Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
This is dumb, there's nothing like that.
I live in Gertens
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is dumb, there's nothing like that.
$60m, vipande vya dhahabu, nkWacha story nyingi,taja mali walizomtapeli huyo jamaa.
Ni mmoja tu siyo? Taja mwengine'Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. '
Hio sentensi hapo juu si ya kweli, kuna jamaa anaitwa Jean Gregoire Sagbo, ni mzaliwa za Benin na ni councilor of Novozavidovo huko Urussi.
![]()
Raia weusi wa mji wa Chicago ni nusu ya visa vyote vya ugonjwa wa virusi vya corona katika mji huo
Takwimu kutoka maafisa wa afya mjini Chicago zimeonesha athari kubwa ya virusi vya corona katika Wamarekani weusi.
Raia weusi wa mji wa Chicago ni nusu ya visa vyote vya ugonjwa wa virusi vya corona katika mji huo na zaidi ya asilimia 70 ya vifo vyote , licha ya kwamba idadi yao ni asilimia 30 ya watu wote katika mji huo.
Miji mingine yenye idadi kubwa ya watu weusi ikiwemo Dteroit, Milwaukee , New Orleans na New York pia imetajwa kuwa maeneo yalio hatari.
Marekani imerekodi wagonjwa 370,000 wa virusi hivyo na takriban vifo 11,000. Kote duniani kumekuwa na vifo 75,000 na visa milioni 1.3 kwa jumla.
Je takwimu hizo za Chicago zinaonesha nini?
Kufikia tarehe 5 mwezi Aprili , visa 1,824 vya ugonjwa wa corona kati ya 4,680 vilivyothibitishwa vilihusisha wakaazi weusi, walisema maafisa wa mji huo siku ya Jumatatu.
Hiyo ni tofauti na visa 847 vya weupe, 478 vya Hispanic na 126 vya Wa - Asia wa Chicago. Chicago iliripoti vifo 78 siku ya Jumapili huku asilimia 72 ya vifo hivyo vikihusisha watu weusi.
Utofauti huo unaonekana katika jimbo zima, ambapo watu weusi ni asilimia 41 ya vifo vilivyotokana na Covid-19, licha ya kuwa ni asilimia 14 ya watu wote wa jimbo la Illinois.
Kamishna wa Afya ya Umma wa jiji la Chicago Dkt Allison Arwady amewaambia wanahabari kuwa wakaazi weusi wa jiji hilo tayari wana wastani wa maisha mafupi kwa miaka 8.8 kulinganisha na wazungu.
Meya Lori Lightfoot amesaema kuwa virusi vya corona "vitateketeza Chicago ya watu weusi".
Amesema kuwa wakaguzi wa jiji hilo watatumwa madukani kuhakikisha kila mtu anatekeleza maelekezo ya kujitenga kwa umbali na wengine.
Meya Lightfoot pia ameelezea juu ya uwezekano wa kuwekwa marufuku ya kutoka nje kwa baadhi ya saa katika maeneo ambayo watu hukusanyika kwenye maduka ya pombe, linaripoti gazeti la Chicago Sun-Times.
Taswira ipoje nchi nzima?
Japo virusi vya corona vimepewa jina la "msawazo mkuu ", takwimu zinaonesha kuwa madhara ya maambukizi yanaweza kutofautiana kwa sehemu.
Katika jimbo la Michigan, Wamarekani Weusi ni asilimia 14 ya watu wote, lakini wao ni asilimia 33 ya wagonjwa wa corona na asilimia 41 ya vifo kutokana na ugonjwa huo, zinaonesha takwimu kutoka idara ya afya ya jimbo hilo kufikia jana Jumatatu.
Wazungu katika jimbo hilo ni asilimia 23 ya wagonjwa na vifo vyao ni asilimia 28, kwa mujibu wa takwimu hizo.
![]()
Rais Donald Trump wa Marekani
Jiji la Detroit
katika jimbo la Michigan, lina wakazi weusi takribani asilimia 80, na jiji hilo pekee pamoja na viunga vya karibu yake vina asilimia 80 ya wagonjwa wote wa corona katika jimbo hilo.
Utofauti kama huo pia unaonekana jiji la Milwaukee, jimboni Wisconsin, moja ya maeneo yaliyoathirika zaidi na ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
Watu weusi kufikia Ijumaa ya wiki iliyopita wanafikia nusu ya wagonjwa 1,000 na asilimia 81 ya vifo, japo watu weusi ni asilimia 26 tu ya wakaazi wa jiji hilo.
Takribani asilimia 40 ya vifo vitokanavyo na virusi vya corona katika jimbo la Louisiana katika jiji la New Orleans ambako watu weusi ni wengi zaidi.
Maafisa wa Afya hapo awali walieleza kuwa wakaazi wengi wa New Orleans wanakabiliwa na matatizo ya unene wa kupitiliza, kisukari na presha ya kupanda kwa kiwango cha juu zaidi nchini Marekani hali inayowafanya kuwa rahisi kudhurika zaidi na Covid-19.
![]()
Utofauti wa Chicago unachochewa na nini?
Meya Lightfoot anasema kisukari, magonjwa ya moyo na magonjwa ya mfumo wa hewa yapo "kwa kiwango kikubwa" kwenye jamii za weusi.
Dkt Arwady amewaambia waandishi kuwa hata kama kila mtu katika jiji hilo angekuwa na uwezekano wa kumuona daktari, "bado tungeendelea kuona utofauti mkubwa kutokana na upatikanaji haba wa chakula bora na mitaa ya kutembea ".
Dkt Cameron Webb, ambaye ni tabibu mweusi anayewania ubunge katika jimbo la Virginia, ameiambia BBC kuwa tofauti za rangi na kiuchumi zinaoneshwa wazi na janga hili.
"(Janga la corona) linaonesha nyufa za jamii yetu," amesema.
Alderman Jason Ervin, ambaye ni mwenyekiti wa umoja wa wawakilishi weusi katika baraza la jiji la Chicago ameliambia gazeti la Chicago Tribune kuwa "wingi wa watu wasiofuata maagizo ya kujitenga nyumbani katika baadhi ya sehemu za jiji hilo" inawezekana pia ikawa inachangia takwimu hizo.
Hahah balozi mstaafu wa TZ wa nchini Russia alisema Wkt inshu ya dr.Shika inatokea Russia yeye alikua ni balozi kule,kilichotokea Shika alienda kusoma kule then akawa anaji-bragg ana mabilioni,ma-viwanda warussi wakamteka wakamkata kidole alivyofanikiwa kutoroka ndipo ubalozi ukamsaidia huyo shika kumlipia tiketi kurudi bongo.$60m, vipande vya dhahabu, nk
Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. 'Hata ujumbe wa chama cha ushirika hawapati[emoji14][emoji14]
Kwa research ipi uliyoifanya ?Marekani weusi halisi kama huku Afrika ni wachache sana, Wengi ni machotara au wana damu ya kizungu kama Obama.
Waafrika tunajibagua wenyewe...Maafisa wa Afya hapo awali walieleza kuwa wakaazi wengi wa New Orleans wanakabiliwa na matatizo ya unene wa kupitiliza, kisukari na presha ya kupanda kwa kiwango cha juu zaidi nchini Marekani hali inayowafanya kuwa rahisi kudhurika zaidi na Covid-19.
Hiki kipande nilicho bold ni nukuu niliyoitoa hapo kwenye hiyo post yako, ilitakiwa kiwe kichwa cha habari. Vinginevyo unaweza kuwachanganya wadau wakajua kua mwafrika anakufa kwa corona
Mtu kama chris brown, rihana, willsmith nk hao wengi wao wana genes za uzungu na ndo kinacho wakostisha
Sio kweliKila alipo mtu mweusi kuna umasikini!
Sijui huwa tuna tatizo gani!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee wengi mno,tena ndo hao wanaokufa sa hii,ni vizee homeless viko mtaani tu na matorori yao ya shopping hawasemi kweli tu ndo hao wanakufa
Vipi Michael Jackson?? TehtehMarekani weusi halisi kama huku Afrika ni wachache sana, Wengi ni machotara au wana damu ya kizungu kama Obama.
Sasa si wanakufa kwa Corona sababu ya umasikini, kuna uwezo wa mwafrika masikini aliyepo Africa kupona kweli?Lakini hili limeelezwa kwanini wa Marikani weusi wanakufa zaidi na hili gonjwa uko Chicago kuliko weupe ni sababu ya umasikini..... wanashi wengi sehemu moja pia wanatokatoka nje sana, kwahiyo ni rahisi kusambaza hu ungojwa kwa weusi wenzao pia hawana routine medical check up kwa hiyo miili yao imesha kua dhaifu na maradhi mengine mengi..........tuombe Mungu hili gonjwa lisisambae hapa kwetu natabia zetu hizi za kiswahili, Mungu atakua ametusaliti tu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Warusi walimtapeli ndo maana analala chiniHahah balozi mstaafu wa TZ wa nchini Russia alisema Wkt inshu ya dr.Shika inatokea Russia yeye alikua ni balozi kule,kilichotokea Shika alienda kusoma kule then akawa anaji-bragg ana mabilioni,ma-viwanda warussi wakamteka wakamkata kidole alivyofanikiwa kutoroka ndipo ubalozi ukamsaidia huyo shika kumlipia tiketi kurudi bongo.
Kwa hio alibebaje hizo $60mil kuwapelekea hao mafiasi?mnaijua lkn $60mil?
Mmiliki wa $60mil yuko sa hivi analala chini hapa bongo.
Hata ujumbe wa sungu sungu hapati, warusi ni wabaguzi sana.Ulizia Russia, saudia, Iran, nk mweusi hata uenyekiti wa mtaa Urusi au Saudia hawezi kupata. '
Hahah
Nachukia sana ninapomuona mtu anaongea kwa hisia zake kama wewe na kutaka kuwaaminisha watu. Huu ni uongo uliokomaa na umejikita katika hisia zako binafsi. Tupe vyanzo vya kitafiti vinavyothibitisha haya unayoyasema, vinginevyo ni uongo na kujijazia matumaini hewa.Uimara unafifia pale ambapo genes za uzungu zinakua zipo kwa kiasi kikubwa kuliko genes za u-nigga
Lakini licha hata ya hivyo lakini bado victim waliokufa ni wale wale ambao wanamagonjwa ya ziada
Ifahamike kwamba huu ugonjwa bila kupata assist kutoka kwa ugonjwa mwingine ni ngumu sana kumuua kijana wa kiafrika (sio black america)