Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Hapa tunakua tunazunguka hapo hapo, sawa mtu mwenye 80+b in tshs ni rapper tu asie na chakukwambia, ndio serikali na organization za aina hozo wapo sahihi mda wote na ndio wewe kama muafrica unapendwa na wazungu na unamanufaa nao kuliko hao waliokua slaves for 400+ years. Mi nmemaliza maana naona point ilikua inakuaje mnawapa free healthcare immugrants kama huelewi kwamba free healthcare manaake hao hao watu weusi unaowatukana wanalipia sona chakuongea na wewe.

Nimekwambia hio source inaspeculate kwamba labda nusu yao, hawana proof ndio maana ya kua undocumented. kwanza nini maana ya undocumented kwako tuanzie hapo.

issue ya bankruptcy ilikua kwasababu alikua anakua sued. na research aina ya bankruptcy aliofile kama ni ile ya kwamba umeishiwa hela au unaomba mda uweke finances zako vizuri kabla hujalipa.

Kumdiss 50 ni kushindwa kujifunza kutoka kwake, ametoka from an orphan raised by grandparents kwenye nyumba yenye watoto 9+ mpaka kusell drugs mpaka kua musician sio tu musician wakawaida one of the top grossing in his time mpaka kujifunza acting kuigiza, kudirect na kua na series yake ye mwenyewe.

kua abhter haikufanyi kua bora, unajipa a disservice. happ juu points zako zote nnamajibu nazo naona tu nachoka kuelezea. tuamzie hapa:
1. what are undocumented immigrants?
2. whats free healthcare?
3. California's political and public service ranking.(hii ni kuwapima hao "experts")

kama hizo point yatu hujazichunguza vizuri hatuwezi kudebate tutakua yunabishana, ndio Black Americans kuna vitu wanazingua ila sio issue rahisi ivo.
 
Nadhani hao followers ndio wamekujaza na kuona hoja yako ni nzito. Kwanza ni kweli baadhi ya wamarekano weusi ni weupe si wote kutokana na kukosa elimi naitindi ya maisha yao. Same to sone african waliopo uku africa wapo weupe kichwani na wazito pia. So hao followers mayb nao no weupe tu.
 
Bro mbona umechelewa sana kuwatumbua na watu majahil sana ,hawana vision hata kidogo mfano matajiri wote wa muziki ya rapp au wana michezo hawaekezi ktk Elimu ili kuwapatia maskini elimu bora ktk jamii yao ni ujinga na upumbavu kwenda mbele mwisho wa habari wanawatafutia makesi kuwafilisi hawana muamko hata kidogo.
 
hao jamaa 2wasamehe tu!!!,,wengi wao ni wavuta ngada,skanka,kujichora tatoo,na kulawitiana,,,hawana lolote zaidi ya hayo,,,,alafu profesheno nyingine waliyo nayo ni kutembea huku wakidundadunda kama kitenesi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…