Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwamara yakwanza naona umeisema vibaya us leo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Muajemi wa kwa mtongole mbona unayaleta yasiyohusiana na uzi, mimi hamna taifa hata moja ambalo huwa nashobokea, yakifanyika hovyoo lazima niyataje hata yawe Marekani, ila wewe Iran ikitajwa yaani siku inakuharibikia, unakua tayari kujitoa mhanga hata ulipuke kwa mabomu....huku ukifoka ala akbarrrr
Sent using My COVID-19