitambulisha kwa chochote nje ya hapa?
Humu yeyote yule anaweza akawa yeyote, kama uliamua kuja na fake ID endelea kuvumilia tu, wote tuna maisha mengine nje ya Fake IDs.
Jamaa amekuwa na kichwa kikubwa tu hata haelewi anachoambiwa, na bahati mbaya kila ukijitahidi kumuelewesha ndio anazidi kujichanganya mwenyewe hata hakumbuki tena wapi anaposimamia, bahati yake kuna wajinga wenzake wachache huku wanampa nguvu ya kuendelea kutujazia ujinga wake.

brazaj umeshuka sana viwango, umekuwa kama muimba taarabu humu ndani, ukiambiwa hauna content kwenye maandiko yako ndio ukweli huo, wewe umekalia ushabiki tu kila ukiulizwa maswali ya msingi majibu huna zaidi ya ku shift blame ajabu ndio unajiona mjuaji, mimi nakuhurumia tu.
 
Mimi binafsi naombea amani tu kwenye bara langu la Africa

1. Hii ni hatua njema zaidi ila Bado hujafika bei siyo hizo ng'ombe zingine za aina ya MK254 fia dini vindaki ndaki.

2. South Africa ni Afika lakini uhusika wake Gaza dunia imeivulia kofia; Rwanda Ina askari Haiti (sina hakika kama wangalipo huko); Kenya inajiandaa kwenda Haiti; ; nk nk.

3. Angalia composition ya MONUSCO DRC hapa:

IMG_20240427_105042.jpg


3. Huyu mwamba dunia inamvulia kafia:

CheHigh.jpg


alikuwa raia wa South Ame; kapigania haki takribani dunia nzima (South America, Central America, Africa hadi DRC huku).
4. Hapo #3, huyo mwamba alizikwa tulikosoma sisi (Cuba huko) Kwa heshima zote!

5. Au hata unafahamu maana ya jina almaarufu zaidi la huyu mwamba?

FrmmsPmWIAMDMwY.jpeg

Au wewe uliposikia Jenerali Ulimwengu ulidhani ni jina lake, au ni kama Jenerali Mabeyo, CDF mstaarabu tu?

6. Hivi Unatambua posts za kibalozi, mashirika ya kimataifa, kidini nk hazina mipaka na hata ikitokea shavu kwako sharti lako ni ndani ya afrika tu?

7. Kwamba tuseme wewe na mbumbumbu wajuaji wenzako aina ya kina MK254, denoo JG na wafia dini uchwara wenzenu ndiyo mna ubora upi dhidi ya wote hao hapo juu?

8. Kwamba kumbe hizi zenu sasa ndiyo zitakuwa ni akili? Au matope?!
 

Attachments

  • CheHigh.jpg
    CheHigh.jpg
    66.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom